Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vs Everton

-------- WERNER ---- KAI ----- MOUNT ----------

ALONSO ---- JOGNHO ---- KANTE --- JAMES

--------- RUDGER ------ SILVA ----- AZPI -----------

Everton wapo kwenye mstari wa kushuka daraja. Hizi mechi za mwishoni wamekuwa wanacheza kwa kujituma sana kwenye kukaba na kushambulia bahati mbaya wameshindwa kuwa clinical mbele ya goal.

Niliangalia mechi yao ya mwisho vs Liverpool. Ilikuwa mechi ngumu ingeweza kuisha draw, ila Liverpool walitumia uwezo binafsi zaidi wa wachezaji wao kushinda mechi

THE BLUES tuna safu mbovu ya ushambuliaji, not clinical na sio katili mbele ya goal + Morale za wachezaji zimeshuka mno + uchovu.

Naona tukipata aibu nyingine ya kudondosha POINT.

Acha woga
 
Robert Lewandosky goals in 2021/22
Goals = 55
Assists 8
Goal Involvment = 63
Age = 33yo
na bado kazi inaendelea

Farmers League

Tazama hata Champion League sikuhizi Timu anazozifunga ni za Farmers Leagues.

Mwaka juzi tulipokutana CL alishindwa kubahatisha hata la offside.
 
Vs Everton

-------- WERNER ---- KAI ----- MOUNT ----------

ALONSO ---- JOGNHO ---- KANTE --- JAMES

--------- RUDGER ------ SILVA ----- AZPI -----------

Everton wapo kwenye mstari wa kushuka daraja. Hizi mechi za mwishoni wamekuwa wanacheza kwa kujituma sana kwenye kukaba na kushambulia bahati mbaya wameshindwa kuwa clinical mbele ya goal.

Niliangalia mechi yao ya mwisho vs Liverpool. Ilikuwa mechi ngumu ingeweza kuisha draw, ila Liverpool walitumia uwezo binafsi zaidi wa wachezaji wao kushinda mechi

THE BLUES tuna safu mbovu ya ushambuliaji, not clinical na sio katili mbele ya goal + Morale za wachezaji zimeshuka mno + uchovu.

Naona tukipata aibu nyingine ya kudondosha POINT.
You are right, Everton is in danger, watacheza kwa kujilinda sana na kaunta za nguvu na mechi pekee naiona ngumu kwa Chelsea ni dhidi ya Everton, hizo zingine tuamua kushindwa wenyewe
 
Farmers League

Tazama hata Champion League sikuhizi Timu anazozifunga ni za Farmers Leagues.

Mwaka juzi tulipokutana CL alishindwa kubahatisha hata la offside.
images (1).jpeg

La offside kama hili?
 
Mino Raiola no more
Huyu gwiji alitunyima raha, sasa Haaland tunaweza tukamsajili
 
Anceloti awa kocha wa kwanza kushinda ubingwa wa ligi tano bora duniani
1) EPL na Chelsea
2) Laliga na Real Madrid
3) Serie A na AC Milan
4) Ligue 1 na PSG
5) Bundesliga na Bayern Munich
 
Chief nakuheshimu sana, nadhani uwe unapima uzito wa comments zako kabla hujapost. USHAURI WA BURE.
Nakuwaga makini sana kwa comment na efgects zake. Effect ya comment yangu normal kabisa wala haina uzito wowote na pia ina minimal effect whatsoever kwa sababu mhusika na relative wake wako dunia nyingine
Asante kwa ushauri wako wa bure
 
Chelsea Sale not over yet

According to the Guardian, a source close to Abramovich has not completely ruled out Ratcliffe's late bid for the Blues with the main problem in his late ploy being just how late he communicated his interest to Raine who like all the fans, are keen to get a resolution to this ever-changing and dramatic takeover saga.
 
Barcelona are working on Marcos Alonso as new candidate for left back position. He’s one of 3/4 options on the list now considered by the board. #FCB Barça are well informed on Marcos, confirmed as @postunited advanced. Alonso’s current deal with Chelsea expires in June 2023.
1651353070448.png
 
Leo tunacheza na Everton, katika miaka ya hivi karibuni tumekuwa tukipata matokeo mabovu pale Goodison Park,
Misim mitatu iliyopita tumepoteza game zote pale goodison park kama kumbukumbu zangu ziko sawa
 
Leo tunacheza na Everton, katika miaka ya hivi karibuni tumekuwa tukipata matokeo mabovu pale Goodison Park,
Misim mitatu iliyopita tumepoteza game zote pale goodison park kama kumbukumbu zangu ziko sawa
Kweli kabisa. wakati ule hawakuwa kwenye presure tunashindwa kuwafunga, leo wako kwenye presure kubwa ya kushuka daraja, naona kama watakuwa agressive kama mbogo na Chelsea tukiendeleza ule umayai wetu na uzembe wa kijinga jinga tutatoka kapa bila hata point moja
 
Kabla hata ya mechi nasikia mashabiki wa Everton wameweka kambi jirani na hoteli wachezaji wetu wamefikia usiku wa kuamkia leo huku wakilipua fireworks ili kuwazuia wachezaji wa Chelsea wasilale na hivyo kuamka wachovu kwenye mtanange wa leo.

Desperate Everton fans set off fireworks outside Chelsea's hotel through the night to try to stop Thomas Tuchel's men sleeping ahead of huge clash at Goodison Park... with the Toffees stuck in the relegation zone and in need of a win
1651397249691.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom