Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Vs Everton
-------- WERNER ---- KAI ----- MOUNT ----------
ALONSO ---- JOGNHO ---- KANTE --- JAMES
--------- RUDGER ------ SILVA ----- AZPI -----------
Everton wapo kwenye mstari wa kushuka daraja. Hizi mechi za mwishoni wamekuwa wanacheza kwa kujituma sana kwenye kukaba na kushambulia bahati mbaya wameshindwa kuwa clinical mbele ya goal.
Niliangalia mechi yao ya mwisho vs Liverpool. Ilikuwa mechi ngumu ingeweza kuisha draw, ila Liverpool walitumia uwezo binafsi zaidi wa wachezaji wao kushinda mechi
THE BLUES tuna safu mbovu ya ushambuliaji, not clinical na sio katili mbele ya goal + Morale za wachezaji zimeshuka mno + uchovu.
Naona tukipata aibu nyingine ya kudondosha POINT.
Acha woga
Everton wapo kwenye mstari wa kushuka daraja. Hizi mechi za mwishoni wamekuwa wanacheza kwa kujituma sana kwenye kukaba na kushambulia bahati mbaya wameshindwa kuwa clinical mbele ya goal.