Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Katika mechi an Everton iliyochezwa 16 Dec 2021 ambapo Everton walikuwa kwenye ubovu wao
Chelsea tulidominate sana mpira na hata mashuti tulipiga sana ila tukatoka na droo ya 1-1
  • Shots 23/5
  • On target 10/3
  • Possesion 81/19
  • Pass acuracy 89/55
  • Corners 7/1
  • Goals 1/1
 
Leo Chelsea wanawake wanaweza beba ndoo ya WSL kwa msimu wa 3 mfululizo endapo Arsenal watafungwa na Aston Villa na Chelsea kuwashinda Birmingham City
 
Newcastle na Mancity wanamtaka Mason Mount
Klabu iuzwe haraka ili haya mambo yapatiwe majibu kabla hayajaharibika
Marina pia abakizwe ili aendelee kuwa mkuu wa negotiation kwenye manunuzi na mauzo ya wachezaji
 
F 343
Werner -----Havertz-------- Mount

Alonso---Jorginho-----Cheek-----James

Rudiger-‐-------Silva-----------Azpilicueta

‐---------- Mendy ----------
 
Hivi chelsea hebu nielezeni. Kuna sababu gani ya kumuweka lukaku nje?
 
Individual mistake zimezidi sasa ni kama tunawapa wapinzan magoal ya bure, ukimtoa silva na rudiger, n james hawa waliosalia nyuma mda wowote wanachoma
 
Nilishahisi point zinaweza kudondoka.
Sio leo tu, mechi zote zilizobaki nyie kenge mnachezea vipigo.
Na kilabu lenu likiuzwa ndio msahau kabisa habari za top4, labda kama litanunuliwa na mwarabu.
Chelsea kuanzia msimu ujao naona inarudi kulekule ilipokuwepo kabla ya kununuliwa na Abramovich.
 
Huu utabiri niliutoa tarehe 26/01/2022.

Wakati huo vita kati ya Urusi na Ukraine havijaanza.

Roman hajawekewa vikwazo wala wazo la kuuza the blues halikuwepo

Bahati mbaya kwa sasa naona mbali na Arse8, Spurs anaweza pia maliza juu yetu.

Tujiandae kwa Europa league.

City atachukua kombe.
Kaka Epl haitabilili kwa sasa hasa kwenye timu izi zingine zingine izo game 4 zilizobaki zinaweza kukupa mshangao mkubwa balaa
 
Huu utabiri niliutoa tarehe 26/01/2022.

Wakati huo vita kati ya Urusi na Ukraine havijaanza.

Roman hajawekewa vikwazo wala wazo la kuuza the blues halikuwepo

Bahati mbaya kwa sasa naona mbali na Arse8, Spurs anaweza pia maliza juu yetu.

Tujiandae kwa Europa league.

City atachukua kombe.
Mkianza kushonwa tu mnaanza kujifanya watabiri. Haka kazembe si ndiyo kanazurura kuandika matusi sasa kama una kipaji cha utabiri nunua kaniki na tunguli upige pesa
 
Kawaida ya kenge akidraw na United hua wanapoteana kabisa, mkiendekeza ungese wenu mnavuliwa Blauzi na Top4 zenu halafu mnabaki matiti wazi kama mwali wa kizaramo.
 
Yule Lanzini anatakiwa kuchungwa. Kikosi chetu hata kilicho benchi siyo kitamu sana tufanye purposive movements tusikomae na possession
 
Au mm ndyo sijaelewa kauli ya Thomas tuchel

Kwamba anatengeneza timu itakayokuwa inaziogopa timu nyingine

au ata tengeneza timu ambayo itaogopeka na timu nyingine

Kiukwel mm naona sentensi ya kwanza ndio sahihi kwamba Chelsea inaziogopa timu nyingne

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom