Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Goli la leo ni la 16 kukataliwa na VAR kwa upande wa Werner tangu ajiunge na Chelsea
Ndio maana TT alitaka na goli la tatu liangaliwe na VAR kwa sababu wamezoea
0_Werner.jpg
 
Odoi naye apelekwe mkopo
Saul arudi kwao akacheze ligi ile legele
Havertz awe sub tu kwa sasa hata RLC anamzidi
Azpi, Kova na Jo wapumzishwe kuwaanzisha kila mechi wanachoka
Tumsajili kiungo mshambuliaji wa kusaidiana na Mount kwenye kumhudumia Lukaku na wafungaji wengine wa mbele
Enzi za Fab kila mtu mbele anakuwa mfungaji kwa sababu yake
Bado lakini tupo vizuri, group stage huwa haina mvuto tofauti na hatua za mtoano
Bado tuna mechi nne, tunao uwezo wa kumbamiza Juve darajani, Malmo ndani na nje na kutoa sare na Zenit, point 10 ziko mbele yetu na ukichanganya na 3 kibindoni zinakuwa 13 hapo tumeongoza kundi.
Biashara ndio inakwenda hivyo
Blaza unapanick Sana, kufungwa tumechi tuwili tu Tena kwa tabu Sana kusikufanye ukadhani tutatetereka. Sisi ndio Chelsea
CFC💙💙💙
 
Hiv nyie watu mbona hamna uvumilivu Harvert nae auzwe Warner auzwe je mtabaki na wachezaji gani nyie hebu kuweni na uvumilivu kaaa nyie hao wakuimba mapambia kwa TT leo hafai kisa 2 game?
Ma fans was Chelsea wengi hapa bado Wana mioyo kidogo Sana hawawezi kuvumilia watuulize sisi wakongwe tuwafundishe hahahahahaha
CFC💙💙💙
 
Sijawahi ona straika mbovu kama Lukaku, mtu mpaka alalie mabeki, akipewa mpira kutuliza utazani anatoa pasi. Lukaku tumepigwa mchana kweupeee we kubali ama kataa ila ndio hivyo.
Mdogo wangu Papaa ..Lukaku anakosa watu wa kumchezesha ..Kama alivyosema Antonio Conte. Lukaku no bonge la straika huwezi pata mtu Kama yule dunia ya Sasa..
 
Nimeishia hapo "tumpige goli 4 bila"

Nyie matakataka mutajuana wenyewe leo ..sisi wacha tuendelee kuwala vichwa tu pumbavu.
Yeyote atakayeshinda leo kati ya liverkuku au man shityee hataleta effect kivile kwenye mbio zetu za ubingwa.
CFC💙💙💙
Nyie nyie watu wa Chelsea....hayaaa mtaniambia ngja nikae kimyaaaa
 
Jana pasi mbovu ya Mendy ikatupa advantage kwa Jorgninho kuchezewa rafu na Ward-Prowse kupewa kadi nyekundu
 
RLC usije ukamzamini... Atacheza mechi moja nzuri... Atakuja tena kucheza vizuri baada ya michezo kumi kupita ...

Vile vile kwa odoi..hivi vitoto vya kiingereza ukivisifia tu... Lazimavikuchome..

Hivi vyotevya kuuzwa pamoja na barkley
kwa ushindani uliopo wote hao wataimprove
 
Nilichokipenda jana wakat tuko 1-1 ni vile unamtoa loftus cheek anaingia barkley, huku bench una kai na ziyech, hii inawapa wachezaj morale kwamba ukionesha kiwngo kizuri utacheza, so kila mmoja atakuwa anapigania namba yake ipasavyo

Siku zote huwa tukicheza huku tuko na watu wanaoweza kukimbia nyuma ya mabeki tunakuwa hatar sana, ukiangalia mikimbio ya chilwel, werner hata odoi

Kingine ni mda wa tuchel kuwatumia werner n lukaku, lukaku anavyokabwa na wachezaj wawil wa team pinzani kuna create chance kw werner
Refer goal la werner lililokataliwa na ile save aliyofanya mccarthy kwa werner

Tunaenda international break, kikubwa tusipate majeruhi yeyote,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom