Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

TOP OF TABLE
20211003_204826.jpg
 
Kwa kweli chief, nilidhani Mount angerithi mikoba ya wapiga mashuti kutokana umbile la mwili wake

Ross Barkley anaachiaga mafataki sema tuu anaingia na kutoka kwenye kikosi.

Kuna yule mzungu kichaa alikuwa anaitwa Andre Schurrle jamaa alikuwa mwembamba wa mwili ila alikuwa anaachia makombora hatare. View attachment 1961495
Daaah huyu mjerumani nilimsahau alikuwaga moto sana
 
Mkuuu hapo tafadhali mtoe TORRES UMESHAU UCL 2012 A
au mkuuu ndio umeenza juzi kuwa fans wa Chelsea hebu jaribu kicheki goal lake lilikuwa na Vibe kubwa sana mkuu sorry kma nimekosea kukukosoa
Torres mimi sina deni nae lile goli lake aliowafunga Barca semi final uefa likatupeleka final Munich lilikuwa Safi Sana

Barca walikuwa wanafanya msako wa nyani goli kwetu nyuma wamemuacha Torres na beki mmoja tu hahahah

Nadhani walijuta sana
 
Pamoja na kuitwa striker wa mechi kubwa kama hiyo robo fainali dhidi ya Barcelona pia kwenye finali ya Europa mwaka uliofuatia lakini bado Torres yuko kwenye orodha ya wachezaji ghali walioflop hakufanya vitu alivyonunuliwa navyo hasa akiwa Liverpool
Hivi striker kuflop huwa inatafsirikaje?
1. Unanunua striker anafunga magoli mengi na hambebi hata kikombe cha kahawa.

2. Unanunua striker anafunga magoli kiduchu na muhimu katika finali na mnabeba kombe.

hapo kati ya 1 na 2, yupi mchezaji flop? au wote ni flops.
 
Hivi mchezaji kuflop huwa inatafsirikaje?
1. Una nunua striker anafunga magoli mengi na hambebi hata kikombe cha kahawa.

2. Unanunua striker anafunga magoli kiduchu na muhimu katika finali na mnabeba kombe.

hapo kati ya 1 na 2, yupi mchezaji flop? au wote ni flops.
Kuflop maana yake kucheza chini ya kwango ulichokuwa umeshakifikia na ukawa stable nacho, hata kama mchezaji kafunga magoli muhimu lakini kiwango chake kikiwa below his own standard hiyo inaitwa FLOP haina jina jingine
 
Lile limetokana na mpira wa Kona km sikosei....still bado hatujafungwa open play goal....nilimsikia mpk Jim beglin alisema
Lakini ulishachezwa, mpira ukishachezwa inaitwa open play, ingekuwa direct sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom