Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

TT bado hana first XI, Bado anajaribu au ndio rotation
Ila RLC ana haki ya kuanza leo

1633180167068.png
 
Nina wasiwasi na Odoi na Chilwell last time form zao zilikuwa sio nzuri japo kwa Juventus Odoi alichangamsha
 
Nina wasiwasi na Odoi na Chilwell last time form zao zilikuwa sio nzuri japo kwa Juventus Odoi alichangamsha
Odoi anatakiwa acheze winga hasa winga ya kushoto utafurahi kwa roho yako lakini ukimweka wingback ni majanga
 
Mkuuu mbona kila kitu lawama tumuachie mwal afanye yake sie tuombe win tu
Mpira ni kushangilia, kutamba, lawama, uchambuzi na mambo kibao haina lingine, ndio maana wengine kwa ushabiki huo huo wanatukana, wanagombana, an wengine wanacheza kamari, nk. Yote hatuna budi tuyapokee mwisho wa siku kuna watakaofurahia na watakaohuzunika kama leo Old Trafford hakuna cha Cavani, Ronaldo au Bruno. Yule mmanyema aliyesota mechi 16 bila goli ndie kafunga leo
 
Mpira ni kushangilia, kutamba, lawama, uchambuzi na mambo kibao haina lingine, ndio maana wengine kwa ushabiki huo huo wanatukana, wanagombana, an wengine wanacheza kamari, nk. Yote hatuna budi tuyapokee mwisho wa siku kuna watakaofurahia na watakaohuzunika kama leo Old Trafford hakuna cha Cavani, Ronaldo au Bruno. Yule mmanyema aliyesota mechi 16 bila goli ndie kafunga leo
Ile timu ya wazee wachezaji kma 5 up 6 ni above 32
 
Leo tunashinda, hao hao akina Chalobah leo anacheza DM na RLC, tutegemee flavour tofauti na ile ya akina Jorginho, japo hakuna anayefikia anga za Kante hapo. Nitakuwa na wasiwasi tu na uwezo wa Chilwell na Odoi kwenye kukaba labda afunikwe na Azpilicueta
 
Leo tunashinda, hao hao akina Chalobah leo anacheza DM na RLC, tutegemee flavour tofauti na ile ya akina Jorginho, japo hakuna anayefikia anga za Kante hapo. Nitakuwa na wasiwasi tu na uwezo wa Chilwell na Odoi kwenye kukaba labda afunikwe na Azpilicueta
Chalobah anacheza kama beki kusaidiana na Silva pamoja na Rudiger sahihisha iyo kitu kwanza.
 
Odoi hachezi wingback naona anacheza kiungo mshambuliaji wa kushoto na werner kulia

lazima Azpi atakiwa ndi wingback wa kulia na Chalobah ni CB akisaidiana na Silva na Rudiga

Odoi---------------- Lukaku ---------------- Werner

Chilwell --------- Kovacic ------------- RLC ------------- Azpi

Rudiger ----------- Silva --------- Chalobah

Mendy​
 
RLC anafaa kuanza kila mechi, ameimprove mmno kwenye dribling na kushambulia
Odoi anacheza vizuri sana tofauti na nilivyodhania, Chilwell naye anajitahidi kucheza vizuri
Timu yote inacheza vizuri, pamoja na kucheza vizuri, Rudiger alichelewa kidogo kumuhudumia Lukaku mpaka akaotea
Lukaku kaonyesha kuwa akipata mpira hafanyi makosa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom