Kisa mechi mbili?Je mbinu za TT ndio zinafikia ukingoni?
Kisa mechi mbili?Je mbinu za TT ndio zinafikia ukingoni?
Chelsea bila Ngola kante tunapata shida sana hakuna hata watu wa ku forceMount, pulisic wapone haraka
Dalili za mvua ni mawinguKisa mechi mbili?
Refa alikuwa upande wao Juve, haiwezekani rafu zote walizowachezea wachezaji wa Chelsea lakini hawana kadi ya njano hata 1Kipindi cha pili Chelsea hawakuwa na shot on target hata moja
Wamemiliki mpira kwa wastani wa 75% lakini unawaona kabisa hawakuwa na plan, strategy wala mbinu zozote za kufunga goli
form za Mount, Kante na Alonso zilikuwa zinatubeba sasa wote hawakuwepo, Alonso katolewa mapema
Kwa kweli...Mount, pulisic wapone haraka
Hii mechi shida kante sababu hao Juventus hawana viungo wakutisha alikua anaitajika mchezaji wakuibomoa ile ngome kiungo mnyumburifuChelsea bila Ngola kante tunapata shida sana hakuna hata watu wa ku force
Kuna mechi tuna mmiss Kate sio hii. Tatizo ni kucreate clear chance kitu ambacho hatuna huyo mtu kwa kweliChelsea bila Ngola kante tunapata shida sana hakuna hata watu wa ku force
Jorge alipotea halafu why Timo hapewi nafasi wing ya leo kidgo Odoi alipoingia akalet uhai?Kuna mechi tuna mmiss Kate sio hii. Tatizo ni kucreate clear chance kitu ambacho hatuna huyo mtu kwa kweli