One of the best player for Yesterday match alikuwa ni RLC, pasi kazitoa vizuri tu, wewe umechukulia pasi chache zilizofeli na ni kawaida kwa kila mchezaji
Mfano Assist ya Ruben Loftas Cheek kwenye goli la kwanza hakuna aliyeiona jamani, wonderful flick to Chalobah
TT on RLC Selection
"We decided to put Ruben because we were aware of their high pressing in midfield but we still wanted to go through midfield," the Chelsea head coach explained. "Ruben and Kova [Mateo Kovacic] can not only pass but drive with the ball to escape the press. That is the reason we picked them."
RLC ana uwezo wa kushoot kutokea nje ya box na jana kidogo afunge goli kwa style hiyo
Hata Ross Barkley ana uwezo huo pia na ndio sababu ya TT kumuweka jana. TT mwenye kasema baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo alihisi Chelsea inakosa kitu fulani, uwezo wa kucreate chances na kushoot from a distance
Ross Barkley ana uwezo huo wa kutengeneza nafasi na Kupiga na kufunga magoli ya mbali
TT on Ross Barkley
"For Ross," he continued, "we hoped he could show what he shows in training. He is very active, does not feel the pressure and is always ready to create something.
"He has a strong right foot and has sharp passing.
"We hope he could create or shoot from distance and increase the pressure around the box."