lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,490
Isolate hapewi hudumaKivp?
Isolate hapewi hudumaKivp?
Kama home.Leo Lukaku anajisikia kama anacheza na Inter dhidi ya Juve ligi aliyoizoea. Kama nyumbani
Saul sio attacking midfielder, Saul ni box to box midfielder or dm, so ukisema umetegemee saul eti ndio akupe assist uko matatizoniCONTE anaweza kuwa sahihi kwa aina ya wachezaji wanaomzunguka Lukaku. Uwezo/Ubunifu wao ni mdogo.
Nadhani tungekuwa na mchezaji mmoja tuu aina ya fabrigas, mwenye uwezo wa kupiga killer pass, lingekuwa suluhisho la upatikanaji wa magoli kule mbele.
.
--------------- Werner ----- Lukaku ------------------
Alonso ----- Fabrigas --- Kante ----- James
----------------------- Joginho ---------------------------
------ Rudger ---- Thiago ------ Azipi ------------
.
.
.
Mount je?
--------------- Werner ----- Lukaku ------------------
Alonso ----- Mount --- Kante ----- James
----------------------- Joginho ---------------------------
------ Rudger ---- Thiago ------ Azipi ------------
.
.
SAUL mhispania gani hajui kupiga pass za mwisho jameni?
--------------- Werner ----- Lukaku ------------------
Alonso ----- Saul --- Kante ----- James
----------------------- Joginho ---------------------------
------ Rudger ---- Thiago ------ Azipi ------------



Messi amecheza mechi kibao bila kufunga alikua anakusubili wewe mke wake akutoe bikra ya tako ,mchezaji wako wa million 100 anaekimbiakimbia uwanja wahuni wanamchakaza tuuuNyie mbwa ifike hatua mjue kuwa Chelsea ni timu ya kawaida ,hamna uwezo wa kufunga kila game
Jana mmeteseka Sana ,poleni kenge wa blue
Pumbavu!!!


Wapi PSGKenge nyie ...
This is UEFA
Pigwaaa miti na vibibi vya turini .....Wapi PSG








Pengo la fabregas msimu sijui WA ngapi huuCONTE anaweza kuwa sahihi kwa aina ya wachezaji wanaomzunguka Lukaku. Uwezo/Ubunifu wao ni mdogo.
Nadhani tungekuwa na mchezaji mmoja tuu aina ya fabrigas, mwenye uwezo wa kupiga killer pass, lingekuwa suluhisho la upatikanaji wa magoli kule mbele.
.
--------------- Werner ----- Lukaku ------------------
Alonso ----- Fabrigas --- Kante ----- James
----------------------- Joginho ---------------------------
------ Rudger ---- Thiago ------ Azipi ------------
.
.
.
Mount je?
--------------- Werner ----- Lukaku ------------------
Alonso ----- Mount --- Kante ----- James
----------------------- Joginho ---------------------------
------ Rudger ---- Thiago ------ Azipi ------------
.
.
SAUL mhispania gani hajui kupiga pass jameni?
--------------- Werner ----- Lukaku ------------------
Alonso ----- Saul --- Kante ----- James
----------------------- Joginho ---------------------------
------ Rudger ---- Thiago ------ Azipi ------------
Messi amecheza mechi kibao bila kufunga alikua anakusubili wewe mke wake akutoe bikra ya tako ,mchezaji wako wa million 100 anaekimbiakimbia uwanja wahuni wanamchakaza tuuuView attachment 1958082
mzigo wa pauni mil 100 umedondoka chiniPain Killer wasamehe vijana hawa maana wanakelele sanaPigwaaa miti na vibibi vya turini .....
Mnapaki Basi ,Jana mmekutana na wapaki train kudaddekiiii ....
Jana mmeteseka Sana ,mmedhalilishwa ,mmefedheheshwa Sana na vibibi![]()
Federico chiesaa
Hivi kwanini wachezaji wetu wasiwe wanajaribu mashuti ya mbali wakati mwingine?Mpk sasa tunashindwa kucreate chance za kuscore kama last season still player bado hawajua jins ya kulink na lukaku.
Now team nyingi zitakuja zinasit deep na zinafunga njia zote, lazima tustruggle
Zenit walionesha ,now juve kitu kile kile,
Next game tuko na watakatifu(Saint/Southampton) jumamosi, tunahitaji kushinda hii game, tutegemee saint watakuja kucheza like walivyocheza na city
Kila siku unataka kuingia sokoni?Ata tufugwe goli 100 mm ni Chelsea damu na ninaipenda ki ukweli ukweli, hakuna alie nilazimisha ama kunishikia bunduki ili niipende hii klabu. Ni mapenzi yangu mwenyewe, ila Chelsea tuache masikhara kabisa. Januari inapaswa tuingie sokoni kusaka winga, tunakosa mawinga wa kuchekecha na kulazimisha beki za timu pinzani. Hivi Ziyech kawa vip jamani mbona simuelewi kabisa
Ila game ya jana Tuchel yeye ndio kazingua kabisa, muoga wa kufungwa anajaza mabeki kama wote










