Hiyo ndiyo ratiba yetu ndani ya mwezi wa kumi (October)
Jumamosi tarehe 2
Chelsea

Southampton (ligi kuu England)
Jumamosi tarehe 16
BrentFord

Chelsea (ligi kuu England)
Jumatano tarehe 20
Chelsea

Malmo (Uefa Champions League)
Jumamosi tarehe 23
Chelsea

Norwich (Ligi kuu England).
Jumanne tarehe 26
Chelsea

Southampton (Carabao Cup).
Vipi unaunaje huu mwezi tutakwamia wapi kwenye ligi mwezi ulioisha tulidondosha point mbili kwa Liverpool nahisi ndo point moja iliyokua na manufaa zaid mwezi huu na tulidondosha tatu zote kwa City lakini mwezi umeisha tukiwa nafas ya tatu kwangu mimi mwezi wa kwanza wa ligi tumewin,
Carabao cup kwa tabu sanaa tulifanikiwa kuingia robo fainali ambayo tumepangiwa na Southampton ipi nafas yetu kwenye Carabao mwezi huu? Kwagu mimi mwezi uliopita Kwenye Carabao tumewin,
Champions League Mwezi uliopita tulidondosha Point kwa Juventus hali ya hewa ikachafuka lakini mwezi umeisha tukiwa nafas ya 2 baada ya game mbili, Kwa mwezi uliopita pia naona tumewin Kwan tuna uwezekano mkubwa wa kusogea mbele
Mwezi uliopita ulikua ni mwezi wenye ratiba ngumu sana kwetu lakini tumefanikiwa kupata matokeo chanya zaidi huu mwezi mbona kama sioni tukipoteza game yoyote?