Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pale kwa mabingwa wa Tanzania (Simba Sports Club) wanachama na wadau wengi wa klabu hiyo kauli iliyopo midomoni mwao kwa sasa ni kwamba pengo la Luis Miquessone na Cletus Chota Chama bado halijazibika ndani ya klabu hiyo.
Hali hiyo imenifanya na mimi kuangalia kwa jicho la mbali sana kuhusu timu yetu ya Chelsea, na kugundua kuwa pengo la Cesc Fabregas na Eden Hazard pale Chelsea bado halijazibika.
Chelsea kwa sasa inakosa kiungo mshambuliaji (namba 10) halisi mwenye jicho la kupiga pasi za mwisho kwenda kwa mshambuliaji wa mwisho kama ilivyokuwa kwa Cesc Fabregas na pia inakosa mawinga wasumbufu wenye nguvu, akili na uwezo wa kufunga na kutoa pasi za mwisho kwenda kwa mshambuliaji kama ilivyokuwa kwa Eden Hazard, Pedro Rodriguez na Willian.
Romelu Lukaku kwa sasa anaonekana si lolote ndani ya Chelsea yote inatokana na kukosa watu wa kumlisha pasi za mwisho kama alivyokuwa Everton, Inter Milan na anavyokuwa kwenye timu yake ya Taifa.
Nina hakika kama sasa hivi pale Chelsea kungekuwepo Cesc Fabregas, Eden Hazard, Pedro Rodriguez na Willian bila shaka Romelu Lukaku angetupia nyavuni kila siku kama ilivyokuwa kwa Diego Costa.
Kwa pendekezo langu ningependa kwenye dirisha dogo bodi ifanye mchakato wa kumsajili kiungo namba 10 halisi mwenye jicho la kupiga pasi za mwisho,
Je mkuuu mapendekezo yako we unafikiri na nani asajiriwe?
 
Hiyo ndiyo ratiba yetu ndani ya mwezi wa kumi (October)

Jumamosi tarehe 2

Chelsea 🆚 Southampton (ligi kuu England)

Jumamosi tarehe 16

BrentFord 🆚 Chelsea (ligi kuu England)

Jumatano tarehe 20

Chelsea 🆚 Malmo (Uefa Champions League)

Jumamosi tarehe 23

Chelsea 🆚 Norwich (Ligi kuu England).

Jumanne tarehe 26

Chelsea 🆚 Southampton (Carabao Cup).

Vipi unaunaje huu mwezi tutakwamia wapi kwenye ligi mwezi ulioisha tulidondosha point mbili kwa Liverpool nahisi ndo point moja iliyokua na manufaa zaid mwezi huu na tulidondosha tatu zote kwa City lakini mwezi umeisha tukiwa nafas ya tatu kwangu mimi mwezi wa kwanza wa ligi tumewin,

Carabao cup kwa tabu sanaa tulifanikiwa kuingia robo fainali ambayo tumepangiwa na Southampton ipi nafas yetu kwenye Carabao mwezi huu? Kwagu mimi mwezi uliopita Kwenye Carabao tumewin,

Champions League Mwezi uliopita tulidondosha Point kwa Juventus hali ya hewa ikachafuka lakini mwezi umeisha tukiwa nafas ya 2 baada ya game mbili, Kwa mwezi uliopita pia naona tumewin Kwan tuna uwezekano mkubwa wa kusogea mbele

Mwezi uliopita ulikua ni mwezi wenye ratiba ngumu sana kwetu lakini tumefanikiwa kupata matokeo chanya zaidi huu mwezi mbona kama sioni tukipoteza game yoyote?
 
Je mkuuu mapendekezo yako we unafikiri na nani asajiriwe?
Joao Felix haitaji maelezo mengi, Florian Wirtz anauwasha sana Ujeruman huko na nimeskia tunahusishwa nae pluss he is under 20, Papu Gomez huyu ndo alikua injini ya Ile Atalanta iliyofunga magoli 100+ akisaidiana na Iljicic walifunga sana safu ya ushambuliaji ya Atalanta zaidi ya magoli 10+ kwa kila mchezaji wa safu ya ushambuliaji dirisha dogo msimu uliopita nilimuona Sevilla ila umri kidogo umesogea mi hao nahisi wangetufaa Chief
 
Hiyo ndiyo ratiba yetu ndani ya mwezi wa kumi (October)

Jumamosi tarehe 2

Chelsea Southampton (ligi kuu England)

Jumamosi tarehe 16

BrentFord Chelsea (ligi kuu England)

Jumatano tarehe 20

Chelsea Malmo (Uefa Champions League)

Jumamosi tarehe 23

Chelsea Norwich (Ligi kuu England).

Jumanne tarehe 26

Chelsea Southampton (Carabao Cup).

Vipi unaunaje huu mwezi tutakwamia wapi kwenye ligi mwezi ulioisha tulidondosha point mbili kwa Liverpool nahisi ndo point moja iliyokua na manufaa zaid mwezi huu na tulidondosha tatu zote kwa City lakini mwezi umeisha tukiwa nafas ya tatu kwangu mimi mwezi wa kwanza wa ligi tumewin,

Carabao cup kwa tabu sanaa tulifanikiwa kuingia robo fainali ambayo tumepangiwa na Southampton ipi nafas yetu kwenye Carabao mwezi huu? Kwagu mimi mwezi uliopita Kwenye Carabao tumewin,

Champions League Mwezi uliopita tulidondosha Point kwa Juventus hali ya hewa ikachafuka lakini mwezi umeisha tukiwa nafas ya 2 baada ya game mbili, Kwa mwezi uliopita pia naona tumewin Kwan tuna uwezekano mkubwa wa kusogea mbele

Mwezi uliopita ulikua ni mwezi wenye ratiba ngumu sana kwetu lakini tumefanikiwa kupata matokeo chanya zaidi huu mwezi mbona kama sioni tukipoteza game yoyote?
Brentford & saton...


Keep watching
 
Joao Felix haitaji maelezo mengi, Florian Wirtz anauwasha sana Ujeruman huko na nimeskia tunahusishwa nae pluss he is under 20, Papu Gomez huyu ndo alikua injini ya Ile Atalanta iliyofunga magoli 100+ akisaidiana na Iljicic walifunga sana safu ya ushambuliaji ya Atalanta zaidi ya magoli 10+ kwa kila mchezaji wa safu ya ushambuliaji dirisha dogo msimu uliopita nilimuona Sevilla ila umri kidogo umesogea mi hao nahisi wangetufaa Chief
Joe Big NO mkuuu ila Florian wirtz nipo sawa na ww
 
Swali linakuja:-

1. Je ni mfumo wa uchezaji pale mbele umekuwa mgumu kwa washambualiji wetu, kupelekea kutoelewana na kufunga magoli?

Sasa ni wakati wa TT kubadilisha mfumo wa uchezaji?

2. Kama Tatizo sio mfumo bali ni viwango vya wachezaji vimeshuka, je tutatoboaje mpaka hiyo January usajili?

Tumefungwa na CITY na Juve ila jamani tunapiga kelele hapa hizi timu ni vigogo.

Zinamfunga mkubwa yoyote akijichanganya.

Kwa CITY tuliingia na over confidence ya kumfunga mara 3, kwa Juve tulimchukulia kama amechuja akatusprize.

Ngoja tuone je tutapata matokeo huko mbeleni? Au hali itaendelea kuwa hii hii ya uhaba wa magoli.

Kesho Southampton tunatakiwa tumpige goli 4 bila
Nimeishia hapo "tumpige goli 4 bila"

 
Swali linakuja:-

1. Je ni mfumo wa uchezaji pale mbele umekuwa mgumu kwa washambualiji wetu, kupelekea kutoelewana na kufunga magoli?

Sasa ni wakati wa TT kubadilisha mfumo wa uchezaji?

2. Kama Tatizo sio mfumo bali ni viwango vya wachezaji vimeshuka, je tutatoboaje mpaka hiyo January usajili?

Tumefungwa na CITY na Juve ila jamani tunapiga kelele hapa hizi timu ni vigogo.

Zinamfunga mkubwa yoyote akijichanganya.

Kwa CITY tuliingia na over confidence ya kumfunga mara 3, kwa Juve tulimchukulia kama amechuja akatusprize.

Ngoja tuone je tutapata matokeo huko mbeleni? Au hali itaendelea kuwa hii hii ya uhaba wa magoli.

Kesho Southampton tunatakiwa tumpige goli 4 bila
Mkuuu umeongea ma dini sana kitu ambache tunatakiwa tujue tatzo nni pia majeruhi nayo yametuandama san
 
Swali linakuja:-

1. Je ni mfumo wa uchezaji pale mbele umekuwa mgumu kwa washambualiji wetu, kupelekea kutoelewana na kufunga magoli?

Sasa ni wakati wa TT kubadilisha mfumo wa uchezaji?

2. Kama Tatizo sio mfumo bali ni viwango vya wachezaji vimeshuka, je tutatoboaje mpaka hiyo January usajili?

Tumefungwa na CITY na Juve ila jamani tunapiga kelele hapa hizi timu ni vigogo.

Zinamfunga mkubwa yoyote akijichanganya.

Kwa CITY tuliingia na over confidence ya kumfunga mara 3, kwa Juve tulimchukulia kama amechuja akatusprize.

Ngoja tuone je tutapata matokeo huko mbeleni? Au hali itaendelea kuwa hii hii ya uhaba wa magoli.

Kesho Southampton tunatakiwa tumpige goli 4 bila
Kwa kweli hata leo TT kwenye press conference ameongea maneno ya matumaini mapya.

Tupo nyuma yake, ametupa mafanikio makubwa ndani ya muda mfupi kama kocha.

Tulimuomba tumalize top 4 20/21 akatupa heshima ya UEFA.

Kupoteza mechi 2 mfulilizo kumefanya benchi la ufundi na Wachezaji waamke usingizini.

Naamini kila mchezaji wa BLUES akjitoa uwanjani kwa asilimia 100 tutashinda kila mechi kibingwa.

Kesho tunafungua ukurasa mpya wa kushinda kila mechi.

Blue is the colour, football is the game
We're all together, and winning is our aim
She
Swali linakuja:-

1. Je ni mfumo wa uchezaji pale mbele umekuwa mgumu kwa washambualiji wetu, kupelekea kutoelewana na kufunga magoli?

Sasa ni wakati wa TT kubadilisha mfumo wa uchezaji?

2. Kama Tatizo sio mfumo bali ni viwango vya wachezaji vimeshuka, je tutatoboaje mpaka hiyo January usajili?

Tumefungwa na CITY na Juve ila jamani tunapiga kelele hapa hizi timu ni vigogo.

Zinamfunga mkubwa yoyote akijichanganya.

Kwa CITY tuliingia na over confidence ya kumfunga mara 3, kwa Juve tulimchukulia kama amechuja akatusprize.

Ngoja tuone je tutapata matokeo huko mbeleni? Au hali itaendelea kuwa hii hii ya uhaba wa magoli.

Kesho Southampton tunatakiwa tumpige goli 4 bila
Hiv wewe unaichukuliaje Southampton? Wale jamaa ni wagumu Sana na aina ya uchezaji wao dhidi ya team aina hizi ni ngumu Chelsea kutoboa labda Chelsea icheze kwenye ubora wao mkubwa Sana.Walivyocheza Juventus hawana tofauti na Southampton je tuna uwezo waku unlock defense ya Southampton?
 
Kwa maoni yangu Tuchel hakumjibu Conte vizuri japo kwa upande mwingine yuko sawa

Conte alidai Chelsea hawajui namna bora ya kumtumia Lukaku ili afunge magoli

TT jana akajibu kuwa kwenye mechi na Juventus ni kweli Lukaku alikuwa ametengwa (Isolated) akatoa sababu kuwa kila mara Lukaku kazungukwa na wachezaji 7 wa Juve
Swali langu ni hili, kama Lukaku alikuwa isolated na wachezaji saba wa Juve, hao wachezaji saba si lazima waliacha mianya kule kwingine. Kwa nini akina Havertz, Ziyech, Alonso, Azpi, RLC hawakutumia hiyo advantage ya Lukaku kulindwa na wachezaji 7? au hiyo plan haikuwepo? Mimi kwa mawazo yangu duni hiyo ilikuwa ni advantage kwetu kwa Lukaku kulindwa na wachezaji 7 kwa hiyo simple logic wachezaji 6 wameacha lindo lao

Tuchel yuko sawa kwa upande mwingine kwa sababu Conte alibase kwenye mechi na Juventus tu, hakuangalia mechi na Zenit, Arsenal na Aston Vila ambapo Lukaku aling'ara

Pili ligi bado iko mwanzoni, ndio kwanza inaanza halafu yeye Conte anawahi kuongea kana kwamba TT hajui yeye ndie anajua
 
Forward with Fewer Presses in EPL for 2021/22
Ronaldo lead the race while Lukaku seat at third position just before Allan Saint Maximini
FAmRZqQXMBUhrYn
 
Line up prediction baadaye

3-4-2-1


---------------------------------Lukaku ---------------------------------

Werner -----------------------------------------Mount

Alonso ------------- Kovacic ------------- Jorginho ---------- Azpilicueta

Rudiger ---------------------------- Silva -------------------------Christensen

-----------------------------------Mendy-----------------------------------
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom