Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ukweli ni kwamba Juventus walikua underdogs kwetu ,shida ya Chelsea ni kutengeneza nafasi za magoal
Uko sawa.... Hili kundi mpaka hapa limeshaanza kuwa gumu... Tunahitaji kushinda match 2 za malmo na moja ya Zenit, kinyume cha hapo tutauona moto.
 
Uko sawa.... Hili kundi mpaka hapa limeshaanza kuwa gumu... Tunahitaji kushinda match 2 za malmo na moja ya Zenit, kinyume cha hapo tutauona moto.
Wewe pimbi naona umepata adabu Sasa ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpk sasa tunashindwa kucreate chance za kuscore kama last season still player bado hawajua jins ya kulink na lukaku.

Now team nyingi zitakuja zinasit deep na zinafunga njia zote, lazima tustruggle
Zenit walionesha ,now juve kitu kile kile,


Next game tuko na watakatifu(Saint/Southampton) jumamosi, tunahitaji kushinda hii game, tutegemee saint watakuja kucheza like walivyocheza na city
 
OllaChuga Oc Jioni hii kule UEFA Youth Chelsea mmepigwa na Juve, na usiku huu huku UEFA Senior nako Chelsea mmepigwa tena na hao hao Juve, aisee 😂
 
Mpk sasa tunashindwa kucreate chance za kuscore kama last season still player bado hawajua jins ya kulink na lukaku.

Now team nyingi zitakuja zinasit deep na zinafunga njia zote, lazima tustruggle
Zenit walionesha ,now juve kitu kile kile,


Next game tuko na watakatifu(Saint/Southampton) jumamosi, tunahitaji kushinda hii game, tutegemee saint watakuja kucheza like walivyocheza na city
Huyo Lukaku mnavyomuongelea utafikiri mchezaji kweli kumbe mavi matupu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mpk sasa tunashindwa kucreate chance za kuscore kama last season still player bado hawajua jins ya kulink na lukaku.

Now team nyingi zitakuja zinasit deep na zinafunga njia zote, lazima tustruggle
Zenit walionesha ,now juve kitu kile kile,


Next game tuko na watakatifu(Saint/Southampton) jumamosi, tunahitaji kushinda hii game, tutegemee saint watakuja kucheza like walivyocheza na city
Ila tusijisahaulishe Lukaku sio big game player.pili Lukaku ni striker wa kukaa kwenye box na kusubiri mipira kwenye modern football mambo yanabadilika akina Mbape,Salah, Benzema wanafunga kwa kutanua uwanja kwanza kitu ambacho Werner anacho ila ana poor finish so nategemea kumuona Lukaku akistrugle especially kwa game ngumu
 
Lukaku highlights vs Juventus 🏃‍♂️👇
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom