Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pamoja na kupigwa £97mm za Rukaku bado unataka mrudi sokoni uwezi kuwa sirious
Ata tufugwe goli 100 mm ni Chelsea damu na ninaipenda ki ukweli ukweli, hakuna alie nilazimisha ama kunishikia bunduki ili niipende hii klabu. Ni mapenzi yangu mwenyewe, ila Chelsea tuache masikhara kabisa. Januari inapaswa tuingie sokoni kusaka winga, tunakosa mawinga wa kuchekecha na kulazimisha beki za timu pinzani. Hivi Ziyech kawa vip jamani mbona simuelewi kabisa

Ila game ya jana Tuchel yeye ndio kazingua kabisa, muoga wa kufungwa anajaza mabeki kama wote
 
Wachezaji waliochoka ni watatu tuu:-

Azipi
Kante
Mount

Ziyech, Odoi, Kai, Werner:- wamechoka na nini?

Wamecheza mechi ngapi?

Ina maana wamecheza kwa muda mrefu kuliko ile front 3 ya Liverpool (Mane, Firmino, Salah), bandika Bandua mechi zote karibia misimu 5 mfulilizo?

Kai, Odoi, Ziyech, Werner na Pulisic majeruhi, tangu waingie kikosini huwa wanaingia na kutoka hawajawahi kucheza mechi mfululizo hata 10, huo uchovu unatoka wapi?

Wangekuwa kule Liverpool si wangekufa uwanjani aisee?

Tusingizie uchovu bali ni viwango vya wachezaji wetu kule mbele Ziyech, Odoi, Kai, Werner vimeshuka. Ndio maana mabao wala Asisists havipatikani.

Viwango vyao vingekuwa juu na matokeo yanapatikana huyo MOUNT aliyechoka, angepata muda wa kutosha kupumzika, badala yake kijana mdogo anaharakishwa kupona arudi uwanjani kuokoa jahazi.

Muda mwingine tunaongea kwa hasira kwa sababu tulishaandika msimu huu tunabeba EPL. Sasa wale vijana wetu kule mbele wanatupa hofu.
Ila pulisic anakula mshahara wa bureee tuseme ukweli. Hapo ndio uzuri wa mkataba. Ingekuwa huku kwetu huyo angekuwa anauza dengu au miwa kariakoo
 
Lukaku ni suala la muda tu, pale tulipigwa za uso. TT alimtaka Halaand ama Lewandowski bodi ikampa Lukaku ndio nn sasa. Huyu kocha inabidi azinguane na bodi ili wakae sawa.
Hata huyo Hallaand angekuja kwa haina ya viungo wetu angepitia kama anavyopitia sasa hiv Lukaku kwa sababu wote aina moja wanaishi kwa service hiv umeona namna Hallaand anavyolishwa huko Dortmund labda ungesema Benzema ningekuelewa huyu ndio striker yupo tofauti na hao wawili style yetu angetufaa hata kama angekosa service
 
Werner auzwe, Havertz auzwe may be overated, Odoi auzwe, anachelewa kukua,
 
The BLUES ya sasa hatuna Mchezaji kama Hazard wa ku-unlock defensive ya opponent, wala hatuna mchezaji wa kupiga mashuti nje ya box.

Inabidi TT aige mbinu za CONTE, tunapaki bus muda wote tunakuwa tunavizia counter tuu. (Werner na Lukaku).

Hakuna kwenda juu kumfuata mpinzani wala kushambulia akiwa amepaki bus bali tunamsubiri aje yeye. Tumfyetue risasi ya kichwa.
Kipa hatuna shida tena
Mabeki hatuna shida tena
Hata mbele kuko powa tu
Hapo katikati mipasi ya Jorgninho isiyokuwa na haraka kwenda nyuma na upande upande hata wakati tumefungwa na muda umeyoyoma mimi sioni picha. Kova siku akiamka vizuri ndio anapeleka mipira mbele vizuri lakini siku nyingine duh, utadhani waliambizana
 
Lukaku wameshamujulia namna ya kumkaba ,


Kwanza anamsogelea beki ,Anampa mgongo beki ,beki ukiwa mjinga ukakubali kukaa nyuma ukashika mgongo juwa umekwisha kwan ananguvu nyingi za kugeuka na kukuacha ,Sasa lukaku akiwa mgongon na beki ukimpa mpira anaturn chapu anakuacha na anapachika goli ,alifanya hivyo kwa larpote akabanwa mbavuuu mbuuuuuuuuuuu.....


Jana kajaribu hivo hivooo kwa bonucci akala robaa moja nzito , akawa hafurukuti fuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu......

Sasa mnaanza kufarakana humu ndani
 
Hata huyo Hallaand angekuja kwa haina ya viungo wetu angepitia kama anavyopitia sasa hiv Lukaku kwa sababu wote aina moja wanaishi kwa service hiv umeona namna Hallaand anavyolishwa huko Dortmund labda ungesema Benzema ningekuelewa huyu ndio striker yupo tofauti na hao wawili style yetu angetufaa hata kama angekosa service
Kweli Chelsea Fans ni hatar sana hakuna hata uvumilivu
 
Hata huyo Hallaand angekuja kwa haina ya viungo wetu angepitia kama anavyopitia sasa hiv Lukaku kwa sababu wote aina moja wanaishi kwa service hiv umeona namna Hallaand anavyolishwa huko Dortmund labda ungesema Benzema ningekuelewa huyu ndio striker yupo tofauti na hao wawili style yetu angetufaa hata kama angekosa service
Hata Lewandowsky ni kama Lukaku tu, usipompa huduma hakuna analofanya
 
Hiv nyie watu mbona hamna uvumilivu Harvert nae auzwe Warner auzwe je mtabaki na wachezaji gani nyie hebu kuweni na uvumilivu kaaa nyie hao wakuimba mapambia kwa TT leo hafai kisa 2 game?
Ili tuingie sokoni, Chelsea muda wa kusubiri hakuna, tutakuwa kama Arsenal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom