Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Class
20211002_175230.jpg
 
Uzuri wa Chelsea hata mabeki wanafunga
Viungo tu ndio hawafungi tena ni Kovacic na Jorginho
Ila Barkley ni mfungaji, RLC ni mfungaji
Barkley naona anatuma sms kwa TT awe anampa nafasi, ile pasi ya kwa Azpi ilikuwa fantastic
RLC tayari ameshatuma message kuwa anafaa kwenye fisrt team
Saul naona ajiandae kurudi kwao Spain
 
Werner akicheza na lukaku atafunga magoal mengi tu, mabek wanakuwa busy na lukaku huku wakiachia nafas kwa werner.

Bado kuna kauchoyo flan kwa mount, kuna chance lukaku alikuwa ashafungua, mount akashoot badala ya kumpa lukaku
Umuhimu wa mount umeonekana baada ya kuingia kwenye kutafuta nafasi

Chilwell nahis hili goal litamjengea confidence yake,

VAR leo imetukatili hasahass kipindi cha kwanza
Hii game tulikuwa tunaimaliza 1st half km mwamuzi angekuwa yuko fair
 
Uzuri wa Chelsea hata mabeki wanafunga
Viungo tu ndio hawafungi tena ni Kovacic na Jorginho
Ila Barkley ni mfungaji, RLC ni mfungaji
Barkley naona anatuma sms kwa TT awe anampa nafasi, ile pasi ya kwa Azpi ilikuwa fantastic
RLC tayari ameshatuma message kuwa anafaa kwenye fisrt team
Saul naona ajiandae kurudi kwao Spain
Barkley hana tofauti na Mount, usije kumkataa mechi ijayo maana hana tofauti na gari la mkaa.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Kwa goli la Werner na Chilwell nadhani Chelsea sasa imeshafunga magoli kwa kuwatumia wachezaji tofauti 14 msimu huu
Hatuna mchezaji maalum wa kufunga, Lukaku atawazidi tu wengine ila hatakuwa mwenyewe, atasindikizwa na zaidi ya wachezaji 20 hadi msimu uishe
 
Werner akicheza na lukaku atafunga magoal mengi tu, mabek wanakuwa busy na lukaku huku wakiachia nafas kwa werner.

Bado kuna kauchoyo flan kwa mount, kuna chance lukaku alikuwa ashafungua, mount akashoot badala ya kumpa lukaku
Umuhimu wa mount umeonekana baada ya kuingia kwenye kutafuta nafasi

Chilwell nahis hili goal litamjengea confidence yake,

VAR leo imetukatili hasahass kipindi cha kwanza
Hii game tulikuwa tunaimaliza 1st half km mwamuzi angekuwa yuko fair
VAR imeshikiliwa na wadau wa kamali wakubwa sababu faulo haikuwa na mantiki yoyote ukilinganisha na goli walilopata Wolves.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo sikuona, kuna wakati niulikuwa nawahudumia wageni wangu nikaacha kuconcetrate, kocha awapike wajue umuhim,u wa kumtumia talisman Lukaku
Wakiwa hawana uchoyo kwa kutumia fursa vizuri hasa pale ambapo Lukaku atakuwa ameomba mpira na yuko katika nafasi nzuri ya kufunga Chelsea tutatisha sana Ulaya.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom