lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,694
- 25,910
Jamani mimi nimekuwa safarini tangu Alhamisi kwa kazi maalumu iliyonitenga na network, sikuweza hata kuangalia mechi ndio naingia nyumbani asubuhi hii. Naona tumeshindwa kabisa kuifunga defensi ya timu C ya Man United ni defensi ipi tutaiweza kuifunga.
Je tutaweza hizi defensi
Chelsea itamaliza ya 12 na safari yetu ya FA inaishia kwa Leeds Unbited
Chelsea is now the NETFLIX, tukitegemea next season kila msimu
Poleni sana
Chelsea itahitaji mabadiliko makubwa ikiwemo kuwaondoa akina Enzo, Delap, Garnacho. Neto na yale malapulapu ya siku zote akina Tosin, Badiashile.
KOcha pia n i mpumbavu huyu, yeye kaja katikati ya msimu badla ya kuendeleza mfumo wa Enzo maresca ambao wachezaji waliumudu anakuja kubadilisha mbinu na kutest mbinu zake za kijinga kwenye timu ambayo tayari ni mbovu. Kocha huyu hana akili na hata akili ndogo aliyokuwa nayo imeondolewa na hao wamiliki wanaomjaza uongo kichwani
Je tutaweza hizi defensi
- Brighton vs Chelsea — Tue, 21 Apr, 22:00
- Chelsea vs Leeds (FA Cup Semi-Final) — Sun, 26 Apr, 17:00
- Chelsea vs Nottm Forest — 4 May, 17:00
- Liverpool vs Chelsea — 9 May, 14:30
- Chelsea vs Tottenham — 17 May, TBD
- Sunderland vs Chelsea — 24 May, 18:00
Chelsea itamaliza ya 12 na safari yetu ya FA inaishia kwa Leeds Unbited
Chelsea is now the NETFLIX, tukitegemea next season kila msimu
Poleni sana
Chelsea itahitaji mabadiliko makubwa ikiwemo kuwaondoa akina Enzo, Delap, Garnacho. Neto na yale malapulapu ya siku zote akina Tosin, Badiashile.
KOcha pia n i mpumbavu huyu, yeye kaja katikati ya msimu badla ya kuendeleza mfumo wa Enzo maresca ambao wachezaji waliumudu anakuja kubadilisha mbinu na kutest mbinu zake za kijinga kwenye timu ambayo tayari ni mbovu. Kocha huyu hana akili na hata akili ndogo aliyokuwa nayo imeondolewa na hao wamiliki wanaomjaza uongo kichwani