Unapoteza muda wako kumjibu huyo Ni dishi linaloyumbaUmeona uchezaji wake au kwasababu hajafunga goli?
Tuliza wenge mkuu dogo kacheza vizuri. Movement yake ipo sawa kabisa.
Husipime ubora wa mchezaji kwa kufunga goli. Ingekuwa ivo basi wote wasiofunga magoli wasingekuwa wanacheza uwanjani