Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kai harvertz ni Nicolas Pepe wakizungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umeona uchezaji wake au kwasababu hajafunga goli?

Tuliza wenge mkuu dogo kacheza vizuri. Movement yake ipo sawa kabisa.

Husipime ubora wa mchezaji kwa kufunga goli. Ingekuwa ivo basi wote wasiofunga magoli wasingekuwa wanacheza uwanjani
 
Umeona uchezaji wake au kwasababu hajafunga goli?

Tuliza wenge mkuu dogo kacheza vizuri. Movement yake ipo sawa kabisa.

Husipime ubora wa mchezaji kwa kufunga goli. Ingekuwa ivo basi wote wasiofunga magoli wasingekuwa wanacheza uwanjani
Mpotezee huyo Yy kakariri magoli tu....amesahau mchezaji wake pogba kamaliza msimu uliopita na goli 1 tu...
 
Taarifa za odoi bayern wanamtaka ila lampard anamtaka aendelee kuwepo

Ziyech nilisema nyuma tutegemee kumuona baada ya international break
FL atakuwa akimuanzisha Odoi ili kuua hizo rumours
Odoi anabaki na atakuwa Winga mahiri sana wa baadaye kuliko hata akina Willian
 
1st goal. Chilwell
1601735229345.gif
 
Tammy Abragham angetumia ule mwanya Pulisic yuko majeruhi kuonyesha kuwa anaweza kuvaa hivyo viatu vya na. 9 lakini kashindwa
Pulisic kasharudi na mechi ijayo tutegemee Pulisic kuanza na Werner kucheza na. 9. Tammy atabaki kuwa sub na ligi za mbuzi
 
Chelsea have had 9 penalties this season but you won't hear a word because they aren't Manchester United.
 
Tulitegemea Ben Chilwell aanze vizuri kwa sababu EPL anaijua vizuri
Werner na Havertz ni suala la muda
Thiago Silva yeye sidhani kama anahitaji muda, ndio kashaanza na Zouma yuko onfire. Hao watatukoma msimu huu, hata tusipobeba ndoo lakini tutawafanyia pre-season ya 2021/22
Mendy tumeona composure yake utadhani pacha wake na OBLAK
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom