Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Westham bado wanakazakaza wanataka mpunga mrefu na Chelsea inashindwa kutoa pesa zaidi kwa sababu bado haijauza wachezaji.
VP hili dili mnalionaje wanablues
IMG_20201003_084924_359.JPG
 
Mshabiki nguli wa Crystal Palace, nitakuwa hapa kumwaga updates kama zoțe, tuwe pamoja

Here we go.

Chel 2 Crystal Palacě 5
 
Binafsi siku zinapozidi kwenda ninakosa matumaini na kocha wetu Lampard anasema Ziyech hayupo fiti wakati team yake ya Taifa kaitwa.Hiv karibuni nimesikia taarifa eti odoi atatolewa kwa mkopo nikajiuliza ule uamuzi wa kuumuza Willian ulikuwa namaana gani? kwa kipindi hiki ambacho tuna injury Kama angekuwepo Willian angekuwa msaada kwetu.Leo hii Rudiger hata sub hamuweki Cha ajabu kwenye team yake ya Taifa (Ujerumani) anaanza kwenye first eleven Lampard hii team imemzidi uwezo.
lembu
Cash Money Forever
Southern Highland
shimba96
hazard Don
 
Baada ya kunyimwa kumsajili Emerson, Inter sasa wanamtaka Alonso
Napoli nao wana mtaka Bakayoko
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawezi kuwa yeye bhana. Hiyo mishavu kama kameza mandazi mazima mazima.
Ni yeye...

Kikosi chenu kikiwa cha kumuacha odoi na pulisic nje kama lampard alivyosema mjiandae.

Na akirudia mchezo wa kumuweka werner kama LWF mjiandae pia.

Yule beki wenu James kwa mitungi anayopiga ilibidi Giroud awepo jamaa anajua kupiga cross vibaya mno ila skills za kupangua watu zinamshinda.
 
FL akiri majeruhi imemlazimisha kuwachezesha Kai na Timo kwenye nafasi ambazo sio zao
Timo alitakiwa acheze kama striker na Havertz kama CAM
Hata hivyo majeruhi ya Ziyech na Pulisic imelazimu Lampard kumchezesha Timo kwenye nafasi ya Pulisic na Haverts kwenye nafasi ya ZIyech
Wakirudi hao majeruhi tutategemea Pulisic arudi kwenye LW, Timo striker, Ziyech RW na hapo ndipoo ngoma itanoga
 
Binafsi siku zinapozidi kwenda ninakosa matumaini na kocha wetu Lampard anasema Ziyech hayupo fiti wakati team yake ya Taifa kaitwa.Hiv karibuni nimesikia taarifa eti odoi atatolewa kwa mkopo nikajiuliza ule uamuzi wa kuumuza Willian ulikuwa namaana gani? kwa kipindi hiki ambacho tuna injury Kama angekuwepo Willian angekuwa msaada kwetu.Leo hii Rudiger hata sub hamuweki Cha ajabu kwenye team yake ya Taifa (Ujerumani) anaanza kwenye first eleven Lampard hii team imemzidi uwezo.
lembu
Cash Money Forever
Southern Highland
shimba96
hazard Don
Lampard Out
 
Chelsea have told Antonio Rudiger that he will only be able to leave the club on loan this summer if he signs a new deal at Stamford Bridge, a stance which could impact their bid to sign Declan Rice from West Ham.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom