OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,313
😂😂😂😎[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2089][emoji2089]
😂😂😂😎[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2089][emoji2089]
This is Kourt Zouma (Huyu ni Kourt Zouma)
Ahahah Haya bhana muhimu una enjoy 😎😎Kesho Chelsea hana jambo, Aston villa vs Liverpool. Nitakuwa Liverpool 😀😀
Huyu dogo bado utoto unamsumbua jumlisha pressure ya mashabiki na kutaka kuprove wrong watu.Mwambieni Tammy asilete utoto kwa kung'ang'ania penalti kama biskuti
'If Tammy wanted to take it and wants the goal, then he can get put in his place a little bit.
I appreciate his eagerness because his performance deserved a goal but those are the rules.
'You don’t jump the list at any moment unless someone is on a hat-trick.
We are so comfortable that I decide.'
Said Frank Lampard
View attachment 1589632
Ni mechi yake ya pili, ya kwanza alicheza kutokea sub. Labda tuseme ya kwanza kuanza katika kikosi cha kwanza.Samatta atupia magoli 2 na kuifanya Fenerbahce iongoze ligi ya Uturuki kwa pointi 8 baada ya mechi nne
Hii ni mechi yake ya kwanza tangu aihame Aston Villa kwa mkopo wa muda mrefu ambao unaweza kubadilishwa na kuwa usajili wa kudumu mwishoni mwa msimu
Ushindi huu umekuja baada ya Fenerbahce kufululiza droo mbili na kuamb ulia point 2 tu
View attachment 1589641
View attachment 1589640
Ubebwaji unaoongelewa hapa ni namna penalty zinavyotokea na siyo tu kupata penalty.
Okay basi tufute penalty tufanye tumeshinda 2-0
Watakuwa na kazi kweli kweli mbele ya timu kama Liverpool, Leeds, Chelsea, Arsenal, Leicester, Everton, Spurs, SIJUI KAMA WATACHOMOA
Nilijua hivyo ila kiswahili kigumu mkuuHuyu dogo bado utoto unamsumbua jumlisha pressure ya mashabiki na kutaka kuprove wrong watu.
Msimu uliopita kafunga zile goli 15 bila hata moja la penalty sasa sijui anaingiwa na ujinga gani kuanza kugombania kupiga penalty.
Labda wakimsajili CavaniMbona hujaitaja Manchester United?
Kikosi cha Chelsea kutoka bara la Africa
Asume wote wangekuwepo kwenye rika moja la sasa hivi na wako kwenye ubora wako kama akina Etoo, Weah, Drogba, Esien, Babayaro, Desailly, Geremi na wengineo je unafikiri hawa jamaa wangeweza kubeba ndoo ya EPL?
View attachment 1589800
Subs: Aina, Rahman, Moses, Traore, Ba, Salah, Ziyech.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbona hujaitaja Manchester United?
Tate Mkuu Si kwasababu baadhi ya wachezaji wapo injury na langoni kuwa Kepa ila Sasa hivi wachezaji washaanza kupona na tumempa MendyIngawa ni shabiki wa Chelsea, ila sijawahi kuziamini falsafa za Mwana Chelsea mwenzetu Frank Lampald.
Timu imekua nyanya kwa vigogo, huku ikibahatisha ushindi kwa timu ndogo. Kiufupi haina tofauti na timu yangu ya Yanga kwa namna inavyotumia nguvu kubwa kupata ushindi tofauti na wenzetu wa mikia/mbumbumbu fc.
Duh huyu Leicester kumbe anapigika tuAsee mpira ni kazi ngumu sana yan Leicester aliyemchabanga Man City misumari mitano kwake leo kashikwa kunako kafumuka 3 kwa nunge.
Loooh
Anapigika ila akikuotea shughuli utakua huna. Nadhani kwa Man City aliangalia udhaifu akapiga hapo hapoDuh huyu Leicester kumbe anapigika tu
Huyu ni kumshika tu kama CP jana kuhakikisha achezi mipira mirefuAnapigika ila akikuotea shughuli utakua huna. Nadhani kwa Man City aliangalia udhaifu akapiga hapo hapo