Wewe Jamaa
lembu nilikuwa ninakuamini sana lakini Kumbe ni Muongo na Mzushi.
Mimi sijawahi kuanzisha wala kushiriki Movement ya #KLOPPOUT. Kwahili niombe radhi.
Mashabiki wa Liverpool wako makini na wanachokiona! Kwenye Uzi wetu wa Liverpool tokea nijiunge Sijawahi kuona Movement ya KLOPPOUT.
Mimi mwenyewe binafsi ni Mkosoaji Mkubwa wa Klopp ambapo tupo wengi sana lakini tulimvumilia na tukawa tunakosoa sera zake tu! Hii habari ya KLOPPOUT haikuwahi kuibuka kwenye Uzi wetu Kwani tulijua kuwa ni Kocha bora ila haikuwa na Wachezaji.
Nenda Kafukue makaburi kama utakuta post yoyote kwenye Uzi wetu ya Mshabiki wa Liverpool iliyowahi kusema KLOPPOUT.