Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Hii kauli huwa unaipinga sana. Hatimaye leo umesema kabisa utashinda game yetu. Naomba nikusubiri kwa hamu sana wewe na timu yako bora.Kabla ya Kunifunga hii 2018 unaweza Kumbuka na wewe Kwa Mara Ya Mwisho kunifunga ilikuwa lini? Na Je Kipindi Hicho Chote Nilikufunga Michezo mingapi?
2016 → 2017 → 2018 Kumbe Kusema Kote Kuwa Kwa Mara ya Mwisho Kukufunga ilikuwa Ni 2016 Ni kwamba nimekukosa Mwaka mmoja tu Wa 2017? 😀😀
Basi Mara hii 2018 nitarudia Kazi yangu Kukufunga.
Sent using Jamii Forums mobile app


