Luiz kwenye kukaba ni tatizo;bora arudi Cahil au ChrisSarriball inaanza kufanya kazi kidogo mapungufu yapo kwenye ukabaji kama kuna kutegeana hivi
Nafikiri yakifanyiwa kazi hayo mapungufu timu itatisha msimu huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliskia imefutwa sababu ilipost picha ambazo zina hatimiliki ya Chelsea. Inasemekana Chelsea hawataki picha zinazomilikiwa na wao wazipost watu wengine sababu inawaletea ushindani kwenye app yao, sababu za kibiashara n.kAlafu kama kuna mtu ana follow breathechelsea Instagram hivi in kuwaje hiyo page haipo tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, ila ilikuwa very active page.Ilifungiwa baada ya official chelsea account kuiomba instagram waifungie kutokana na issue za copyright.
Nawasubiri hao vijana. Tulipokutana msimu uliopita hawakuwepo vijana.?Usijali! Kuna vijana 3 hao wana njaa sana tarehe 29 September watakuja Kuirekebisha hiyo defence yenu.
Lifeafterbreathechelsea
Nawasubiri hao vijana. Tulipokutana msimu uliopita hawakuwepo vijana.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua mara ya mwisho we kunifunga ilikua 2016. Kama hutaki tuzungumzie past basi naomba hata future tuiache kama ilivyo.Tunapozungumzia sasa basi tubaki kwenye sasa tu! Lakini Unapozungumzia Past basi usiishie Msimu uliopita tu Zungumza na Kabla ya Hapo Coz kabla ya Msimu uliopita Hukuwa na Matokeo Mazuri Kwa Liverpool Manake Unachukuwa Ubingwa ukiwa na Conte basi nilikupiga Hapohapo Darajani.




Alishasema atawatumia sana wale alioenda nao pree seasonAu labda anaona aanze na Willian na Pedro maana wamezoea zaidi mfumo kuliko Hazard
Sent using Jamii Forums mobile app