Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hazard Deal Done, kuanzia tarehe 30 June 2019 atakuwa mchezaji wa Real Madrid
 
Mara zote tumeshinda EPL tukiwa na mtu anayefunga magoli 20+ kwenye EPL pekee yake (Costa, Drogba). Je huyo mtu yupo tangu hao waondoke?
Jitahidi utumie akili yako kufikiria. Hakuna timu inabeba ubingwa ikiwa na forward butu. Barca wana Suares na Messi; Madrid walikuwa na Ronaldo; Man City wana Aguero na Sterling; Liverpool wana Mane na Salah. Kwa hiyo usijidanganye kwamba mabeki na midfield watacover makosa ya foward

Sent using Jamii Forums mobile app
na wewe ufikirie kuwa mfumo wake sarri si wamagoli ni waoi hata ajr firward gani hawez fikisha hizogoli under sarrr
 
Dear Mr Sarri,
- You told us about the Sarri ball but you did not tell us tha you will convert Alonso to a striker?
- Why did you not tell us that Jorginho was not just a player but also a pass master?
- Your team had 82% ball possession and ur opponent had 18%. Isn't that wicked?
- jorginho had more passes than the whole Newcastle team. Wasn't that humiliating your counterparts?
- Minister of defence Mr Antonio Rudiger was my man of the match for that long range strike that blasted the woodwork. Did you also notice?
- lastly Mr Sarri, please help me tell Mr Kovacic that I said he is a beast that should be feared by opponents this season.
yours friendly


Sarri ball lover

N.B Please tell Mr Hazard not to be a ONE MAN GANG our opponents also need tym to breathe during play.

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji23] [emoji23][emoji23] Huku ndiyo kukosa kueka hakiba ya maneno
 
TETESI
MOU will be back to Chelsea for the third time this coming summer to replace Sarri. What is your opinion?
Will we welcome him again or continue with Sarriball?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom