Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna watu mnapenda kujifariji.


I swear to you...Liverpool ikimaliza huu msimu juu yetu kwa njia yoyote utakayoamua..nitakupatia Laki tano kamili.

Sihitaji chochote kwako..ni imani niliyonayo juu ya hii klabu aisee.
Hongereni kwa ushindi wakubwa, mnatisha.

Mpaka sasa naona kabisa namba 3 ni ya kwenu nyuma ya Man City na Liverpool.
 
Kuna watu mnapenda kujifariji.


I swear to you...Liverpool ikimaliza huu msimu juu yetu kwa njia yoyote utakayoamua..nitakupatia Laki tano kamili.

Sihitaji chochote kwako..ni imani niliyonayo juu ya hii klabu aisee.
Don kuna laki tano ya bure kabisa hapa
 
Kuna watu mnapenda kujifariji.


I swear to you...Liverpool ikimaliza huu msimu juu yetu kwa njia yoyote utakayoamua..nitakupatia Laki tano kamili.

Sihitaji chochote kwako..ni imani niliyonayo juu ya hii klabu aisee.

Hahaha, sawa mkuu mimi sina cha kutoa, uzuri humu hatujuani hata ikitokea ukakaa kimya siwezi kuidai na siyo contract.

Mimi ninaamini una maanisha, na nitakuwa na ninyi bega kwa bega mpaka ligi inaisha.
 
Sarri anazinguaga hapo tu.
Yaani anakuwa best runner.
Wewe sio fan wa The Blue, timu imeboreka hivi halafu bado unasema hayo. Waache hao ambao wako obsessed na Ubingwa kila mwaka na hawapati hata Carabao
 
Bora yetu Chelsea wenye lengo la kucheza kandanda safi mwaka huu, ubingwa pembeni, tukipata tunamshukuru Mungu, na tusipopata mwaka huu, mwaka kesho lazima tuchukue, Liverpool wako obsessed na Ubingwa kila mwaka na hawapati hata Carabao. Poor Klopp, poor Liverpool fans
 
Kuna watu mnapenda kujifariji.


I swear to you...Liverpool ikimaliza huu msimu juu yetu kwa njia yoyote utakayoamua..nitakupatia Laki tano kamili.

Sihitaji chochote kwako..ni imani niliyonayo juu ya hii klabu aisee.
Klopp atakuwa aki-fight UEFA position inapokaribia mwishoni mwa ligi, tumezoea hivi miaka yote hata enzi za akina Benitez na Brendan Rogger
 
Wewe sio fan wa The Blue, timu imeboreka hivi halafu bado unasema hayo. Waache hao ambao wako obsessed na Ubingwa kila mwaka na hawapati hata Carabao
Mi ni Fan kindaki ndaki wa The Blues.

Angalia past record ya Sari utanielewa.
 
Mi ni Fan kindaki ndaki wa The Blues.

Angalia past record ya Sari utanielewa.
Ligi ya kwanza kubwa ya Sarri Serie A na timu yake ya kwanza ni Napoli ambao walikuwa na bibi Juve, Napoli ni timu ndogo isiyoweza kununua wachezaji ghali tofauti na Chelsea. Napoli kwa miaka 26 imeweza kuwa top kwenye seria A chini ya Sarri. Sasa amekuja kwenye timu yenye uwezo wa kununua wachezaji atakaowataka. Na tumeanza kwa kumpa kipa ghali kuliko wote duniani. January tutaziba viraka isipotosha msimu wa kiangazi tutamalizia kwa ajili ya 2019/20. Japo kwa kusoma historia yake Sarri ni kama Wenga hapendi kununua wachezaji, ni aina ya kocha anayeam,ini kwenye kujenga alianao
 
Hahaha, sawa mkuu mimi sina cha kutoa, uzuri humu hatujuani hata ikitokea ukakaa kimya siwezi kuidai na siyo contract.

Mimi ninaamini una maanisha, na nitakuwa na ninyi bega kwa bega mpaka ligi inaisha.
Ona ulivyokua haujiamini!' mwenzio katoa dau halafu ww usiweke dau? weka na ww dau acha umama, si unauhakika na timu yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom