lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,490
Chelsea not for saleHahahahahahahahahahahahahahahaha haitauzwa club tu mpaka mashabiki mtauzwa au mmejisahaulisha kuwa Abramovich alinunua Chelsea na mashabiki
Chelsea not for saleHahahahahahahahahahahahahahahaha haitauzwa club tu mpaka mashabiki mtauzwa au mmejisahaulisha kuwa Abramovich alinunua Chelsea na mashabiki
Washabiki wengi wa Chelsea wanaona ununuzi wa Kepa ndio wa maana msimu uliopita, wanaosaga ni wivu tuSometimes ubishani mwingine ni wa kupimana akili na kupoteza muda tu. Ngoja na mimi nipoteze na wewe.
Amecheza mechi tisa ana cleansheet 4. Tunashika nafasi ya tatu.
Ughali wake ni kwa sababu ni mdogo na ana umri wa miaka 24 so bado anaqeza kuwa bora zaidi hapo baadae.
Tatizo lako kila kitu unajifanya unajuaMtifuano wa kisiasa umesababisha haya yote mkuu, Wanasema kwa sasa Abrahamovic anatumia status yake ya Uraia wa Israel kupumua huko UK, Mradi wa ujenzi wa uwanja uko mashakani, haya ndiyo madhara ya kuingiza siasa kwenye michezo.
Haha, nimetoa mawazo yangu kama wewe mkuu, hakuna mahali nimelazimisha mtu kuamini ninachosema, you are just feeling insecure by my presence, Jamii forums ni huru kwa kila mtu na naruhusiwa kuchangia Jukwaa lolote lile vile ninavyojisikia tu. Hakuna member ambaye ni mmiliki wa Thread ama jukwaa lolote, wote tupo sawa. Kwahiyo kama comment yangu imekukera sana. ungeachana nayo tu.Tatizo lako kila kitu unajifanya unajua
Siasa ni kila kitu na siasa Ndio inaamua michezo
Hakuna tajiri duniani asiye na mahusiano mazuri na rais wa nchi yake labda kama hajui biashara ni nini
Na umekuja kureply huu utumboPIcha yako ianonyesha una hekima lakini ulichokiandika ni utumbo mtupu
OkSometimes ubishani mwingine ni wa kupimana akili na kupoteza muda tu. Ngoja na mimi nipoteze na wewe.
Amecheza mechi tisa ana cleansheet 4. Tunashika nafasi ya tatu.
Ughali wake ni kwa sababu ni mdogo na ana umri wa miaka 24 so bado anaqeza kuwa bora zaidi hapo baadae.
Man I am too old for this. Take ur timeOk
Kumbe golini ni kiazi tu ila udogo wake ndo sababu yq ughali wake, hapo fresh
Too old and yet umekuja kucommmentMan I am too old for this. Take ur time


Too old and yet umekuja kucommment
Yes you are old
Too old and yet umekuja kucommment
Yes you are old
Na bado unaendeleaBenjamin Carson hawezi kuwa kama wewe. Vitu unavyo andika kila mtu anweza ishia kukushangaa.



Old man hawezi kua wwBenjamin Carson hawezi kuwa kama wewe. Vitu unavyo andika kila mtu anweza ishia kukushangaa.
Nakufundisha maisha mdogo wangu. Keyboard zetu zinaficha mengi.Na bado unaendelea![]()
Old man hawezi kua ww
Sawa mkubwa wanguNakufundisha maisha mdogo wangu. Keyboard zetu zinaficha mengi.
Mkuu Ollachuga inakuhusu hii
Eden kimario picha inajieleza ina kuhusu mtafute na MkuuJasho la kuku hii picha inawahitaji
Eden kimario picha inajieleza ina kuhusu mtafute na MkuuJasho la kuku hii picha inawahitaji
Hayo magoli ya Salah yameleta kombe gani kwa Liverpool?Mkuu Ollachuga inakuhusu hii