lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,490
Mo hata akiwa na timu mbovu huwa ni tactical kwenye timu kubwaMINILISEMA SARRI KATULETEA MPIRA MWEPESI SANA YANI MAN U NAUDHAIFU WAO TUNALAZIMISHA DROO KWELI WAKUU
Mo hata akiwa na timu mbovu huwa ni tactical kwenye timu kubwaMINILISEMA SARRI KATULETEA MPIRA MWEPESI SANA YANI MAN U NAUDHAIFU WAO TUNALAZIMISHA DROO KWELI WAKUU
We Ngwaba mnaacha kwenda kuchonga na timu yenu mbovu huko kwenye jukwaa lenu mnakuja kuleta ngebe hapa na droo, je kama tungefungwa si mngebinafsisha hili jukwaa, Ebo. Wewe pambana na hali yako wiki ijayoLeo Nadhani utaconfirm Kuwa Hawa Washabiki Wa Chelsea Ni Amateurs Wa 2010 hadi 2015..
Tazama Leo Wako Wapi hapa?
Sisi Tunafungwa na Hatukimbii Majukwaa..
Wao Wamedraw tu lakini Wameingia Mivunguni
Tukafuate nini huko kwenye timu mbovu, 90 mins 1 shot on target na timu mbovu kama huddersfieldNina uhakika weekend hii sitawaona kwenye Uzi wa Liverpool...
Sarriball ya nyoko imedrawTukafuate nini huko kwenye timu mbovu, 90 mins 1 shot on target na timu mbovu kama huddersfield



Mourinho kaifanya kuwa sorry ballSarriball ya nyoko![]()
Timu mbovu ya Liverpool, haitafika mbali, wiki ijayo tu mtaanza kuchana mikeka ovyo
Tukafuate nini huko kwenye timu mbovu, 90 mins 1 shot on target na timu mbovu kama huddersfield
We Ngwaba mnaacha kwenda kuchonga na timu yenu mbovu huko kwenye jukwaa lenu mnakuja kuleta ngebe hapa na droo, je kama tungefungwa si mngebinafsisha hili jukwaa, Ebo. Wewe pambana na hali yako wiki ijayo
Leo Nadhani utaconfirm Kuwa Hawa Washabiki Wa Chelsea Ni Amateurs Wa 2010 hadi 2015..
Tazama Leo Wako Wapi hapa?
Sisi Tunafungwa na Hatukimbii Majukwaa..
Wao Wamedraw tu lakini Wameingia Mivunguni
MKUU MPIRA HAUPO IVO MPIRA WATU WANASAKA MATOKEO UNAZD TAKWIMU ZISIZO SAIDIAAlafu nyumbu wanakuja ooohooo mnafurahia doroo, mara ooooohooo sijui nini?
Utd amezidiwa kila kitu na Masigara. Kz kucheza mpira wa kuvizia vizia km mwizi. Na alipopata goli la pili akajifanya kufanya sub 3 haraka haraka na kumuingiza Hererra ili akapaki li bus lake. Lkn tangu alipofunga goli la pili, lango la Utd lilisakamwa mpk goli likapatikana. View attachment 905605View attachment 905606View attachment 905607
Costa asahau kulipwa sawa na grizman,unajua grizman malipo yake hata CR7 alikua hafikii malipo ya grizman wakati yupo madrid sijui sahivi juventus analipwaje,costa asepeTumrudishe costa tu maana nasikia kule kagoma kusaini abata malipo sawa na grzman