eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Tuko na Sarri mzee asiejua kukaba Bali kushambulia tuChelsea naona mmetakata, sio kwa gonga hizi, ila kuweni makini, Arsenal wakitulia mtakufa kwa Counter.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa nyingine nzuri ila saa nyingine mbaya
Ukikutana na team inayojua kutumia nafasi unakufa
Mi mwenyewe wananishangaza wamesahau kabisa kuzuia zuia sasa hivi ni mbele kwa mbele tu na mipasi yao
E&K
4' Eto'o