Ntuzu
Nonda si anti-chelsea.Lakini pia Nonda hapendi kabumbu kugeuzwa rugby au mieleka.
Ntuzu
Mnaolalamika Costa kuachwa. Ipo hivi: unaporetaliate baada ya faulo. Unapewa adhabu kubwa zaidi. Costa kala yellow, ambayo ni halali yake. Red kwake ingekuwa too harsh
Back to topic. Nimegundua John Terry ndio weakest link ya team. Mourinho aendelee kumpa bench tu kama tunataka ukuta wetu urudishe heshima.
Sasa mbona umekuja usiku hivi? Mi leo silali Nakesha Na wakaanga sumu.
Niambie ripota wetu.... Kuna nini mpya? Costa atafungiwa au vipi? Kiboko yenu Mou anasemaje?
And Mourinho likened Costa's physical approach and passion to those taking part in the Rugby Union World Cup.
... and Diego was fantastic - man of the match."
link BBC Sport - Wenger: FA should investigate how Diego Costa escaped red card
Nilikuwa nasubiri ulete uchambuzi wa mechi lakini umeamua utoe dukuduku,maumivu ya mechi zilizopita kwa " wakaanga sumu"?
FA wakiipitia video ya mchezo wa leo na kuona mieleka ya Costa uwezekano ni kuwa atakula ban ya mechi moja hadi 3 hivi.
Ile yellow card aliyokwisha pewa ndiyo imecover adhabu yoyote ambayo angekuja kupewa kama asingepewa card.
So dont expect any more punishment for him.
FA wakiangalia video kwa ajili ya kujiridhisha kama Costa anahitaji kuadhibiwa zaidi, kwa ma/tukio alilomfanyia Koscielny atapigwa ban(red card).
Diego Costa behaviour disgusting - Wenger
Link BBC Sport - Chelsea 2-0 Arsenal: Diego Costa behaviour disgusting - Wenger
Link Premier League Playback: Is Chelsea's Diego Costa clever, or a thug? |HUYU HAPA MU-ARSENALI MWENZENU ANAMUELEZEA COSTA: MARTIN KEOWN
![]()
He's on the edge but he plays that game perfectly, testing defenders each week. Who is brave enough to take me on? Who wants to tango?
The clever thing about Costa's approach is that he has worked out more or less where the line is with regards to getting sent off. He slaps rather than throws punches, he flails his arms rather than elbows and he winds people up with words.
He's on the edge but he plays that game perfectly, testing defenders each week. Who is brave enough to take me on? Who wants to tango?
The clever thing about Costa's approach is that he has worked out more or less where the line is with regards to getting sent off. He slaps rather than throws punches, he flails his arms rather than elbows and he winds people up with words.
Bado hajapigwa ban, amepewa nafasi na muda wa kujitetea lakini video haijachakachuliwa, haisemi uongo. Sioni vipi ataweza kujitetea na kuepuka ban.Kaka yangu weeeee usiniache hoi, mwenzio ana hasira za mkizi hahhahahhahhaha
HUYU HAPA MU-ARSENALI MWENZENU ANAMUELEZEA COSTA: MARTIN KEOWN
![]()
He's on the edge but he plays that game perfectly, testing defenders each week. Who is brave enough to take me on? Who wants to tango?
The clever thing about Costa's approach is that he has worked out more or less where the line is with regards to getting sent off. He slaps rather than throws punches, he flails his arms rather than elbows and he winds people up with words.
He's on the edge but he plays that game perfectly, testing defenders each week. Who is brave enough to take me on? Who wants to tango?
The clever thing about Costa's approach is that he has worked out more or less where the line is with regards to getting sent off. He slaps rather than throws punches, he flails his arms rather than elbows and he winds people up with words.
I'm f**king tired of it if I'm honest.When he jumped up and chest-barged Koscielny, my immediate reaction was, "What the f**k are you doing?".
Seriously, it's embarrassing. Every f**king game he gets involved in this nonsense and it's becoming a running joke.
Some of us want to watch football, if he's not interested in playing he should become a wrestler. I hope Jose has a seriously strong word with him now. We've lost him for three games and he's on borrowed time, because he's a marked man now, and I just don't think he can play with that level of scrutiny, because he'll have to change his game dramatically.
He's got what he deserved, a three game ban, nobody can argue. It's f**king pathetic if you ask me. There'll be people saying he's shrewd, a street fighter etc. Ain't nothing smart about being banned.
The biggest laugh is when he's described as a hard man.
He's got problems, and he needs to sort them out, and this is where Mourinho comes in, he needs to instil a bit of discipline, he needs to do what Fergie did with a few of his bad boys, channel that aggression constructively, remove the excesses. Let's not go around blaming other
people. This is all Diego's fault.
(Huyu aliye yatamka haya maneno anaitwa Tim Lovejoy, ni TV Presenter shabiki mkubwa sana wa chelsea lakini yamemfika shingoni ameamua afunguke tu, but still kuna mashabiki maandazi wa chelsea hasa hapa jf hawataki kuukubali ukweli,)
Link Mike Dean 'caught celebrating' Tottenham goal against Arsenal | Metro NewsKONGOLI HAPA ... .. [video]https://o.twimg.com/2/proxy.jpg?t=HBhlaHR0cHM6Ly9hbX AudHdpbWcuY29tL3Byb2QvZGVmYXVs dC8yMDE1LzA5LzE5LzE0LzFlN2IzZD dmLTEzZDEtNDY4OC1hN2YzLWRjOWU5 N2I4MmE3YV9wb3N0ZXItMTAwMC5qcG cUwAcUnAQAFgASAA&s=rsSpobIojoY h70sezzAUdAUHo0oLabKSXJAbj5HjQ 9o[/video]
![]()
Mike Dean mighty have officiated his last game for the Gunners in his career, Gunners supporters have launched a ''petition inquiry'' to force the FA to open an investigation. Already more than 30,000 supporters have signed .... ...
Tabia ya kupokea brown envelopes imemponza
Habari ya mujini kwa sasa....
Amekula sana hamsini zangu 'kwishney babu jii' teeeehe teeehe
Uwiiiiiiiiiiiiii hili lijamaa dah siku mkicheza na sisi msije mkatuumizia watoto wetu wanaocheza kwa akili na sio mabavu hahahaaaaa everlenk uje unichukue nisipigweee naona watu wamekasirika duu
Dunia nzima inajua Man u ndio team inayoongoza kwa kubebwa na Marefa,naona mmekuwa wepesi sana wa kupoteza kumbukumbu!!