Afu we dada wewe khaaaaaa leo mbona umejaaa sana hapa
Hahahaaaaaaa hapa ndio nyumbani na uzuri leo kuna ngoma za baikoko raha iliyojeeee
Afu we dada wewe khaaaaaa leo mbona umejaaa sana hapa
Tatizo ni club sio kocha
Ntuzu umeona maneno hayaaaaaHahahah
Kilimanjaro (MAJI) Baridi yanitosha. Hata siku ile nilikosa kujitetea maana sikuona la kutetea... Costa alikosea kabisa tena kwa Asilimia kubwa sana ila ndio hivyo tena saa zingine twaweka mapenzi mbele kuliko ukweli...
Ngoja utasikia Mo atavyo ongea na bado yeye ale zake kutokana na Eva.....
Heshima itarudi tuuu
cute b leo una nini leo
Hahahah
Kilimanjaro (MAJI) Baridi yanitosha. Hata siku ile nilikosa kujitetea maana sikuona la kutetea... Costa alikosea kabisa tena kwa Asilimia kubwa sana ila ndio hivyo tena saa zingine twaweka mapenzi mbele kuliko ukweli...
Ngoja utasikia Mo atavyo ongea na bado yeye ale zake kutokana na Eva.....
Heshima itarudi tuuu
Hahahah muone kwanza.....
Ila wewe leo una kitu na sisi maana ushaandika karibia mara 50 kuhusu sisi.....
Siku hizi hatukutank kuleee kwetu...
Ngoja kampeni ziishe maana kwa sasa #team.mabadiliko
Mummy tuache utani hili lijamaa ni linyama sana......
Hii nyumba leo vipi mbona fujo?
Mummy tuache utani hili lijamaa ni linyama sana......
Jamaaa ni linyamera duuuh...
Mtani Tunasherekea yule mwanamasumbwi maarufu kwenye EPL nzima kala ban ya mechi tatu kwaajili ya lile tendo la kigaidi alilolifanya kwa mchezaji wa Wenger.
Hahahah muone kwanza.....
Ila wewe leo una kitu na sisi maana ushaandika karibia mara 50 kuhusu sisi.....
Siku hizi hatukutank kuleee kwetu...
Ngoja kampeni ziishe maana kwa sasa #team.mabadiliko
everlenk huyoo ana fujo kama niniHii nyumba leo vipi mbona fujo?
FA wamemuonea kweli mechi 3 daaah .... Walitakiwa wampe upendeleo wa mechi 10 kidogo ningeshukuru
Mtani Tunasherekea yule mwanamasumbwi maarufu kwenye EPL nzima kala ban ya mechi tatu kwaajili ya lile tendo la kigaidi alilolifanya kwa mchezaji wa Wenger.
Chelsea 2 arsenal 0