Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa ndio mtafahamu kuwa mlibebwa. Costa angelipata haki yake (kadi nyekundu) kwa uhuni alimfanyia Koscielny mlikuwa mnatandikwa viboko 3,4, 5.

Mnachonga midomo kiunazi tu, ninyi si katika wale wanaopenda kandanda, mnapenda mieleka na kushinda mechi vyovyote iwavyo.

Itakula kwenu sasa kwa sababu waamuzi watakuwa wanawatupia macho kwa umakini zaidi.


Kwa hiyo unategemea waamuzi ili kuishusha Chelsea? Una uhakika gani kama Costa angepigwa red Chelsea angefungwa hizo goli ulizozitaja? Wenger ni mteja kwa Moureen na atasubiri sana!!

Binafsi nimefurahi Costa kupigwa ban ili tumuweke Remy,nyie wenyewe ndio mtajuta na kuanza kulia lia Oooh! bora hata Costa huyu Remy ni moto!!

Tulieni acheni kufanya Sherehe zisizo na maana,vichapo vipo njiani vinakuja
 
Kwa hiyo unategemea waamuzi ili kuishusha Chelsea? Una uhakika gani kama Costa angepigwa red Chelsea angefungwa hizo goli ulizozitaja? Wenger ni mteja kwa Moureen na atasubiri sana!!

Binafsi nimefurahi Costa kupigwa ban ili tumuweke Remy,nyie wenyewe ndio mtajuta na kuanza kulia lia Oooh! bora hata Costa huyu Remy ni moto!!

Tulieni acheni kufanya Sherehe zisizo na maana,vichapo vipo njiani vinakuja

Costa angetolewa msingefunga...
Kwanza wote mngekuwa pungufu.
First half mlikuwa wote mngeonyesha ubabe wenu tuone sasa.
Second half kila red card moja na goal moja. Mnecheza na watu 9 nyie 11 na refa wenu 12 bado unaita ni ushindi?
Wenger alikuwa mteja wenu enzi mnaitwa Chelsea ila now ni chelshit kwa wenger hamsogez labla mbebwe.
Umesahau fainal ya kombe la sahani? Duuu wenger mbayaaaaaa
 
Pacha wewe ni moto wa kuotea mbali ...nimekushindwa maana sio kwa sebene lile duuuh

Hahahahahaha mumy acha kabisa jana news za Costa zimenikuta pazuri Kula sebene sana hapa kila kiungo kinalia jinsi jana kilivyohusika ahahahahaha......mumy watu walitupa ahadi za kunya kitandani na kutembea uchi hawajatekeleza ,Mimi nimesema ntafungua kigodoro nimetekeleza hahahhahahha
 
Hahahahahaha mumy acha kabisa jana news za Costa zimenikuta pazuri Kula sebene sana hapa kila kiungo kinalia jinsi jana kilivyohusika ahahahahaha......mumy watu walitupa ahadi za kunya kitandani na kutembea uchi hawajatekeleza ,Mimi nimesema ntafungua kigodoro nimetekeleza hahahhahahha

Hahahaaahaaaa ya kunya alikunya ya kutembea uchi ndio balaa nasubiri mpaka nachoka.
Ila ahadi ni deni..hahagaaaa #wembaaaaayaaaa
 
Costa angetolewa msingefunga...
Kwanza wote mngekuwa pungufu.
First half mlikuwa wote mngeonyesha ubabe wenu tuone sasa.
Second half kila red card moja na goal moja. Mnecheza na watu 9 nyie 11 na refa wenu 12 bado unaita ni ushindi?
Wenger alikuwa mteja wenu enzi mnaitwa Chelsea ila now ni chelshit kwa wenger hamsogez labla mbebwe.
Umesahau fainal ya kombe la sahani? Duuu wenger mbayaaaaaa

"Kombe la Sahani" hahahahaaaaaa!! Kumbe unapigia kelele game moja!! Mwanitesa utd kazi mnayo
 
"Kombe la Sahani" hahahahaaaaaa!! Kumbe unapigia kelele game moja!! Mwanitesa utd kazi mnayo

Yaah ni game moja baada ya kuhama from chelsea to chelshit na bado hahahaaaaa wenger sio level yenu tena nyie labla muwafunge jkt ruvu fc
 

Attachments

  • 1442896397871.jpg
    1442896397871.jpg
    21.9 KB · Views: 50
Unajiliwaza kwa kuangalia table naona! Ila usisahau aliyepo position 15 na position 6 tofauti ni 2 pts tu....achana na msimamo wa league for now utakudumaza akili na kukuongopea tu!!

Hii ni itakuwa ni Present Perfect tense sijui nimepatia ????? cute b weeeeeeeee Njooo nisaidie mama unajua mimi niko English course leo nafanya practical humu humu ndani. ......
 
Last edited by a moderator:
"Kombe la Sahani" hahahahaaaaaa!! Kumbe unapigia kelele game moja!! Mwanitesa utd kazi mnayo

Hakuna team inayoitwa Chelshit labda huko kwenu Mbagala, teh! teh!

Heheheeee uchungu wa costa naona umeubeba wewe.
View attachment 289663
Hamna inayoitwa hivyo ila kuna inayoitwa mwanitesa united.
Yaan chelshit fans mnakuwa kama mike dean? Hahahaaaa kosa ni moja ila mnaona la wenzenu kosa tuu.
Sawa nimewaita chelshit napewa red ila hamna namna FA wakikaa wataona na kosa lako la kutuita mwanitesa united then u ta be banned kigodoro kitaendelea..
Bwahahahagaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom