Umevurugwa wewe kafie mbele huko
Lol ukiambiwa mmebebwa unakuwa mkalii
Umevurugwa wewe kafie mbele huko
Lol ukiambiwa mmebebwa unakuwa mkalii
Lol ukiambiwa mmebebwa unakuwa mkalii
Bora uniambie wewe mwahego lkn sio hao mburura....
We're talking about rules, not history.
What Matic did though was not a serious foul play, was violent conduct against an opponent that deserves outright three match ban.
Hata kama wewe ni mnazi wa Chelsea, sidhani kama utaunga mkono alichofanya because wrong plus wrong doesn't make it right.
Nilijua utachonga tu leo. Najua furaha imeongezeka baada ya kujua matokeo ya man. City.Wakaanga sumu wanapokosa la kusema hulopokwa tu
Nilijua utachonga tu leo. Najua furaha imeongezeka baada ya kujua matokeo ya man. City.
Mentor anasema,"back in business"... Kalou ameenda kununua kipaza sauti, tisubiri akirudi atakavyomsifia Ivanovic.
And Mourinho likened Costa's physical approach and passion to those taking part in the Rugby Union World Cup.Sasa mbona umekuja usiku hivi? Mi leo silali Nakesha Na wakaanga sumu.
Niambie ripota wetu.... Kuna nini mpya? Costa atafungiwa au vipi? Kiboko yenu Mou anasemaje?
Nilijua utachonga tu leo. Najua furaha imeongezeka baada ya kujua matokeo ya man. City.
Mentor anasema,"back in business"... Kalou ameenda kununua kipaza sauti, tisubiri akirudi atakavyomsifia Ivanovic.
Mmebebwaaaaa
Ushindi wa kupewa na mwamuzi unakufanya uite watu haters?Kumbe refa ndiye aliyefunga zile goli 2 za Chelsea?! Nilikuwa sijui
Pole sana hater kumbe umeumia hivyo!!
Ushindi wa kupewa na mwamuzi unakufanya uite watu haters?
Furahi lakini weka akiba ya maneno.
Unaibuka siku ze bluuz inaposhinda tu?
Mentor alilia wiki iliyopita na " haters", " wakaanga sumu" walimfariji. Ntuzu pia alikuwa kama piriton wiki iliyopita, leo amekuwa kama panadol.