Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Last edited by a moderator:
Tutaendelea kupokea vigodoro na vitanda maana kelele za mlango hizi ......
 
2 goals 3 points
Hater poleni sana

Makosa ya Marefa hayakuanzia mechi ya jana! Yapo siku zote na yataendelea kuwepo,

Kweli watu wanaihofia CHELSEA
nashangaa kuona fans wa Man u wanataka Arsenal ashinde wakati Arsenal yupo top na Chelsea bottom kwenye msimamo wa ligi..!!


BASI limekata breki sasa tunapitia kila kilicho mbele yetu,Hater mjiandae tu na vidonge vyenu vya kushusha Pressure

KTBFFH
Sasa ndio mtafahamu kuwa mlibebwa. Costa angelipata haki yake (kadi nyekundu) kwa uhuni alimfanyia Koscielny mlikuwa mnatandikwa viboko 3,4, 5.

Mnachonga midomo kiunazi tu, ninyi si katika wale wanaopenda kandanda, mnapenda mieleka na kushinda mechi vyovyote iwavyo.

Itakula kwenu sasa kwa sababu waamuzi watakuwa wanawatupia macho kwa umakini zaidi.
 
Sasa ndio mtafahamu kuwa mlibebwa. Costa angelipata haki yake (kadi nyekundu) kwa uhuni alimfanyia Koscielny mlikuwa mnatandikwa viboko 3,4, 5.

Mnachonga midomo kiunazi tu, ninyi si katika wale wanaopenda kandanda, mnapenda mieleka na kushinda mechi vyovyote iwavyo.

Itakula kwenu sasa kwa sababu waamuzi watakuwa wanawatupia macho kwa umakini zaidi.

Heheheheee na ile Nonda imeshafika???!!!!? Antchelsea????

Ngoja nijilalie zangu mie.
 
Last edited by a moderator:
My dear usingizi umebana vibaya. Ngoja Mimi nilale.

Niwatakie usiku mwema wooooote.

Nawapenda sn....
God bless you.
One love bby.

#KTBFFH.
#GGMU.
Cc cute b My bby........
Ntuzu, Mentor
MMeona sasa?
Nilimiambieni FA wakiangalia video lazima Costa atapigwa ban. Costa anajijengea jina baya, Ile ban ya mwazo alipomkanyaga kwa daluga Can wa Liverfool pia ilitolewa baada ya video review. Sasa waamuzi watamtazama kwa umakini.

Mshukuru hakupigwa red siku ya mchezo, mgelibakia nafasi ya 17 au 18.

Link BBC Sport - Diego Costa: Chelsea striker charged with violent conduct by FA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom