Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
wazee wa mbeleko hao
Ww unapenda Chelsea tufungwe kila siku ?
wazee wa mbeleko hao
Ww unapenda Chelsea tufungwe kila siku ?
Mkuu naamini utakuja kunipa hongera......
wazee wa mbeleko hao
refa amezingua sana. yule costa chizi kama kocha wakeWamebebwa hadi wanaona aibu kushabikia ushindi wao
Umeibuka Ntuzu?Kubebwa kuzuri mamito
kaka ile mbeleko lakiniWw unapenda Chelsea tufungwe kila siku ?
Kocha alipomtoa kichaa wake, Kichaa alionekana kukereka sana.refa amezingua sana. yule costa chizi kama kocha wake
akili zao zinafanana waleKocha alipomtoa kichaa wake, Kichaa alionekana kukereka sana.
Nimeiangalia game zote za Chelsea msimu huu. Game zote Costa kacheza akiwa na jazba, na hii ni kutokana na kukabwa sana. Anataka afunge. Anashangaa anayeongoza kwa magoli anatoka timu za ajabu. Kwa kweli Costa anaasira kama mwathirika.
Mkuu nisamehe tu leo nimewadharau sana na litimu lenu ni la upuuzi mtupu
Umeibuka Ntuzu?
Sasa lete uchambuzi. Ilikuwaje leo Ze bluuz kushinda hii mechi kwa kiwango cha mpira waliocheza? Ukitilia maanani kutolewa kwa mchonga meno, na lile goli la kwanza, off side rule haitumiki katika maamuzi pale? Je Costa alistahili kubaki uwanjani?
Mwamuzi aliharibu ze utamu. Mbeleko itamrjesha Kalou na Mentor na vipaza sauti.
FA imchunguze Mwamuzi na maamuzi yake ya mchezo huu, anavunja na anashusha hadhi ya mechi kubwa kama hizi.
refa amezingua sana. yule costa chizi kama kocha wake
Yaan hii game ya leo ya Chelsea 2- arsenal 2 red card hatariii.
Na ndio maana kipindi cha kwanza wakiwa wametimia hamna goli lililofungwa baada ya kutoka huko HT sijui refa alilishwa maharage ya wapi