Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Iiiiyaaaaaaaaaaa dishuaaaaaaaaa
 

Attachments

  • 1442858749263.jpg
    1442858749263.jpg
    19.7 KB · Views: 42
Kusema ukweli Costa akose tu hata wangemuweka mechi 100 nje hana athari kwetu... kufunga hafungi
 
Kusema ukweli Costa akose tu hata wangemuweka mechi 100 nje hana athari kwetu... kufunga hafungi

Hahhahahhahhahahhahah ustake nikauke na cheko miye hiyo ndo mashine ya Mou wewe unasemaje????????
 
Kamata mwiiz men.
Yaah za mwizi ni 40
 

Attachments

  • 1442860097549.jpg
    1442860097549.jpg
    22.7 KB · Views: 49
Najitolea kumlipia costa ada aende shule za mieleka mpira hawezi hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 

Attachments

  • 1442860169590.jpg
    1442860169590.jpg
    22.2 KB · Views: 46
Bora tuogeee kama Kocha alishindwa muonya mchezaji wake muda wote hadi afikie huko kocha ndo mwemye matatizo.......
Yule jamaa aio mchezaji kabisa

Aiseeee leo unaongea point sana kunywa kinywaji kwa bili yangu, timu zote 2 pia zimepewa adhabu kwa kushindwa kuwacontrol wachezaji wao.
 
Uwiiiiiiiiiiiiii hili lijamaa dah siku mkicheza na sisi msije mkatuumizia watoto wetu wanaocheza kwa akili na sio mabavu hahahaaaaa everlenk uje unichukue nisipigweee naona watu wamekasirika duu
 

Attachments

  • 1442860257888.jpg
    1442860257888.jpg
    23.5 KB · Views: 51
Last edited by a moderator:
Najitolea kumlipia costa ada aende shule za mieleka mpira hawezi hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Mummy tuache utani hili lijamaa ni linyama sana......
 

Attachments

  • 1442860649002.jpg
    1442860649002.jpg
    52 KB · Views: 51
  • 1442860663860.jpg
    1442860663860.jpg
    66.4 KB · Views: 53
  • 1442860678958.jpg
    1442860678958.jpg
    28.6 KB · Views: 54
  • 1442860694338.jpg
    1442860694338.jpg
    28.6 KB · Views: 50
Kumbee ana jezi kabisa eee bwahahaaaa za mwizi 40
 

Attachments

  • 1442860542845.jpg
    1442860542845.jpg
    38.5 KB · Views: 50
Aiseeee leo unaongea point sana kunywa kinywaji kwa bili yangu, timu zote 2 pia zimepewa adhabu kwa kushindwa kuwacontrol wachezaji wao.

Hahahah
Kilimanjaro (MAJI) Baridi yanitosha. Hata siku ile nilikosa kujitetea maana sikuona la kutetea... Costa alikosea kabisa tena kwa Asilimia kubwa sana ila ndio hivyo tena saa zingine twaweka mapenzi mbele kuliko ukweli...
Ngoja utasikia Mo atavyo ongea na bado yeye ale zake kutokana na Eva.....
Heshima itarudi tuuu
 
Bora tuogeee kama Kocha alishindwa muonya mchezaji wake muda wote hadi afikie huko kocha ndo mwemye matatizo.......
Yule jamaa aio mchezaji kabisa

Tatizo ni club sio kocha
 

Attachments

  • 1442861292021.jpg
    1442861292021.jpg
    22.1 KB · Views: 43
Hahahah
Kilimanjaro (MAJI) Baridi yanitosha. Hata siku ile nilikosa kujitetea maana sikuona la kutetea... Costa alikosea kabisa tena kwa Asilimia kubwa sana ila ndio hivyo tena saa zingine twaweka mapenzi mbele kuliko ukweli...
Ngoja utasikia Mo atavyo ongea na bado yeye ale zake kutokana na Eva.....
Heshima itarudi tuuu

Waiterrrrrr mpe Kilimanjaro ya baridi Root weka tatu tatu agrrrrrrrr kumbe kasema maji hahahaha
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom