Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea 2 arsenal 0

HT
Chel 0- ars 0.
Baada ya half tym
Chel 2-ars2 red card.
Red card moja ilikuwa imebagua hivyo tunatoa
Red card moja ilimpa chelsea goal moja batil na tunaliondoa rasm.
Hivyo matokeo ni haya.
Chel1+1red card= 2
Ars 0+ 2red card= 2
Ngoma droo
9/12 hahahaaaa cc my pacha everlenk
 
Last edited by a moderator:
Diego Mafujo keshafunguliwa mashtaka FA
Tusubiri adhabu
 
HT
Chel 0- ars 0.
Baada ya half tym
Chel 2-ars2 red card.
Red card moja ilikuwa imebagua hivyo tunatoa
Red card moja ilimpa chelsea goal moja batil na tunaliondoa rasm.
Hivyo matokeo ni haya.
Chel1+1red card= 2
Ars 0+ 2red card= 2
Ngoma droo
9/12 hahahaaaa cc my pacha everlenk

Hahahhahahhahahahhahahah mumy weeeeeee jibu lake ni 3/4 kama haelewi tutamfanyia na integration na differentiation kabisaaaaaaaa......
 
Last edited by a moderator:
Wallah CUTEb huwa nakuogopa unaposimamia show ya vigodoro

Hahahaaaa hii show ya leo kuna baikoko pia nashangaa wenyeji wamenunaa.
Kwani kuna mtu kafiwa jamani nyie wenyeji? Acheni hizo.
Unajua ni nini mkuu costa gaidi kauwawa.
Sasa hali shwareeee
 
Last edited by a moderator:
Unatakiwa uwahurumie tunaoenda kukutana nao wakati Costa ana ban ya game hizo willy anaanza Pedro anasogea mbele Remy na falcao wanasubili we utakuwa unaendelea kutupia hongera humu sawa sawa?(maalim seif)

Hahahhahaha mweeee hadi screen yangu imekataaa kukuonaa
 
Màaanina zake, mechi 3 hazimtoshi hayawani huyu. Game zote za msimu huu kacheza akiwa na jazba sana. Wangemlima na faini ya maelfu ya £ kenge huyu. Ameshindwa kufunga magoli msimu huu anamkasirikia kila mtu. Pumbavu zake

Kulikoni wavurumisha malugha hayo kwa mambo ya kawaida kabisa?
 
Hahahhahahhahahahhahahah mumy weeeeeee jibu lake ni 3/4 kama haelewi tutamfanyia na integration na differentiation kabisaaaaaaaa......

Mamy uki differentiate costant jibu ni sawa sawa na buyuuuuuuuu.
Chelsea watajutraaaa ushindi wao wa juzi hauna dhamani yoyote hivyo ni constant
 

Attachments

  • 1442863704014.jpg
    1442863704014.jpg
    5.6 KB · Views: 58
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaa wewe husagi sumu tuu na kulisha watu pia

Hahaaaaaaaaaah

Hahahaaaa hii show ya leo kuna baikoko pia nashangaa wenyeji wamenunaa.
Kwani kuna mtu kafiwa jamani nyie wenyeji? Acheni hizo.
Unajua ni nini mkuu costa gaidi kauwawa.
Sasa hali shwareeee

Wenyeji wameona jinsi mbeleko inavyochanika inawezekana wanaumwa leo
 
Hahahahahaha kaka huwajui tu hawa Chelshitty wana fujo kama Costa wao balaa leo tumeamua kuwashukia na semitrela la full sound music tucheze kigodorooo weee mpka Asubuh.....

Hivi hii kigodoro inabadilisha matokeo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom