Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Kuna watu sijawahi ona, uwanja wa Chato uwanja wa Chato, hivi Chato ni wananchi wa wapi? Wao hawana haki ya kuwa na uwanja? Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?

Mnatukana kila siku Chato utafikiri wao hawatakiwi kuwa na uwanja. Kwa taarifa yenu wananchi wa Chato si wajinga, muulizeni mgombea wenu alichokipata Buselesele na Katoro hadi akasitisha kwenda Chato, haya yote ni siasa mbovu isiyo na staha, hata kama unachallenge tumia lugha rafiki, don't be so biased to that extent, watu wa Chato amewatukana sana, Buselesele na Katoro yalikuwa maeneo ya upinzani lakini kutokana na dharau za Lissu matokeo yake CHADEMA leo inazomewa, Lissu asingezomewa Buselesele kwa namna ile, Awe na akiba ya maneno kwani anaowatukana wanasikia .

Inashangaza sana unatukana halafu bado eti unaenda kuwaomba kura, unatukana barabara kujengwa huku unazitumia, unatukana ndege huku unazipanda huo ni U CHICHIDODO.

Hopeless kabisa , let's stay tuned leo.
Umesema sahihi! Chato ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanayo haki kama wa Tanzania wengine kupata maendeleo.
 
Wapi nimeandika asiende Chato?

Nilichoandika ni busara ya kuamua kwenda kwenye strong hold za mshindani wako.

Unapofanya campaign ili kutumia resources zako vizuri ni muhimu pia kuelekeza nguvu katika maeneo utakayopata support.

Lissu awezi pata kura za kutosha Chato wala mgombea ubunge wa CDM awezi shinda Chato. Sasa kwanini uende sehemu kama hiyo kitu ambacho utavuna sanasana ni ku provoke wapiga kura na kuwawekea risk local CDM cadres kwa siasa zetu za kiafrica.

Tatizo lenu mnashabikia kila upuuzi wa huyu mtu, mbona awawekezi resources kwenye siasa Zanzibar umejiuliza kwanini?
Una elimu gani jamaa?
Una umri gani?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwanja wa Chato unatumika/utatumika kwa emergency zitakazotokea katika uwanja wa Mwanza kwa kupokea ndege zilizotakiwa kutua uwanja wa Mwanza.
Shinyanga, Bukoba, Musoma vinaweza kufanya kazi hiyo kwa ufanisi zaidi kuliko kupoteza mabilioni ya fedha za walipa kodi, hiyo emergency ya kijijini kwa Jiwe inatia mashaka
 
Mbona unajitoa ufahamu bado mchana kweupe Tumia logic wanaochuana ni wat wa 2 tu halafu akose 3% kweli vingine angalieni bhna 3% ya kura 29milion ni 870k kweli atakosa kura laki 870 au unaongea tu na ww uonekane umechangia
Mkuu 713 ,ndio ujue misukule hiyo,huna haja ya kubishana nayo au kuilewesha. Kamwe haiwezi kuelewa sababu bongo zao zimeshanyofolewa.
Yaani mtu kabisa anaandika kuwa Lissu hawezi pata 3% ya kura zote!?
Huyo ni mzima kweli!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani wengi wetu tuliingia kwenye siasa bila kuwa na ufahamu sahihi - jmn dunia nzima ushindi wa kisiasa hutanguliwa na:-
- mbinu bora,
- mkakati imara, na
- uwezo

Sasa CDM and comp iwapo mkikosa kujua hili mtasumbuka sana - why ninyi mkose mbinu, mkakati na uwezo wa kuziia hao uwaitao maagent wa CCM - sisi kama chama hitaji letu ni ushindi, sasa tumeupataje inategemea na jinsi mlivyolegea
Bado uko kwenye mipasho huna mantiki na huwezi kutetea mavi kuwa yananukia.

Hata mwizi na jambazi dhamira ni kupata pesa, kwa hiyo mbinu zao zinafaa maadam hitaji lao limekamilika?

Tunataka tume huru siyo hii ya CCM
Polisi wanaolinda raia siyo wanaolinda maslahi ya CCM.

Naomba uje na hoja ambayo inaweza kumfanya mwenye akili a fikirishi kidogo siyo hiyo mipasho yenu ya Lumumba
 
Sasa si mngeanza na ombi la tume huru kabla hamjajiingiza kwenye huu uchaguzi wa mwaka huu?? mmeshafeli tu, mwambieni Robert Amstadarm hakuna vidume kuolewa hapa!!
Kwanza naona katika vitu unavyopenda ni kuolewa na Robert Amsterdam, maana una wivu kama mke mwenza kwa Robert.

Pili jukwaa lipi la kudai tume huru? Au mlitegemea wapinzani watasusa kama Zanzibar ya Jecha na uchaguzi wa serikali za mitaa 2019?

Tutawapigia humo humo, tutapiga kura na kuzilinda na tutashinda. Tumekomazwa na policcm hatuogopi mabomu wala risasi kudadadadeki
 
S
Hakuna duniani sheria ya mafao ya jamii inayolipa mafao kwa mfanyakazi eti simply amefukuzwa au ameacha kazi kabla ya kufikisha umri wa kustaafu. Maana ya mifuko ya jamii na malengo yake ni kuweka akiba ya mfanyakazi ili ukistaafu aweze kuwa na kipato asiwe ombaomba! Hata hao wanaume zenu mabeberu wanafanya hivyo hivyo!!.
wanaume wa serikali ya Magufuli pia usisahau, Jana tu kawaita mabeberu waje kuwekeza kwenye madini, kilimo nk.

Mna wivu halafu mna nyodo, IMF, world Bank na mashirika ya misaada ya kimataifa mkienda kuomba misaada mnabana makalio mkitabasamu, mkirudi kwa wajinga kama wewe mabeberu.

Sakata la Makonda na mashoga serikali yako ya kinafiki ilitoa taarifa kutambua haki za hao mashoga
 
Nachukia sana hayo mambo, hasa unapomuona kijana amelegea kiuno najiuliza hivi akiwa kijana wako unajisikiaje?
Hata wake wanaobaka vijana wadogo huwa anatamani wauwawe tu kama ningekuwa mtawala.
Kwa mara ya kwanza imebidi nikubaliane na wewe
 
SERENGETI haukujengwa wa Lami sababu sheria za kimataifa haziruhusu kujenga uwanja wa ndege wa lami ndani ya mbuga

Wa chato uko nje ya mbuga .Mbuga ndio zimeanzishwa uwanja upo sasa ni part two ni kampeni ya kuzitangaza dunia nzima watu waanze kuzitembelea na flight zianze baada ya kupata vibali vya shirika la usafiri wa anga duniani yaani ICAO
Kwani Mikumi hakuna barabara ya lami na pale wanapojenga bwawa la Stieglar Gorge mbona ni mbugani na sheria za kimataifa za kulinda mazingira zinakataza ujenzi kama huo.

What a contradiction and what a hypocrisy??
 
Kuanzia leo CHATO nawaweka kwenye kundi la wananchi wanaojitambua yaani mmemuonyesha mbeligiji kwa CHATO siyo aridhi iliyolaaniwa ni mwiko kwa mashoga kukanyaga.

Kwanza mmeuthibitishia umma kwamba hizo picha zinazonyesha Lissu apokelewa umati wa wananchi CHATO ni fake, kwani vijana wengi wanaolalamika kupopolewa na mawe wanadaiwa kutoka Katoro hadi Mgombea Ubunge Jimbo la Geita mjini aka chakula ya faru John alikuwepo.

Pili Kama kweli alipokelewa na umati kama huo hakuna mtu ambaye angekuwa tayari kuanzisha vagi la kurusha mawe .

Mwisho
Lissu mwenyewe amekili kwamba wamezomewa chato na alichokiita kundi la UVCCM, asante sana wakazi wa CHATO kwa kumuadabisha mbwa huyu.
 
Sasa Magufuli ni mtu kabila gani kama sio msukuma ?
Ila ndani ya Ccm inaonekana hata raia wa Angola anaweza akapewa uongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni msumbwa sasa wasumbwa walipoteza lugha baada ya kumezwa na wasukuma enzi hizo wasumbwa wakiwa watumwa wa wasukuma wakiwachungia ng'ombe.

Mwanzoni mwa millennium iliyopita wasukuma wakija huku na mifugo yao wakitokea kaskazini mwa Congo DR waliwakuta wenyeji wasumbwa wakiwa masikini wakilima kijadi na hivyo kuwafanya vijakazi vyao.
 
Kuanzia leo CHATO nawaweka kwenye kundi la wananchi wanaojitambua yaani mmemuonyesha mbeligiji kwa CHATO siyo aridhi iliyolaaniwa ni mwiko kwa mashoga kukanyaga.

Kwanza mmeuthibitishia umma kwamba hizo picha zinazonyesha Lissu apokelewa umati wa wananchi CHATO ni fake, kwani vijana wengi wanaolalamika kupopolewa na mawe wanadaiwa kutoka Katoro hadi Mgombea Ubunge Jimbo la Geita mjini aka chakula ya faru John alikuwepo.

Pili Kama kweli alipokelewa na umati kama huo hakuna mtu ambaye angekuwa tayari kuanzisha vagi la kurusha mawe .

Mwisho
Lissu mwenyewe amekili kwamba wamezomewa chato na alichokiita kundi la UVCCM, asante sana wakazi wa CHATO kwa kumuadabisha mbwa huyu.
Acha bangi kijana.
 
Huyo ni msumbwa sasa wasumbwa walipoteza lugha baada ya kumezwa na wasukuma enzi hizo wasumbwa wakiwa watumwa wa wasukuma wakiwachungia ng'ombe.

Mwanzoni mwa millennium iliyopita wasukuma wakija huku na mifugo yao wakitokea kaskazini mwa Congo DR waliwakuta wenyeji wasumbwa wakiwa masikini wakilima kijadi na hivyo kuwafanya vijakazi vyao.
Kumbe wasukuma asili yao ni Congo, basi sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom