Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,721
218,274
Screenshot_2024-01-13-12-41-18-1.png
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza maandamano ya amani Januari 24 mwaka huu mkoani Dar es Salaam kuishinikiza Serikali kuzingatia maoni ya wadau kuhusu masuala ya uchaguzi.

Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024

Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe mbele ya vyombo vyote vikubwa vya Habari vya Kimataifa pamoja na vyombo vidogo vya Tanzania.


CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE

=================For English Audience=================​

The opposition party, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), has announced peaceful protests scheduled for January 24th this year in the Dar es Salaam region to urge the government to consider stakeholders' opinions on electoral issues.

These protests for justice will commence in Dar es Salaam and will take place on January 24, 2024.

This statement, eagerly awaited by all citizens was announced by the party's Chairman, Freeman Mbowe, in front of major international media outlets as well as local Tanzanian media platforms.
 
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu na anayejitambua anayeweza kuunga mkono ujinga wa CHADEMA wa kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo. Yaani sisi watanzania na akili zetu tuandamane kuwaunga mkono CHADEMA na mawazo yao finyu ya kutuongezea mzigo wa gharama ya kuwahudumia wabunge wawili wawili kila jimbo? Kwamba CHADEMA inatuona ni wajinga sisi watanzania? Au mbowe anafikiria kuwa sisi ni wajinga kama anavyowachukulia wafuasi wake kama watu wasio na akili na wanaofanana akili Na nyumbu na wanaoweza kubadilishiwa gia mahali popote pale kama alivyofanya 2015?

Sasa kama mbowe anataka maandamano aandamane yeye na mke wake na watoto wake ndio wawe mbele .na siyo kutanguliza watoto wa watu mbele huku yeye akiwa kwenye Tv akila Minofu ya nyama nakushushia bia. Mbona hajawahi kuongoza maandamano kwa kuwa mbele? Mbona watoto wake hawajawahi kushiriki maandamano? Je Watoto wake siyo Watanzania? Mbowe aache ubabaishaji na kuficha udhaifu wake wa kushindwa kuliongoza chama kutokana na kuwa na mawazo mgando na kufika kikomo cha mwisho kifikra baada ya kukaa muda mrefu madarakani tokea 2004 .
 
View attachment 2870448

Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Makao Makuu ya Chadema Mikocheni .

Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024

Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.

Sometimes maandamano sio solutions ya kila kitu!. Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

Rafiki yangu Zitto, niliwahi kumuuliza Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee?

Pia CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.


P
 
Machadema akili zenu sawa na za ng'ombe tu.
Bora hata ng'ombe ana akili . CHADEMA akili zao ni kama nyumbu tu.kwa sasa wamejaa uroho kama mafisi.ndio maana wanapendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo ili matumbo yao yapate shibe vizuri huku wananchi wakibebeshwa mzigo wa gharama za kuwalipa. CHADEMA wanafiki Sana nawasio faa hata kusikilizwa kwa lolote lile.wamekuwa wajasiriasiasa
 
Nyie watu haya maigizo yenu ndo yanayowafanya wananchi washindwe kuwaamini,hamujui kipi mnataka toka kwa serikali na kwa wananchi,kama sikosei mbowe aliwahi kusema yeye kama mwenyekiti wa chama hataruhusu chama chake kushiriki uchaguzi bila mabadiliko ya katiba au bila katiba mpya.

Sasa hiki mnachokipinga na kuhamasisha wafuasi wenu kuandamana ni kipi!? Nani kawadanganyeni kuwa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi ilikuwa ni kwa manufaa yenu !? Si mlishasema bila katiba mpya hamtashiriki uchaguzi!? Subirini muda wa uchaguzi ili msishiriki.


Tanzania tuna vyama vya siasa zaidi ya 15 ,kutoshiriki kwa chadema hakuna madhara kwa nchi yetu.

Hiyo tarehe chadema wakiandamana niitwe mbwa,niko huku Liwale shule ya msingi Mpigamiti
 
View attachment 2870448

Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Makao Makuu ya Chadema Mikocheni .

Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024

Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Maamuzi ya busara. Japo simuamini Mbowe hadi hiyo tarehe 24 ifike.
Mbowe ni mtu anayeogopa maandamano. Natamani wakina Heche, Lissu wawe viongozi na waratibu wa haya maandamano pia waombe support ya Slaa, Mwabukusi na viongozi wa dini zote. La msingi zaidi wahusishe wanachama hai toka kwenye matawi yao.
 
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu na anayejitambua anayeweza kuunga mkono ujinga wa CHADEMA wa kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo. Yaani sisi watanzania na akili zetu tuandamane kuwaunga mkono CHADEMA na mawazo yao finyu ya kutuongezea mzigo wa gharama ya kuwahudumia wabunge wawili wawili kila jimbo? Kwamba CHADEMA inatuona ni wajinga sisi watanzania? Au mbowe anafikiria kuwa sisi ni wajinga kama anavyowachukulia wafuasi wake kama watu wasio na akili na wanaofanana akili Na nyumbu na wanaoweza kubadilishiwa gia mahali popote pale kama alivyofanya 2015?

Sasa kama mbowe anataka maandamano aandamane yeye na mke wake na watoto wake ndio wawe mbele .na siyo kutanguliza watoto wa watu mbele huku yeye akiwa kwenye Tv akila Minofu ya nyama nakushushia bia. Mbona hajawahi kuongoza maandamano kwa kuwa mbele? Mbona watoto wake hawajawahi kushiriki maandamano? Je Watoto wake siyo Watanzania? Mbowe aache ubabaishaji na kuficha udhaifu wake wa kushindwa kuliongoza chama kutokana na kuwa na mawazo mgando na kufika kikomo cha mwisho kifikra baada ya kukaa muda mrefu madarakani tokea 2004 .
Wewe ni mpumbavu.
 
This is where Chadema does it wrong!.
P
Hawajifunzi. Wanatakiwa watambue kwamba by all means watanzania siyo watu wa kuweza kusimana na kupigania haki zao.

Watanzani ni watu kimaombile wameumbwa kuunga mkono watawala na si kuwa kinyume chao.

Katika nafsi ya Mtanzania kumchallenge kiongozi ni aina ya kosa linalo share vinasaba na kosa la Uhaini.
Kwa watanzania, yeyote aliye upande wa watawala akawakusanya maelfu ma malaki ya watanzania tena kwa nguvu ndogo sana akawapeleka barabarani kuuanga mkono Mswada huu bila hoja yoyote.
Ni ngumu hata aje malaika ma mabawa yake kufanikiwa kupata hata watu 120 wa kuandamana kuupinga hata hoja zenye mashiko yalwe na nguvu vipi, hata kama hoja hizo zitasomwa na Mungu mwenyewe. Ili mradi yupo kinyume na watawala, basi watanzania hawatamuunga mkono Mungu, ingawa baadaye wataenda Makanisani ma Misikitini kuwaombea afya, baraka na mafanikio hao watawala wao.
 
Hawajifunzi. Wanatakiwa watambue kwamba by all means watanzania siyo watu wa kuweza kusimana na kupigania haki zao.

Watanzani ni watu kimaombile wameumbwa kuunga mkono watawala na si kuwa kinyume chao.

Katika nafsi ya Mtanzania kumchallenge kiongozi ni aina ya kosa linalo share vinasaba na kosa la Uhaini.
Kwa watanzania, yeyote aliye upande wa watawala akawakusanya maelfu ma malaki ya watanzania tena kwa nguvu ndogo sana akawapeleka barabarani kuuanga mkono Mswada huu bila hoja yoyote.
Ni ngumu hata aje malaika ma mabawa yake kufanikiwa kupata hata watu 120 wa kuandamana kuupinga hata hoja zenye mashiko yalwe na nguvu vipi, hata kama hoja hizo zitasomwa na Mungu mwenyewe. Ili mradi yupo kinyume na watawala, basi watanzania hawatamuunga mkono Mungu, ingawa baadaye wataenda Makanisani ma Misikitini kuwaombea afya, baraka na mafanikio hao watawala wao.
Watanzania waliandamana na NCCR, CUF na CHADEMA ya Slaa.
 
This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.

P
Wewe ni mwana CCM na ushauri wako ni mbovu. Maandamano yanabadilisha Sheria kwenye nchi kubwa kama U.S sembuse huku! Sehemu nyingine hata Serikali zinatolewa kwa maandamano. Unaongea nini wewe.
 
View attachment 2870448

Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka Makao Makuu ya Chadema Mikocheni .

Maandamano hayo kabambe ya kupigania haki yataanzia Jijini Dar es Salaam na Yatafanyika 24/1/2024

Taarifa hii Kabambe iliyokuwa inasubiriwa na Wananchi wote imetangazwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE
Wera wera wera wera wera wera wera wera hatutaki habari za kupelekeshwa kama watoto wa chekechea .

Tunahitaji maoni ya kila mtanzania yaheshimiwe na hii ndiyi kazi halisi ya CHAMA HALISI CHA UPINZANI.

HONGERA SANA CDM
 
Back
Top Bottom