Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Habibu Mchange amesema Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amepotosha, Kamati Kuu haikumhoji Heche kuhusu suala la 'ToneTone' bali tuhuma za ubadhirifu wa fedha za wadau.
Soma: Mnyika afafanua tuhuma za Heche na matumizi ya fedha za ToneTone
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Mwanga na Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa, Lembrus Mchome, amesema wanachama wa chama hicho hawataki kuona ufisadi ukitokea ndani ya chama chao.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mchome amedai kuwa kuna fedha za wafanyabiashara zinazopelekwa kwa...
Huenda hii michezo ya ufisadi na matumizi mabaya ya ofisi, matumizi mabaya ya madaraka na matumizi mabaya ya rasilimali za chama chake kwa manufaa yake binafsi na familia yake alianza kufanya muda mrefu huko nyuma. Na huenda hiyo ndio tabia yake halisi ya kutamani kujilimbikizia mali za chama...
Hawakosi kuposti thread hata kumi kwa siku zote zikimshambulia..
Hawa chawa Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, Dr wa Manesi, Retired, Troll J kwa mrengo wao na kujinasibu kwao hujitanabaisha kwa ujasiri na bila kificho kuwa ni wana CCM na watetezi wa Samia Suluhu Hassan wakiapa kuwa hata ikitokea...
Sakata la tuhuma za ufisadi wa John Heche limechukua sura mpya baada ya mwenyekiti wa Chama hicho wilaya ya kilindi kutamka hadharani kuwa John Heche awapishe na tuhuma zake za Ufisadi na haogopi kufukuzwa ndani ya Chama.
==========
Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, Mathias...
Nimeona chawa wawili hapa Lucas Mwashambwa na jamaa yake wamefungua nyuzi za kumtuhumu makamu mwenyekitinwa Chadema John Heche kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha
Soma pia John Heche hasafishiki hata kwa Sabuni. Tuhuma zinazomkabili ni juu ya kuwekewa Fedha kwenye akaunti yake binafsi. Hizo...
Ndugu zangu Watanzania,
Malalamiko Mengi yaliyopo huku mitaani na Kelele zinazopigwa na wana CHADEMA ni juu ya John Heche kutumia Akaunti yake Binafsi ya Benki kupokelea Pesa zinazopaswa kutumiwa kwenye shughuli za Chama.
Hoja ni kuwa hizo pesa kupitia akaunti yake binafsi haziwasilishwi...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hali iliyopo na inayoendelea ndani ya CHADEMA ni vyema sana na muhimu sana kuchukuliwa kwa hatua za haraka na Dharura kwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Kumsimamisha uongozi John Heche Ili kuepusha Vurugu zinazoweza kutokea kwa wanachama kuamua kujichukulia...
Waliokua wamepanga kumuondoa Joh Heche kwa kutoa uhai wake ndo wamekuja na hii plani kwamba Heche ametumia vibaya pesa za michango ya chama? Heche si ndo huyu huyu dereva wake amefariki Kifo cha kutatanisha?
Leo huyo Heche bado yuko kwenye majonzi ya kufiwa na dereva stil wanaimbuka watu...
- Mfanyabiashara aliyetoroka nchi, anayesifika kutapeli mabenki atajwa kuwa nyuma ya Heche, Mpina na wengine
- Ni mmiliki wa kampuni ya Mafuta Steti Oil inayotuhumiwa kujihusisha na mambo mengi machafu
- Yaelezwa amejiegemesha CHADEMA kuichafua serikali baada ya kukosa zabuni ya kuingiza...
Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani.
Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya...
HAWASEMI NI FEDHA GANI HIZO ALIZOKULA M/M/KITI CHADEMA JOHN HECHE? KIVIPI NA WAPI? NI MANENO MATUPU YA HEWANI TU!
VERY POOR PLANNED STRATEGY!!
Nimewaza na kuwazua...
Nikajiuliza hivi hizi fedha zinazodaiwa zimeliwa na Mh John Heche na kwamba amezitumia vibaya ni zipi hizo...?
Je, ni hizi za...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa sasa wana CHADEMA wamepoteza kabisa Imani na Heche , Hakuna anayemuamini,Hakuna anayemuelewa wala kujua anachokifanya ndani ya chama chenye Maslahi kwa chama.
Kila Mmoja ndani ya CHADEMA amepoteza kabisa imani na Heche na kakikundi kake. Wana CHADEMA wanaona Heche...
https://www.youtube.com/live/oLQsox2lUog?si=CJFvGWpLngaSv3H9
Hebu msikilize kiongozi huyu wa chadema anavyojaribu kutetea matumizi binafsi ya pesa za chadema :1Head:
Mungu Ibariki Tanzania
Kwasababu ni wazi,
kwamba sababu wanazotuhumiwa nazo zina fanana, ni zile zile tu za matumizi mabaya ya fedha za chama, matumizi mabaya ya ofisi, matumizi mabaya ya madaraka na matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa matanuzi, maslahi na manufaa binafsi na familia zao.
Je,
tutegemee wimbi...
Nsikuchoshe na Usinchoshe,Tusichoshane!
Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mtakaopitia huu Ujumbe,Tafadhali sana naomba mumfikishie Mh.Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kwamba ninaomba kwa ridhaa yangu mwenyewe niwe mmoja ya Walinzi wake...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, pamoja na Naibu Katibu Mkuu Bara, Mheshimiwa Amani Golugwa, leo Jumatano, Julai 8, 2026, walifika nyumbani kwa marehemu Suez Dani Maradufu kumjulia hali mke wa marehemu, muda mfupi kabla ya Mheshimiwa Golugwa kuanza safari ya kuondoka...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza leo Julai 5, 2026 katika Mazishi ya aliyekuwa Dereva wake Suez ambaye taarifa za kifo chake iliripotiwa Julai 1, 2026 Kigoma, ambapo hadi sasa hayajatoka majibu rasmi kuhusu nini hasa kilipelekea kifo chake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.