john heche

John Heche is a Tanzanian politician. He serves as a member of the Parliament of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mchange: Mnyika amepotosha, Kamati Kuu haikumhoji Heche kuhusu suala la 'ToneTone' bali tuhuma za ubadhirifu wa fedha za wadau

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Habibu Mchange amesema Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amepotosha, Kamati Kuu haikumhoji Heche kuhusu suala la 'ToneTone' bali tuhuma za ubadhirifu wa fedha za wadau. Soma: Mnyika afafanua tuhuma za Heche na matumizi ya fedha za ToneTone
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mchome akanusha kauli ya Mnyika kuwa wanalipwa milioni 2 ili kumchafua John Heche

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Mwanga na Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa, Lembrus Mchome, amesema wanachama wa chama hicho hawataki kuona ufisadi ukitokea ndani ya chama chao. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mchome amedai kuwa kuna fedha za wafanyabiashara zinazopelekwa kwa...
  3. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kwa tuhuma za ufisadi na rushwa zinazomkabili John Heche, ni wazi amekosa credibility ya kukosoa wengine kwenye masuala ya uadilifu.

    Huenda hii michezo ya ufisadi na matumizi mabaya ya ofisi, matumizi mabaya ya madaraka na matumizi mabaya ya rasilimali za chama chake kwa manufaa yake binafsi na familia yake alianza kufanya muda mrefu huko nyuma. Na huenda hiyo ndio tabia yake halisi ya kutamani kujilimbikizia mali za chama...
  4. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa uzushi dhidi VC wa CHADEMA Mh John Heche hapa JF unaongozwa na chawa wa CCM wa4 wana: Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, Troll J na Dr wa Manesi

    Hawakosi kuposti thread hata kumi kwa siku zote zikimshambulia.. Hawa chawa Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, Dr wa Manesi, Retired, Troll J kwa mrengo wao na kujinasibu kwao hujitanabaisha kwa ujasiri na bila kificho kuwa ni wana CCM na watetezi wa Samia Suluhu Hassan wakiapa kuwa hata ikitokea...
  5. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilindi amvaa John Heche asema haogopi kufukuzwa

    Sakata la tuhuma za ufisadi wa John Heche limechukua sura mpya baada ya mwenyekiti wa Chama hicho wilaya ya kilindi kutamka hadharani kuwa John Heche awapishe na tuhuma zake za Ufisadi na haogopi kufukuzwa ndani ya Chama. ========== Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga, Mathias...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Swali: Wadau walikipa fedha chama au Heche? Kama walimpa Heche hakuna ufisadi

    Nimeona chawa wawili hapa Lucas Mwashambwa na jamaa yake wamefungua nyuzi za kumtuhumu makamu mwenyekitinwa Chadema John Heche kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha Soma pia John Heche hasafishiki hata kwa Sabuni. Tuhuma zinazomkabili ni juu ya kuwekewa Fedha kwenye akaunti yake binafsi. Hizo...
  7. L

    JamiiForums Tanzania John Heche hasafishiki hata kwa Sabuni. Tuhuma zinazomkabili ni juu ya kuwekewa Fedha kwenye akaunti yake binafsi. Hizo zinapaswa kujibiwa na yeye

    Ndugu zangu Watanzania, Malalamiko Mengi yaliyopo huku mitaani na Kelele zinazopigwa na wana CHADEMA ni juu ya John Heche kutumia Akaunti yake Binafsi ya Benki kupokelea Pesa zinazopaswa kutumiwa kwenye shughuli za Chama. Hoja ni kuwa hizo pesa kupitia akaunti yake binafsi haziwasilishwi...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Msajili wa Vyama Vya Siasa Aingilie Kati na Kumsimamisha Uongozi John Heche Ili kuepusha Vurugu zinazoweza kutokea

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hali iliyopo na inayoendelea ndani ya CHADEMA ni vyema sana na muhimu sana kuchukuliwa kwa hatua za haraka na Dharura kwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Kumsimamisha uongozi John Heche Ili kuepusha Vurugu zinazoweza kutokea kwa wanachama kuamua kujichukulia...
  9. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Waliokua wamepanga kumuua John Heche ndo wamekuja na Plan B kwamba anatumia vibaya pesa za chama trust no One

    Waliokua wamepanga kumuondoa Joh Heche kwa kutoa uhai wake ndo wamekuja na hii plani kwamba Heche ametumia vibaya pesa za michango ya chama? Heche si ndo huyu huyu dereva wake amefariki Kifo cha kutatanisha? Leo huyo Heche bado yuko kwenye majonzi ya kufiwa na dereva stil wanaimbuka watu...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Heche, Mpina na wengine wanatumika kuichafua Serikali ionekane haifanyi kazi?

    - Mfanyabiashara aliyetoroka nchi, anayesifika kutapeli mabenki atajwa kuwa nyuma ya Heche, Mpina na wengine - Ni mmiliki wa kampuni ya Mafuta Steti Oil inayotuhumiwa kujihusisha na mambo mengi machafu - Yaelezwa amejiegemesha CHADEMA kuichafua serikali baada ya kukosa zabuni ya kuingiza...
  11. instinct desire

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mtimueni John Heche labda mseme hakuna accountability ndani ya chama

    Kuna shutuma za rushwa na matumizi mabaya ya resources ndani ya chadema, viongozi wa juu wanashutumiwa kujineemesha na misaada kutoka kwa mabeberu na zile donation za mitaani. Heche anashutumiwa kwa ubadhirifu wa Hela za chama lakini bado tupo ofisini mpaka muda huu....hii ndo maana halisi ya...
  12. upupu255

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, ni kweli Heche amesema watatumia uhuru wa chama chao kuteka na kuumiza watu?

  13. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa uingiza CHADEMA kwenye maridhiano feki kwa kumtengenezea kashfa feki ya kifedha John Heche umebuma kabla haujaanza!

    HAWASEMI NI FEDHA GANI HIZO ALIZOKULA M/M/KITI CHADEMA JOHN HECHE? KIVIPI NA WAPI? NI MANENO MATUPU YA HEWANI TU! VERY POOR PLANNED STRATEGY!! Nimewaza na kuwazua... Nikajiuliza hivi hizi fedha zinazodaiwa zimeliwa na Mh John Heche na kwamba amezitumia vibaya ni zipi hizo...? Je, ni hizi za...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Ni Muda Muafaka kwa CHADEMA Kumsimamisha Haraka Uongozi John Heche Ili Kufanya Uchunguzi Wa Kina wa Tuhuma Zinazomkabili Ili Kurejesha Imani

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa sasa wana CHADEMA wamepoteza kabisa Imani na Heche , Hakuna anayemuamini,Hakuna anayemuelewa wala kujua anachokifanya ndani ya chama chenye Maslahi kwa chama. Kila Mmoja ndani ya CHADEMA amepoteza kabisa imani na Heche na kakikundi kake. Wana CHADEMA wanaona Heche...
  15. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Hakuna namna John Heche anaweza kuchomoka kwenye hili

    https://www.youtube.com/live/oLQsox2lUog?si=CJFvGWpLngaSv3H9 Hebu msikilize kiongozi huyu wa chadema anavyojaribu kutetea matumizi binafsi ya pesa za chadema :1Head: Mungu Ibariki Tanzania
  16. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Je, Kilichomkuta Salum Mwalimu CHAUMMA kumkuta na John Heche CHADEMA?

    Kwasababu ni wazi, kwamba sababu wanazotuhumiwa nazo zina fanana, ni zile zile tu za matumizi mabaya ya fedha za chama, matumizi mabaya ya ofisi, matumizi mabaya ya madaraka na matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa matanuzi, maslahi na manufaa binafsi na familia zao. Je, tutegemee wimbi...
  17. UMUGHAKA

    JamiiForums Tanzania Ninaomba Rasmi niwe Mlinzi wa John Heche,Viongozi wa Chadema mkipata huu Ujumbe tafadhali sana naomba mumfikishie John Heche

    Nsikuchoshe na Usinchoshe,Tusichoshane! Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mtakaopitia huu Ujumbe,Tafadhali sana naomba mumfikishie Mh.Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kwamba ninaomba kwa ridhaa yangu mwenyewe niwe mmoja ya Walinzi wake...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Heche na Golugwa wamtembelea mjane wa Suez Tarime

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, pamoja na Naibu Katibu Mkuu Bara, Mheshimiwa Amani Golugwa, leo Jumatano, Julai 8, 2026, walifika nyumbani kwa marehemu Suez Dani Maradufu kumjulia hali mke wa marehemu, muda mfupi kabla ya Mheshimiwa Golugwa kuanza safari ya kuondoka...
  19. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, ni kweli John Heche Julai 7 alitoroka kupitia mpaka wa Sirari na kuelekea Nairobi hadi Ubelgiji?

  20. R

    JamiiForums Tanzania Heche: RC Sirro anasema kifo cha Suez ni cha kawaida hata kabla ya majibu ya Postmortem

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza leo Julai 5, 2026 katika Mazishi ya aliyekuwa Dereva wake Suez ambaye taarifa za kifo chake iliripotiwa Julai 1, 2026 Kigoma, ambapo hadi sasa hayajatoka majibu rasmi kuhusu nini hasa kilipelekea kifo chake...
Back
Top Bottom