john heche

John Heche is a Tanzanian politician. He serves as a member of the Parliament of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Kwenye hili John Heche na Tundu Lissu wamuunge mkono Wasira

    Hoja ya Steven Wasira kuwa kesi za jinai hazipaswi kuisha kwa busara na maridhiano ni ya kuungwa mkono na kila anayeamini katika utawala wa sheria. Kama DPP amefungua kesi kwa maslahi ya umma ili kupambana uhalifu kwanini kesi hiyo iishe kwa maridhiano kati wa mtuhumiwa na serikali?. Hakuna...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mwakibinga: Heche anatumiwa na CCM kudhoofisha upinzani na kuhakikisha kuwa Lissu anaendelea kusalia kizuizinini

    Mchambuzi wa masuala ya jamii na siasa, Filipo Mwakibinga, anatoa tahadhari kwa wanachama wa CHADEMA kuhusu mienendo ya viongozi wao mbele ya vyombo vya habari. Mzungumzaji anahoji kwanini John Heche yuko huru wakati Tundu Lissu anashikiliwa na polisi, licha ya kuwa wote wawili walitoa matamshi...
  3. Waterloo

    JamiiForums Tanzania John Heche: Hatutaipigia magoti Serikali hii dhalimu ya CCM

    "Wanachadema kafanyeni kazi, huu uamuzi umesikitisha lakini ni wa muhimu na wa kihistoria ambao huko mbeleni watu wengine wataangalia na kusoma majina yao, watajiuliza itakuwaje." Mhe. @HecheJohn John Heche na Tundu Lissu ni hardliners wa siasa za upinzani hapa nchini kwa sasa. Wacha tuone huu...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tuliishtaki Yanga FIFA, ile barua waliijibu na watu wa Yanga wanajua nini kilitokea

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amebainisha kuwa chama chao kiliandika barua kwenda Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kulalamikia matumizi ya kisiasa yanayofanywa kupitia klabu ya Yanga. Akieleza kuwa walipokea majibu kutoka FIFA yakithibitisha kuwa malalamiko hayo...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Tuhuma zinazomkabili John Heche, wenyeviti 15 wa CHADEMA Morogoro wasusia kikao cha mkoa

    Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Morogoro, Barnabas Okola, amesema kikao cha wenyeviti wa mikoa kilichofanyika Agosti 13 kilitarajiwa kuhudhuriwa na viongozi 30, lakini waliohudhuria walikuwa 15. Amesema katika kikao hicho baadhi ya wenyeviti waliibua hoja kuhusu tuhuma za Makamu Mwenyekiti, John...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Mwisho wa ubaya ni aibu: Kwanini John Heche amepaniki suala la kula michango ya tonetone?

    Na NULPHIN CHARLES, Katibu Mstaafu wa CHADEMA-Serengeti Hivi karibuni wengi tulijiuliza John Heche alipata wapi fedha za kugharamia familia yake kwenda mapumzikoni Dubai, ilihali wanachama wanahamasishwa kutoa fedha kuchangia chama na hakuna taarifa yoyote ya mapato na matumizi. Leo, katika...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Nilishawishiwa kupewa fedha ili niingize chama kwenye uchaguzi

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amedai kuwa alishawishiwa kupewa fedha ili akubali chama hicho kiingie kwenye uchaguzi. Heche ameyasema hayo wakati akihojiwa na Clouds TV, akieleza kuwa chama hicho kinapigania demokrasia na kwamba demokrasia hiyo inapaswa kuanza ndani ya chama...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: CCM sio Chama cha siasa bali ni Dola iliyojivisha nguo za Kijani

    John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA amesema; “CCM sio Chama cha siasa bali ni Dola iliyojivisha nguo za Kijani, CHADEMA ndio Chama cha siasa kwakuwa huko field hatukutani na CCM bali vyombo vya Usalama” Video: Clouds Media Digital
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Heche: Mbowe aulizwe mwenyewe kwanini haendi mahakamani

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amesema tayari amekutana na aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, tangu uchaguzi ulipomalizika na kufanya naye mazungumzo marefu nyumbani kwake. Hata hivyo, Heche amesema hawezi kujibu kwa niaba ya Mbowe kuhusu sababu za kutofika...
  10. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ilivyo ndani ya CHADEMA, huenda John Heche akajiuzulu kabla ya kubanduliwa madarakani na mkutano wa baraza kuu la chadema taifa mwezi ujao..

    Kwasababu, mpaka sasa uhakika wa makamu mwenyekiti wa chadema taifa John Heche kuvuliwa nyadhifa zote za uongozi ndani ya chadema taifa na Baraza kuu la chadema taifa September 15 ni 100%. Pendekezo la azimio la kumbanudua John Heche madarakani linaungwa mkono na asilimia kubwa ya wajumbe wa...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna dau la milioni 1 kwa Mjumbe wa Baraza Kuu CHADEMA kumpinga na kupiga kura ya kutokuwa na imani na Heche

    Taarifa za uhakika na za moto moto zilizotufikia Jana ni kwamba ni kweli kuna vigogo CHADEMA wamekula Pesa za CCM ili kuivuruga CHADEMA. CCM Walichofanya ni kuwanunua baadhi ya Viongozi wakubwa wa CHADEMA na kuwapa Pesa za kutosha ili kumvuruga Heche anayekwamisha Maridhiano na Samia. Rafiki...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania UVCCM Dar: TFF wanapaswa kumfuatilia kwa umakini sana John Heche kwa kauli zake kuhusu mpira wetu na wamhoji

    Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kupitia Mwenyekiti wao Nasra Mohamed Ramadhani umeitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kumfuatilia kwa umakini Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, kutokana na kauli zake kuhusu masuala ya mpira wa miguu nchini. Kazi kubwa...
  13. A

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tunaongozwa na watu waliokosa maarifa

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema Serikali ya CCM inaongozwa na watu waliokosa maarifa badala yake wamebaki kutishia wapinzani na kufungua mitandao ya kijamii. Ameyasema hayo Agosti 12 katika maadhimisho ya vijana kimataifa yaliyofanywa na chama hicho jijini Dodoma.
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania John Heche: Magufuli ameondoa bandari ya Kwala imerudi mjini na kufanya Mji wote kuwa sehemu ya kuweka Makontena

    "Kuku mmoja anayetaga mayai ya dhahabu ni bandari ya Dar Es Salaam. Unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha hakuna usumbufu kwenye mizigo, kwanza unawatengenezea watu barabara za uhakika kutoka Bandarini. Magufuli alianza kujenga bandari ya Nchi kavu Kwala kwamba mizigo yote itoke bandarini iende...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania John Heche: Vijana acheni uoga, tumieni nguvu zenu kudai mabadiliko

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amesema vijana ni nguvu kubwa katika jamii na wana uwezo wa kusababisha mabadiliko nchini. Heche ameyasema hayo akizungumza na vijana, akiwahimiza kutambua nguvu waliyonayo na kuitumia katika kushiriki katika masuala yanayohusu mustakabali wa nchi...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti CHADEMA Kilindi: Heche kuniita Mbwa ni sifa, hakutumia busara

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kilindi, Mathias Cosmas (maarufu kama Mpendakula), amejibu kauli ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Taifa kwa kile alichodai kuwa ni kutolewa kwa lugha ya dhihaka ya kuitwa "mbwa." Akizungumza mbele ya wanahabari, Mathias...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Kama nanufaika na Lissu kuwa gerezani, wamwachie ili nikose hayo manufaa

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, John Heche amesema kuwa iwapo ananufaika kisiasa na Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, kuwa gerezani, basi mamlaka zinazomshikilia zimwachie ili manufaa hayo yaondoke kwake. Heche amesema kuwa yeye si anayeshikilia funguo za gereza, si aliyefungua kesi dhidi...
  18. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Si mnajimwambafy kuwa hii nchi ni ya kwenu. Fanyeni madhara yoyote kwa John Heche au Tundu Lissu halafu muone kitavyonuka

    Kama mnataka kuona nguvu ya umma ikoje basi fanyeni uthubutu wa kumdhuru John Heche au Tundu Antipass Lissu. Wananchi wana machungu moyoni juu ya taifa lao la Tanganyika halafu mnawatisha kupitia utekaji na mauaji. Kama nyie na bunduki zenu, vifaru vyenu na mabomu yenu fanyeni madhara kwa...
  19. Troll JF

    JamiiForums Tanzania WANTED! WANTED! For conducting unauthorised Surveillance to John Heche

    Tanzania Police received information on Unknown Criminals conducting surveillance on CHADEMA Vice Chairman and the investigation is underway kindly if you know Who is this person and why is he following Hon. John Heche? Do you recognize him? If you see him or if you know who he is, please...
  20. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya John Heche Tarime

    Mapokezi ya John Heche Tarime. Hata hili eti CCM linawauma. Ukiwa CCM roho mbaya ndo Silaha
Back
Top Bottom