john heche

John Heche is a Tanzanian politician. He serves as a member of the Parliament of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. The Palm Beach

    Mkakati wa uingiza CHADEMA kwenye maridhiano feki kwa kumtengenezea kashfa feki ya kifedha John Heche umebuma kabla haujaanza!

    HAWASEMI NI FEDHA GANI HIZO ALIZOKULA M/M/KITI CHADEMA JOHN HECHE? KIVIPI NA WAPI? NI MANENO MATUPU YA HEWANI TU! VERY POOR PLANNED STRATEGY!! Nimewaza na kuwazua... Nikajiuliza hivi hizi fedha zinazodaiwa zimeliwa na Mh John Heche na kwamba amezitumia vibaya ni zipi hizo...? Je, ni hizi za...
  2. L

    Ni Muda Muafaka kwa CHADEMA Kumsimamisha Haraka Uongozi John Heche Ili Kufanya Uchunguzi Wa Kina wa Tuhuma Zinazomkabili Ili Kurejesha Imani

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa sasa wana CHADEMA wamepoteza kabisa Imani na Heche , Hakuna anayemuamini,Hakuna anayemuelewa wala kujua anachokifanya ndani ya chama chenye Maslahi kwa chama. Kila Mmoja ndani ya CHADEMA amepoteza kabisa imani na Heche na kakikundi kake. Wana CHADEMA wanaona Heche...
  3. Tlaatlaah

    Hakuna namna John Heche anaweza kuchomoka kwenye hili

    https://www.youtube.com/live/oLQsox2lUog?si=CJFvGWpLngaSv3H9 Hebu msikilize kiongozi huyu wa chadema anavyojaribu kutetea matumizi binafsi ya pesa za chadema :1Head: Mungu Ibariki Tanzania
  4. Tlaatlaah

    Je, Kilichomkuta Salum Mwalimu CHAUMMA kumkuta na John Heche CHADEMA?

    Kwasababu ni wazi, kwamba sababu wanazotuhumiwa nazo zina fanana, ni zile zile tu za matumizi mabaya ya fedha za chama, matumizi mabaya ya ofisi, matumizi mabaya ya madaraka na matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa matanuzi, maslahi na manufaa binafsi na familia zao. Je, tutegemee wimbi...
  5. UMUGHAKA

    Ninaomba Rasmi niwe Mlinzi wa John Heche,Viongozi wa Chadema mkipata huu Ujumbe tafadhali sana naomba mumfikishie John Heche

    Nsikuchoshe na Usinchoshe,Tusichoshane! Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mtakaopitia huu Ujumbe,Tafadhali sana naomba mumfikishie Mh.Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kwamba ninaomba kwa ridhaa yangu mwenyewe niwe mmoja ya Walinzi wake...
  6. R

    Heche na Golugwa wamtembelea mjane wa Suez Tarime

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Mheshimiwa John Heche, pamoja na Naibu Katibu Mkuu Bara, Mheshimiwa Amani Golugwa, leo Jumatano, Julai 8, 2026, walifika nyumbani kwa marehemu Suez Dani Maradufu kumjulia hali mke wa marehemu, muda mfupi kabla ya Mheshimiwa Golugwa kuanza safari ya kuondoka...
  7. R

    Heche: RC Sirro anasema kifo cha Suez ni cha kawaida hata kabla ya majibu ya Postmortem

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza leo Julai 5, 2026 katika Mazishi ya aliyekuwa Dereva wake Suez ambaye taarifa za kifo chake iliripotiwa Julai 1, 2026 Kigoma, ambapo hadi sasa hayajatoka majibu rasmi kuhusu nini hasa kilipelekea kifo chake...
  8. Troll JF

    Ni sahihi John Heche kumuacha Dereva wake kwenda kulala Chumba cha Sh. 3,000/=?

    Nimeangalia video ya Guest aliyolala aliyekua dereva wa John Heche kwa kweli inaonekana ni ya bei rahisi, binadamu naye anahitaji utulivu na kupumzika hasa baada ya safari ndefu akina John Heche na Wahuni wenzake walilala Hotel za Maana Dereva akaenda kuchukua Chumba cha sh. 3,000/= the guy kuna...
  9. M

    Kwanini John heche hajatoa pole kifo cha dereva wake?

    Nimepitia account zake zote za social media, nimepitia taarifa zote, sijaona andiko la Heche la kutoa pole kwa familia ya dereva wake
  10. Waufukweni

    Heche: Walioitisha Maandamano Julai 7 wana haki, CHADEMA tukiitisha tutatangaza hadharani

    Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche akihojia na kituo cha Redio cha VOS Juni 25, 2026 amesema "Walioitisha Maandamano Julai 7 wana haki, CHADEMA tukiitisha tutatangaza hadharani." Heche ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti CHADEMA, Bara amefafanua kuwa haki ya kukusanyika na kuandamana...
  11. N

    Combo ya Tundu Lissu na John Heche kila Mtanzania sasa anaielewa na kuiishi kwa mustakabali na ustawi jumuishi wa nchi yetu pendwa Tanganyika

    Hawa magwiji wawili wa siasa na jopo lao la viongozi ndani ya CDM wamefanya CCM wote kuchanganyikiwa na kupoteza legitimacy mbele ya wananchi kwa zaidi ya asilimia 80. Ni ukweli usiopingika kwamba Chadema kwa sasa ndio chama kikuu cha siasa Tanzania na raia wanashauku na matumaini makubwa kwa...
  12. Mkalukungone Mwamba

    Polisi Kigoma: Tumekuta vidonge kwenye chumba cha dereva wa John Heche.Uchunguzi unaendelea zaidi

    Leo Julai 1, 2026 majira ya saa 10:00 asubuhi, Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limepokea taarifa kutoka kwa Ndugu Mrimi Zabron Mwita, mkazi wa Sirari na Katibu wa Mheshimiwa John Heche, kuwa walikwenda kwenye nyumba ya kulala wageni inayojulikana kwa jina la Ntahamba kwa lengo la kumwamsha...
  13. Sifi Leo

    Namlaumu sana John Heche maana ndo alituzalia huyu Katambi kwenye siasa,Wacha limpige bakora

    John Heche POPOTE ulipo ulaaniwe na Mungu Baba wa Mbinguni kwa kutizalia poyoyo kwenye siasa, Katambi wewe ndo ulilichoa Nafasi ya mwenyekiti Taifa Bavicha ona yanayo jili Sasa. Nyinyi wewe na Mbowe ndo mlililea Leo linatukungia chama cheti kisifanye siasa maana akili halina ni poyoyoyoooo
  14. Waufukweni

    Heche: CHADEMA haitafanya maridhiano na CCM bila mpatanishi wa kimataifa

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche Juni 25, 2026 kwenye mahojiano na kituo cha Redio, cha VOS amesema kuwa chama hicho hakiko tayari kuingia kwenye maridhiano yoyote na Chama Cha Mapinduzi (CCM) bila uwepo wa mpatanishi wa kimataifa (mediator) asiyekuwa na upande, akitolea mfano wa...
  15. M

    Heche: Polisi wamenifuatilia huku wakiwa na silaha nzito na wameziba nyuso, tangu Urambo hadi Kigoma

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amedai kuwa alifuatiliwa na watu aliowatambua kuwa ni askari wa polisi waliokuwa wameficha nyuso zao na kubeba silaha za moto wakati wa safari yake kutoka Urambo hadi Kigoma Siku nzima ya leo magari mawili ya polisi na polisi wakiwa wameziba nyuso zao...
  16. Waufukweni

    John Heche amjibu Waziri Katambi, "Eti sina kazi ya kufanya, nina uchu wa madaraka"

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema John Heche ameshangazwa na madai ya kuambiwa ana uchu wa madaraka Heche amesema hayo Alhamisi Juni 25, 2026 wakati akizungumza kwenye Mkutano wa hadhara Mpanda Mjini kwenye Viwanja vya Kashaulili. ‘’Huyo anayesema nina uchu wa...
  17. figganigga

    John Heche: Sema Meritocracy society. Sema Nepotism

    Meritocracy society ni mfumo ambao watu hupata nafasi, madaraka, ajira, au mafanikio kutokana na uwezo, juhudi na vipaji, badala ya kutokana na familia wanayotoka, utajiri, ukabila, dini, au uhusiano wa kisiasa. Nepotism ni tabia ya kumpa ndugu, jamaa, au marafiki wa karibu upendeleo katika...
  18. R

    Heche: ICC imeingizwa kurasa 82 zinazoeleza kwamba watu hawa waliua watu zaidi ya 3000

    Makamu Mwenyekiti wa Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, John Heche, wakati akizungumza na umati wa wanannchi katika mkutano wa hadhara Mkoa wa Mbeya Juni 23, 2026, alieleza kuhusu kesi iliyofikishwa Mahakama ya uhalifu ya Kimataifa (ICC) kuhusu mauaji ya raifa yaliyofanyika wakati na...
  19. Waufukweni

    John Heche: Msafara wetu unafuatiliwa na vyombo vya dola, Sisi sio wahalifu, acheni

    Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche, akiwa Mbarali, Mbeya Juni 22, 2026 amesema "Tuko kwenye ziara. Leo ni siku ya tano. Na tangu nimeanza mikutano ya hadhara kule Machingwea, baadaye nikaenda Masasi, siku nyingine siku iliyofuata tukaenda Songea, na jana...
Back
Top Bottom