john heche

John Heche is a Tanzanian politician. He serves as a member of the Parliament of Tanzania.

View More On Wikipedia.org
  1. political monger senior

    JamiiForums Tanzania John Heche: AFCON na FIFA waliitenga S.Africa sasa ni zamu ya Tanzania

    Serikali dhalimu inawakamata viongozi na wanachama wetu na kuwabambikizia kwa makusudi na kwa uongo kesi mbaya isiyo na dhamana ya ugaidi. Sisi tunahoji, mnajua madhara ya kusema kuna ugaidi kwenye Nchi? Kiuchumi kwa maana ya wawekezaji wenye mitaji mikubwa, Utalii na wageni wanaokuja Nchini...
  2. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa John Heche kwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza (Mutafungwa)

    Bwana Mtafungwa unataka nije kuripoti nini kwako? Yaani nije kukupa ripoti ya jambo ambalo unalijua ili iweje? Hiyo gari yenye namba fake ambayo inatoka ofisi ya RCO unataka nije kukuambia nini? Kama jambo liko kwenye public unahitaji mimi kuja au wewe kufuatilia na taarifa zako za...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania John Heche: Sheria ndizo zinaruhusu mikutano ya kisiasa na si polisi

    Ikiwa imepita siku moja tangu Jeshi la Polisi lifungue milango ya kupokea taarifa za nia ya kufanya mikutano ya hadhara kutoka kwa vyama vya siasa na wadau wengine kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizopo kutokanana hali ya usalama kuelezwa kuendelea kuwa shwari,Makamu Mwenyekiti wa...
  4. Troll JF

    JamiiForums Tanzania UFISADI CHADEMA, wanachama wamemkalia Kooni John Heche wamuomba Msajili kuingilia Kati wamtaka Katibu Mkuu Mnyika kuunda tume ya kumchunguza

    Shalom Makamanda, Lile sakata la Ufisadi ndani ya CHADEMA likimhusisha Makamu Mwenyekiti wa Chama bado halijapoa baada ya wanachama kucharuka wakimuomba msajili wa vyama vya siasa kuingilia kati na Katibu mkuu wa CHADEMA kuunda tume ya kumchunguza wakati huo akiwa pembeni kwani hawawezi...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Utata wa Kesi za Ugaidi na Mtihani wa Taswira ya Tanzania Kuelekea AFCON

    Tanzania inapokipiga kambi katika ukurasa wa historia ili kuwa mwenyeji wa matukio makubwa ya kimataifa, ikiwemo mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), taifa hili linajikuta katika njiapanda ya kipekee. Upande mmoja ni hitaji la msingi la kuhakikisha ulinzi na salama wa raia, wageni...
  6. Troll JF

    JamiiForums Tanzania John Heche Kama Kuna Watu wanakufuatilia toa Taarifa Polisi

    Nimefuatilia Clip ya John Heche kuhusiana na Kufuatiliwa na gari aina ya Toyota LandCruiser Hardtop Nyeupe, Pale unapoona Viashiria kama hivyo toa taarifa polisi ili waweze kuchunguza nchi ina watu wengi hii nadhani mnakumbuka kifo cha Chacha Wangwe baada ya kuwa na Mgogoro mkubwa na CHADEMA...
  7. Q

    JamiiForums Tanzania John Heche: Ukitunyima amani tunakunyima amani

    Nina taarifa za ndani kabisa kwamba wanataka kunikamata. Mimi siogopi kukamatwa, mimi sio mtu wa kutishiwa. I was born once, I live once and I will die once. Kama unataka kumtisha Heche unagonga pabaya na jipange upya. Hatuwezi kuishi kwa kunyimana amani. 'Ukitunyima amani tutakunyima amani'...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Heche: Wazungu wanafundisha watoto namna ya kuchimba dhahabu, wako anafundishwa panzi ana miguu mingapi?

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia, John Heche, akizungumz na Wananchi wa Mkoa wa Mwanza, Julai 28, 2026, amesema Matatizo mengi ya jamii kama shida ya maji na Elimu bora yanaanza pindi Wananchi wanapoacha kujihusisha na Siasa.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Ni lini Heche atajiuzulu kupisha uchunguzi?

    Makamanda Shalom! Nimekua nikitafakari kwa muda sana ni ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA atajiuzulu ili uchunguzi huru ufanyike kwani sisi wanachama tunapata shida sana huku mitaani chama kimechafuka kwa kiasi kikubwa. Makamanda mna maoni gani huyu jamaa mbona hatupishi?
  10. R

    JamiiForums Tanzania Pascal Anthony: Heche ameleta Mpasuko ndani ya chama, tunajiandaa kufanya maandamano bila kikomo mpaka ajiuzulu

    Katibu Mwenezi wa Jimbo la Nsimbo mkoani Katavi, Pascal Anthony, amemshutumu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, kwa kukiingiza chama hicho kwenye mpasuko mkubwa, kukataa maridhiano, na kufukuza wanachama wanaokosoa ubadhirifu wa fedha, huku akitangaza kuwa vijana wa mkoa huo wanaandaa...
  11. Q

    JamiiForums Tanzania John Heche: Kiongozi wetu alikamatwa akiwa mzima, hakuna taarifa hata moja tutaipuuza

    Kiongozi wetu na Mwenyekiti wetu alikamatwa akiwa mzima, Taarifa Kama hizi za kuhusu kujaribu kucheza na maisha yake hazitakubalika. Serikali hii dhalimu inapaswa kumuachia Lissu haraka. Sisi Tunafuatilia kila kitu na hakuna taarifa hata moja tunaipuuza.
  12. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania John Heche: Ofisi ya DPP ifumuliwe, inatumika kubambika Kesi za Ugaidi

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amesema serikali inapaswa kuzifumua upya ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) akiitaja taasisi hiyo kuwa inatumika vibaya kubambikizia wananchi na viongozi wa upinzani kesi za uongo za ugaidi. "Ofisi ya Mwaikitaru na ofisi ya DPP ni ofisi zinazopaswa...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameeleza kuwa CHADEMA kimepanga kuziandikia barua taasisi za michezo duniani kama vile FIFA na CAF, pamoja na jumuiya nyingine za kimataifa, ili kuzitaarifu kuhusu kauli hizo za serikali. Soma: Heche: Ndani ya siku 2, Viongozi 51 wa CHADEMA wamekamatwa...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Heche: Ndani ya siku 2, Viongozi 51 wa CHADEMA wamekamatwa na kubambikiziwa Kesi za Ugaidi

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amedai kuwa jumla ya viongozi 51 wa chama hicho wamekamatwa na Jeshi la Polisi ndani ya siku mbili katika kanda tatu nchini na kubambikiziwa kesi za ugaidi. Soma: Viongozi watatu wa CHADEMA kutoka mikoa ya...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Odero: Heche hutaki maridhiano, acha kusingizia Lissu kuwa huru

    Mwanasiasa Odero Charles Odero ametoa wito na kumtaka kaimu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA,John Heche kurudi kwenye Maridhiano na kama kweli anania ya dhati ya Tundu Lissu atoke nje anatakiwa awe na mahusiano mazuri na Seriakali na aache kusingizia Mwenyekiti wake kuwa...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Heche: Hakuna mazungumzo yatakayofanyika bila Mwenyekiti kuwa Nje

    Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, ametoa msimamo wa chama hicho akisema hakutakuwa na mazungumzo yoyote na Serikali iwapo Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu, atakapoachiwa huru na vikao halali vya Chama kuketi na kutoa uamuzi kuhusu hatua zinazofuata. Heche ametoa msimamo huo Julai...
  17. R

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Pwani yafichua mchezo wanaotumika kumchafua Heche

    Katibu wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Benjamin Ntele, akizungumza Julai 17, 2026, amesema kuwa mtu aliyejitambulisha hadharani kwa jina la Shaban Ally Mchezo na kudai kuwa ni Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Kibaha Vijijini si kiongozi halali wa chama. Ntele amesema katika kuthibitisha hilo, amemleta...
  18. figganigga

    JamiiForums Tanzania John Heche: Kwanini VITOL anatuuzia mafuta kwa usd 260 wakati Uganda anawauzia kwa USD 83 na Msumbiji usd 90?

    Agenda ya kufunika wizi mkubwa kwenye sketa ya mafuta.. Watanzania msikubali. Tunataka kujua kwanini Vitol ametuuzia mafuta kwa usd 260 sawa sh 689,000. Wakati huo huo anawauzia Uganda mafuta hayo hayo kwa USD 83 sawa na sh 212,000 Msumbiji usd 90 sawa na 238,500. Hawa watu wanaoitwa NAMARO...
  19. Troll JF

    JamiiForums Tanzania Tone kwa Tone yafanyika ili kuficha upigaji wa John Heche!

    Nchi ikiwa ya moto ya masuala ya Upigaji wa John Heche Baadhi ya wanachama wa Chama hicho wanaonufaika na Upigaji huo wameingia mtandaoni kuhamashisha Uchamgiaji wa kiasi cha Sh. 334,000,000 kwa kile walichosema ni kwa sababu ya mkutano mkuu wa chama hicho unaofanyika September. CHADEMA...
  20. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea ndani ya CHADEMA kufikia hatua ya kila kiongozi wa taifa anaepuka kuambatana na John Heche?

    Why CHADEMA members, especially national leaders, are boycotting to associate themselves with their national vice chairman chairman John Heche in his mission to clear his name towards corruption allegations? Nani anaehusika na mpango huu wa kumuhujumu kiongozi huyo wa chadema taifa, na kwa...
Back
Top Bottom