heche

Heche is a small village located in the Sorab panchayat town of Sagara, taluka in Shimoga district in the Indian state of Karnataka. It is close to Chandragutti, which has an ancient fort and temple. Heche has a few ancient temples, including the Kalikamba Temple, Eshwara (Pachalingeshwara) and Anjaneya temple.

View More On Wikipedia.org
  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Nimesema Stephen Wasira kichwa chake kina shida, nikalalamikiwa. Msikilize Heche

    Niliposema Wasira ana cholesterol nyingi kichwani, nimelalamikiwa sana. Sasa Madaktari wanaojua tabia za mtu Mwenye cholesterol nyingi kichwani wanisaidie. Msikilize Heche kabla hujaandika chochote. Mimi nilikuwa mbele ya muda. Mrundikano wa cholesterol mbaya (LDL) kwenye mishipa ya damu...
  2. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Je, Heche amesema ' Watanzania wafahamu kuwa sisi CHADEMA hatujakataa maridhiano kama wengine wanavyosema'?

  3. L

    JamiiForums Tanzania John Heche inatakiwa akamatwe na kuunganishwa kwenye kesi za Lissu kwa kauli zake zilizochochea vurugu za uchaguzi

    Ndugu zangu Watanzania, John Heche Inapaswa kwa sasa asiwepo Mitaani,inapaswa awe ndani ,inapaswa awe kwenye ulinzi mkali wa Magereza ,inapaswa awe kwenye Mfululizo wa mahojiano na kujibu mashitaka ya kauli zake za kuchochea vurugu wakati wa uchaguzi,anapaswa kuunganishwa katika kesi...
  4. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania John Heche: Hatujakataa Maridhiano

    "Lazima Watanzania wafahamu kuwa sisi CHADEMA hatujakataa maridhiano kama wengine wanavyosema na ushahidi ni huu hapa tunafanya mkutano yetu kwa amani bila tatizo lolote, wapuuzeni hao kuwa CHADEMA wamekataa hapana ila sisi ndo tume taka Maridhiano" JOHN HECHE - NYANKUMBU, GEITA
  5. U

    JamiiForums Tanzania Dangote aipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji

    #HABARI Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameipongeza Serikali kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, pamoja na kutatua changamoto za wawekezaji nchini. Katika taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Tanzania baada ya Mfanyabiashara huyo kufanya mazungumzo...
  6. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CHADEMA, Heche na Red Brigade: Vitisho Katoro

    ATTENTION: Kuna mpango wa CHADEMA kupitia Makamu Mwenyekiti wake John Heche kuhusu kuwatumia vijana Redbrigade kutoka Musoma, Tabora na Kigoma kufanya vurugu eneo la Katoro ili kuwatisha wafanyabiashara wa Katoro wafunge maduka yao ili waende wakahudhurie mkutano wao. Inaelezwa kuwa asubuhi ya...
  7. Q

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Kuna mpango wa kumkamata Heche na kumfungulia kesi ya uhaini

    Kutoka akaunti yake ya X. DCI KINGAI AMEJIANDAA KUMKAMATA HECHE KWA UHAINI🙄 Uongozi haramu wa Samia Suluhu kupitia DCI imepangs kufungua kesi ya uhaini dhidi ya John Heche na wamepanga kumkamata kesho! Lengo ni kusambaratisha chama cha CHADEMA na wanataka akae ndani muda mrefu ili warudishe...
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Heche: Sina Tatizo Binafsi na Rais Samia

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, John Heche amesema hana tatizo binafsi na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Heche ameyasema hayo jijini Mwanza wakati akizungumza kwenye kongamano la Wasomi wa Vyuo Vikuu lililoandaliwa na Mtandao wa Wanafunzi wa...
  9. H

    JamiiForums Tanzania NYUMA YA PAZIA. Kwanini Heche ni Pandikizi Jipya kwenye upinzani?

    1. Hawezi kuja na hoja zenye uelekeo thabiti wa mabadiliko bali huja na mawazo ya Jumla Jumla tu. 2. Wakati wa kampeni zilitoka tuhuma dhidi yake za hisa kwenye mashimo ya dhahabu. Hazikujibiwa zaidi yaa kuzuia kuchafuana. 3. Hajawahi pata kashkash za kipinzani. 4. Alikuwa sehemu ya Mpango wa...
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania John Heche: Huyu Mama alitoa ndege iendea Dubai kuwaokoa ndugu zake dhidi ya Mabomu ya Iran si Watanzania

    Salaam, Leo Makamu Mwenyekiti akiwa kwenye Mkutano wa Ndani ya chama huko Kibamba Shule Dar Es Salaam, amesema Huyu mama anayeongoza Nchi, alitoa ndege ifuate ndugu zake na Familia yake huko Dubai kwa gia ya kwamba wanawafuata Watanzania Wasidhuriwe na Mabomu ya Iran. Kama alitoa ndege...
  11. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Heche: Amani Msingi wa Maendeleo, Kataeni Uchochezi

    📍HECHE: AMANI NI MSINGI WA MAENDELEO, TUKATAE CHOKOCHO ZOTE ZA WANAHARAKATI ZINAZOCHOCHEA MIGAWANYIKO Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, John Heche, amesema kuwa amani ndiyo msingi mkuu wa maendeleo ya taifa, huku akiwataka wananchi na...
  12. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Picha: Mamia ya Wananchi wamsimamisha Heche Magufuli bus Stand. Huu ni upendo mkubwa kwa CHADEMA. Watu wanahitaji ukombozi

    Upendo kwa Chadema
  13. M

    JamiiForums Tanzania Heche: Hatuko tayari kutumiwa kulaghai

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amesema Chama hicho kinaendelea kushikilia msimamo wake thabiti kuhusu masuala ya haki na uwajibikaji kufuatia matukio yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa haki haihitaji...
  14. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Umuzi wa Heche kuanza kuwarudisha CHADEMA wasaliti kama Halima Mdee unaenda kuiondolea imani iliyokuwa imepanda kwa kasi CHADEMA

    Heche ameanza kuvuruga mambo maana Chadema ilishaanzaa kujenga imani kubwa sana kama chama ambacho hakinunuliki kama ilivyokuwa Wakati wa Mbowe. Lakini kitendo cha kuanza kuwarudisha wasaliti kama Halima Mdee na wenzake ambao baadhi yao walitimukia Chauma ni kitendo cha kuanza kuharibu imani...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 John Heche: Walioondoka CHADEMA na kwenda CHAUMMA walitaka Madaraka

    Katika mahojiano yake na Wasafi FM, John Heche alitoa mtazamo wake kuhusu hali ya kisiasa, kuhama vyama, na msimamo wa Chadema kwa waliohama CHADEMA na kwenda Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) "Watu waliotoka kwa wingi ambao wamewahi kuwa viongozi kwenye chama hiki ni watu walioenda chama...
  16. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania John Heche: Chadema tupo tayari kumpokea Halima Mdee

    Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa John Heche amesema wao kama CHADEMA wapo tayari kupokea Halima Mdee Heche ameyasema hayo kwenye kipindi cha Jana Na Leo kupitia Wasafi Fm Aprili 15, 2026
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Heche: CHADEMA tuliisubiri siku kama ya leo kwa hamu sana

    Makam Mwenyekiti wa Chadema Taifa John Heche wakati akizungumza katika kipindi cha Jana na Leo kupitia Wasafi FM amesema walimis sana na kuisubiri siku ya leo ambayo imewapa nafasi ya kuendelea kufanya siasa zao. Soma Pia: Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za kisiasa...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Heche Leo: Mwenye full hotuba atuwekee hapa

    Please mwenye hotuba / press Conference ya leo aniwekee hapa.
  19. R

    JamiiForums Tanzania Heche: Tumesikitishwa sana na Jaji Mwanga amefanya mambo mabaya dhidi ya chama chetu na demokrasia ya nchi yetu

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 15, 2026 baada ya Mahakama ya rufaa kanda ya Dodoma kutengua zuio dhidi ya chama hicho kutofanya shughuli za siasa, Heche ameeleza walivyosikitishwa na namna Jaji Hamidu...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Heche: Bila teknolojia tusingesikika kokote kule

    Akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari leo baada ya kuondolewa zuio la kutofanya siasa, Aprili 15, 2026 amesema kuwa Bila Teknolojia tusingesikika kokote kule, tunashukuru Teknolojia ilitufanya tuendelee kusikika maana tulikuwa tunajirekodi na kurusha mitandaoni. Nguvu ya Teknolojia ni...
Back
Top Bottom