Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha uongo labda mabibo ,mtongani,mwananyamala ,gongo la mboro etc,huko dah! Vyuma vilikazwa kitambo tu .
Mm nipo hapa airport yaani chakula unawekewa mboga tano njegere dagaa tembere kabeji na nyama Tsh1000 kama tena unaletewa hadi ofisini
 
Kibera/Kibra ipo. Chanzo cha kuweka hiyo data ni kukanusha kauli ya wenzako humu JF wanao sisitiza kibera/kibra ina watu milioni 2+
Kibera sio kibra, kibera ni slum Ile Ila kibra ni Jimbo au eneo Bunge ambalo linajumuisha Ayanyi,Kenyatta,ngumo, Woodley na some part of upper hill.
 
Ndio inapaswa unambie km mlijenga airport kando na ile tunayoijua
We komora endelea kulala usingizi wa pono wewe unafikili kelele za wakenya kuhusu airport humu jf zilikata bure waulize wakenya wenzako watakuambia
 
Mm nipo hapa airport yaani chakula unawekewa mboga tano njegere dagaa tembere kabeji na nyama Tsh1000 kama tena unaletewa hadi ofisini
Basi unakula kwenye vibanda vya mama ntilie, maana Dar naifahamu vizuri tu hakuna hoteli au mgahawa ma hadhi ambao unauza chakula Kwa hio bei,
 
Hilo unaongea ni la maana sana....ila ki ukweli ATC waingie kwenye Cargo Bussiness hili soko litawalipa sana ..hasa kwa ku export mazao yetu nje
Holticultrure inaweza kuingiza foreign currency almost sawa na toursim ila tumelala bado ..na huo ni ukweli

1.Horticulture ina potential ya kutupa 1Bn usd in our economy
2.Fish and Fish processing angalau hata 500mil usd
3.Exports ya Honey.wine,Cotton na cofee hizo zote zinatupa pesa ya kutosha

Serikali iwavutie wawekezaji zaidi wa nje na wandani hasa kuwapa elimu vijana kuhus sector hizi ..na kuwawezesha...then after 3years tu order Airbus A330 2 cargo planes na B777F moja za mizigo ...tu expand cargo terminals za Mwanza Mbeya , Kia na Dar ..tu export vitu vyetu
Mkuu salute. Nilitaka niongeze like nyingine..na nyingine tena.
 
Mm nipo hapa airport yaani chakula unawekewa mboga tano njegere dagaa tembere kabeji na nyama Tsh1000 kama tena unaletewa hadi ofisini
Najua hao ni dagaa wa kutoka zenji wale wa bukoba huwezi ukapewa maana ni bei ghali, halafu nyama kipande kimoja unasherehekea ??Hahaha watanzania bana ,mna mambo ,kabeji! Heri mchicha nikionaga kabeji Kwa sahani nahisi kutapika Ila njegere zipo Sawa nazipenda.
 
Leo nitakuwa na live picture. Nipo safarini kwenda dodoma ndani ya Shabiby Line VIP

IMG_20191107_095850.jpg
IMG_20191107_095801.jpg
IMG_20191107_095935.jpg
IMG_20191107_095837.jpg
IMG_20191107_095804.jpg
 
Kuna nchi ambayo ina mashoga hapa Africa kama Tanzania? Mombasa ina watu million moja tu hata kama kuna mashoga hawafiki elfu hamsini ukilinganishwa na Dar ambayo ina watu million sita ,kama Mombasa watu million moja kuna mashoga elfu hamsini Dar ya watu milloni hamsini kutakua na mashoga laki tatu na hamsini , sasa jiji lipi Lina mashoga wengi kama Dar na Tanzania Kwa jumla? Mnafirwa usiku na mchana hadi basi.
Mods piga ban uyu muhuni wa kibera
 
Back
Top Bottom