Hivi wakenya huwa mnatusema sisi watz kuwa atutembei mbona hata nyinyi amjui chochote tz soda ya fanta 250ml ksh24 sawa na tsh500
maji yameenda kufanya practical chuoni
Hiyo ndio sababu ya kujitetea? Huna aibu kabisa!Nairobi hakuna bahari, hko kwengine je, ipo
Comment zingine bana
😄😄😄😄😄😄Nairobi hakuna bahari, hko kwengine je, ipo
Comment zingine bana

Hiyo ndio sababu ya kujitetea? Huna aibu kabisa!
Kweli kabisaWakat sisi tumetoa maji kutoka ziwa victoria mpaka tabora zaidi ya km 350
A fellow countryman! many of u in here r the same!Hyo yani hta hana ufahamu na hayo mambo kabisa...kisha naye ka post twitter
A fellow countryman! many of u in here r the same!
wanatapatapa now
wanatapatapa now