Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya na takataka zao za matatu wanapita kimya kimya
This just shows the level of backwardness in Tanzania. Yani unafurahia kuona screen kwa backseat ya gari!! Wewe huenda ni mara yako ya Kwanza kuona kitu kama hii.
 
This just shows the level of backwardness in Tanzania. Yani unafurahia kuona screen kwa backseat ya gari!! Wewe huenda ni mara yako ya Kwanza kuona kitu kama hii.
Nadhani level of backwardness ni ile ya kujivunia mamichoro ya hovyo hovyo kwenye basi lkn co hili la screen
 
Ni kwenye migahawa usidhani sisi waongo kama nyinyi chakula safi hadi wazungu wanaijenga reli ya sgr wanakula sehemunyingine sh1500 ndiyo bei ya juukabisa Kwa ugali
Hivyo ni vibanda kando mwa barabara, hata usiviite mgahawa maadam havina hio sifa,kwani wewe mzungu unamuona kama sio binadamu wa kawaida? Eti akila kwenye kibanda halafu hicho kibanda hadhi yake inabadilika kinakua cha thamani, chakula ambacho mtu ananunua Kwa ajili ya biashara na amepanga nyumba ya biashara na anafanya Kwa ajili ya faida auze 45 ,najua utapewa ugali,kijiko kimoja cha njegere,dagaa kijiko kimoja, mchicha kijiko kimoja na kipande kimoja cha nyama sikatai hivyo vyakula vipo Dar Kwa hio bei lakini inategemea ni wapi unakula .
 
Nyama vipande vitatu
Hivyo ni vibanda kando mwa barabara, hata usiviite mgahawa maadam havina hio sifa,kwani wewe mzungu unamuona kama sio binadamu wa kawaida? Eti akila kwenye kibanda halafu hicho kibanda hadhi yake inabadilika kinakua cha thamani, chakula ambacho mtu ananunua Kwa ajili ya biashara na amepanga nyumba ya biashara na anafanya Kwa ajili ya faida auze 45 ,najua utapewa ugali,kijiko kimoja cha njegere,dagaa kijiko kimoja, mchicha kijiko kimoja na kipande kimoja cha nyama sikatai hivyo vyakula vipo Dar Kwa hio bei lakini inategemea ni wapi unakula .
 
Tuletee hio service kwenye bus zenu kila seat iwe na screen na iwe luxury kama hio

Buses For Nairobi -Mombasa,
Kenyas most busy Route
As dirty as Kenyans.
9b78b29f-4b9c-42cd-8d06-b907f5365ae7.jpg
108b72ca-1757-4737-ab33-90c5c77a5349.jpg
9506821f-244b-47bb-ac9e-3cd8f36d0fc7.jpg
01b11d26-3223-41b6-b35c-49a8f359ee32.jpg
 
Labda pwani ya Kenya siyo tz dagaa wanaopendwa ni wakigoma nani bei kubwa hao wa Zanzibar bara hatuwapendi hata kidogo
Sasa mtapenda vipi hata samaki wenyewe wa baharini hamkuli,Nina rafiki kutoka Tanzania bara hata pweza hawezi akamguza.
 
Back
Top Bottom