Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tulimaliza awamu zote sita za brt mwaka 2030 ndio wakenya wanaweza Anza awamu ya kwanza, kumbuka kwa sasa hawana pesa hata ya kununua bakuli madeni yamewapalia
A9B37E96-71C8-4BCC-A354-DCE687B30F24.jpg
download.jpg
 
Unamendea usiku unajua labda watu wamelala eeh [emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mnatuogopa hivi.

Nairobi pekee ziko slum zaidi ya 20.
Hii BRT ya Dar Es Salaam inapitia eneo kubwa sana la slums kwa hivyo hii picha isukudanganye.
 
Keep talking about past news[emoji23][emoji23][emoji23]

Hayo matukio yalishatokomezwa muda sana, lakini nyie mmeshindwa kutokomeza njaa, ukabila nk.
Na nyie heartless Tanzanians si mnaua na kuchinja albinos kwa wingi?
 
Masters of denial, led by their own sisiemu government


Masters of denial led by their sisiemu government
View attachment 1197990
Ushaeelezwa hapo there are no slum in tanzania rather than unplanned settlement leo umejinyonga mwenyewe😂😂😂👏👏👏👏 Mukiambiwa hamutaki kukubali mzungu sio mjinga aone slum nairobi asione dar😅😅😅😅
 
Hii si slum ebu "zoom",mbavu zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwambie azoom uone kama ata zoom ataishia kutoa maneno ya kanga unagkiri mzungu mjinga sana nyie aone slum za nairobi asione za dar🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom