Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1 .Mathare
2.Korogocho
3.Kariobang
4.kawangware
Etc
Tukuwe Tu wakweli ebu wacha nikuekee picha za kariobangi,kawangware,huruma/mathare

Mzungu ako na haki ya kuita haya makaazi slum lakini mbongo kama haufai kuyaita;
8432428_screenshot20181211072500_jpeg6f5011e7c1d0160d4780524b85882c7f.jpeg
kawangware_collage_final.jpeg
NigYDqk.jpeg
 
Suala la slum kwa nairobi nalo ni la kubisha?????
Maakazi ambayo mnayaita slums hamfai kuyaita u consider nyie kwenyu ni mbaya zaidi, kama nilivo sema mzungu anaeza iita kariobangi slum lakini mbongo hafai kuota
8432428_screenshot20181211072500_jpeg6f5011e7c1d0160d4780524b85882c7f.jpeg
 
Quote hiii ni soko na kawaida siku za mvua hua chafu....endelea kuniletea hizo slums 20 mlikuwa mnasema
Duuuh acha weee!!!!!!!
Hili sokooo!!?????
Mimi sinunui maana nitaumwa eti.
Kama hili ni moja kat ya masoko yenu basi nyie Nairobi mwala vichafu.

Embu tizama masoko yetu hadi ya wale ya vipato vya chini uone km inafanania na huu utumbo wenu.
Hata mvua zininyeesha hapawi pabaya hvyo.

Hapo kuna Temeke stereo,Temeke Tandika na kariakoo.
Hakuna mahala pachafu km kariobangi na ni sokoni hapo
20150909_115642.jpeg
100_4111.JPG
6b9a98a034b96a9b9daf5d024165016d--tanzania.jpeg
100_4112.JPG
 
Na ndio maana hapa sijabisha hapa ni mathare lakini vibanda za soko eneo ndogo ambayo inatuma mtaa mzima uuitwe slum
Ahaa vp kuhusu hawa watoto wa kariobangi slum nao wapo sokoni??!!!!
slum-children-kariobangi-nairobi-kenya-africa-l-taylor-B5AEX0.jpeg
09298D51-DC25-4F44-AC20-31CEC0A254C0.jpeg
 
Unajua kabisa Tanzania hakuna slum lakini unaenda kupoteza muda wako google [emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani huwa unaandika hivi Google Search "Slum in Tanzania" alafu google wanakucheka wanakuandikia you mean "slum in Nairobi"
Kila county kuna slum kenya,
Ushahidi huu hapa kuwa Nairobi pekee ina slums za kutosha.


Masters of denial, led by their own sisiemu government

Unajua kabisa Tanzania hakuna slum lakini unaenda kupoteza muda wako google [emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani huwa unaandika hivi Google Search "Slum in Tanzania" alafu google wanakucheka wanakuandikia you mean "slum in Nairobi"
Kila county kuna slum kenya,
Ushahidi huu hapa kuwa Nairobi pekee ina slums za kutosha.


Masters of denial led by their sisiemu government
PhotoGrid_1567600045701.jpg
 
Huu muda unaoutumia kulazimisha Dar kuna slum ungeutumia kufanya mambo ya msingi tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Naona imekuuma sana huyo dada kusema Nairobi ina slum zaidi ya 20.
Soma hiyo picha uliyopost line ya juu kwenye "according, wakumbafu kama ww ndio mtaji wa jubilee.

Masters of denial, led by their own sisiemu government


Masters of denial led by their sisiemu government
View attachment 1197990
 
Masters of denial, led by their own sisiemu government


Masters of denial led by their sisiemu government
View attachment 1197990
We ni kilaza.
UN wenyewe wanakwambia hakuna slums Tanzania.
Kila wanapotoa takwimu hawaiweki Tz kuwa ina slums ila Kenya wanaiweka the leading.
Inamaana UN nao wanamilikiwa na CCM???
 
Back
Top Bottom