Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukija Tanga usishangae. Baiskeli mpaka mjini tena ndo boda boda, ukivuka barabara utasubiri gari ipite, bajaji ipite, pikipiki ipite na baiskeli ipite ndo uvuke.
Usiku usishangae ajali za baiskeli maana ni nyingi na hazina taa.
Kwenye traffic light usishangae kukuta mpaka baiskeli na pikipiki zinasubiri green light
Lakini Tanga ndo mkoa mzuri wa kutumia private car maana hakuna foleni barabarani
kwani uko na kisasi na baiskeli au nini sababu yako kuwa na chuki na baiskeli namna hii?
 
Really? Nafikiri nyie wa humu ndo mna chuki pamoja na viongozi ila sisi wengine tunaoishi mpakana tunapeana tano daily. Jaribu kunihakikisha ni utani au chuki? Maana mmefikia kuitana NYANI
I hate carrying burdens my friend. I don't entertain hatred in my heart.
Really? Nafikiri nyie wa humu ndo mna chuki pamoja na viongozi ila sisi wengine tunaoishi mpakana tunapeana tano daily. Jaribu kunihakikisha ni utani au chuki? Maana mmefikia kuitana NYANI
 
👏👏👏👏👏😂😂😂👇👇👇


Hawa watalii watakuwa wanapitia Kenya kwanza wakitumia hii hapa
1540900854797.png
1540900854797.png


Vile ichoboy01 akiona hii [picha hapo juu ya KQ
1540901081896.png
 
nioneshe hio 16 lanes 😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏👏👏 na ukishindwa kunionesha ruksa kuhara
And what benefit do we get for bending to your demands for evidence?...we have no obligation to prove anything to you,furthermore it is your choice to believe it or not!...go get a hair cut and dont forget to clean downstairs.
 
wewe umejibu lipi??? kua munamiliki ndege ushahidi unao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Huna hoja..umeshindwa kujibu..kwhyo kaa kimya kilaza
 
nilisema nyali nani alisema kenya nzima ukipata sehemu nimesema kenya nzima nitag[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji382][emoji382][emoji382]
Nyali hyo hapo..haya sasa fanya hesabu mwnywe...
Screenshot_2018-10-30-16-30-24.jpg
 
Siyo tz peke yake hata huko kenya ,,,,nchi yeyote ile lazima ardhi iwe chini ya serikali kama kwenu ardhi haipo chini ya serikali waambie wenye majengo wasilipe kodi halafu utaona kitakachowakumba[emoji1][emoji1][emoji1]
Kenya ukinunua ardhi ni yako milele...na usidanye watu hapa...kenya hulipii mjengo..unalipia biashara...bongo mpka nyumba zenu mnalipishwa kodi...utumwa walai
 
nakumbuka nilipokua mombasa maeneo ya mwembe tayari a chiken chips like this nilinunua 9000 tsh wakat hii nimenunua hapa ilala sasa hvi 3500[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alaf mbongo aje kutafuta maisha kenya how???View attachment 915513
Hya nenda sauzi ukaangalie bei km iko chini ya bongo au juu...ldc always vitu vyake ni cheap..thats baadhi ya wakenya hununua magari yao tz au ug ili kupunguza gharama
 
Back
Top Bottom