Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hio ni tomato sauce iko transparent ivo??
btw, chips/ kuku ni chakula cha mabinti huku Kenya. itakua aibu sana mwanaume mzima kula chips kwenye restaurant in +254...
mambo mengine, 'wanaume wa dar' tu ndo wanaweza kufanya
so wanaume hawali chips sawaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰ huyo mume wenu trump anakula chips na matako munaramba
 
so wanaume hawali chips sawaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰πŸ’‰ huyo mume wenu trump anakula chips na matako munaramba
unajisifia kula chips sio?
 
Jamaa hajui kama mchina aliona kitu special kutoka kwa wakenya hadi akaamua kuwaita monkey!!
huyo hakukosea kwasababu wakenya ni wabinafsi na watu wenye roho mbaya sana we chukulia mfano mturkana na mpokot wanauwana na kuchinjana kama kuku kisa mifugo 😳😳😳😳
 
Unaona raha kutukana wenzio,ukitukanwa wewe unakasirika!!..hapa sheria ni moja tu ukileta ushamba tunakuletea ushamba tu!!afagiliwi mtu...
Stop playing the victim. Umewahi ona nikitukana mja yeyote humu bila sababu? Na kwa taarifa yako, mimi huwa sikasiriki ovyoovyo kama nyie. Nyinyi ni waoga kupindukia. Mnatusi wakenya halafu mnawashtaki wanaadhibiwakwa niaba yenu.you are so pathetic. Cowardice runs through your bones
 
Baki na K yako ,mpatie Lewis mtaendana mko na same characters Za kishenzi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚someone is crying right now. Lewis hakuwa na nia mbaya ni vile hamjamwelewa. Wanaume hupika huku Kenya. Alikuwa anakushangaa kwa majigambo yako kisa unajua kupika
 
Upanga hyo!!!yani nlicheka sana..kumbe mkiambiwa mlete aerial view ya upanga hamuleti kisa mnaogopa kuumbukaView attachment 910468
So kama upanga ni the best among other suburbs in Tanzania, je hizi zingine si ni slums kama hii
tanahouse.jpg
 
Nkt! We unaskia na matako ama maskio? I'm talking about heritage,quality and popularity. A city is just not all about the financial and architectural prosperity. For instance, I'd rather live in L.A than Tokyo! Why? Because its a world center of the nation’s film and television industry, & by far a more quality lifestyle than any Asian City.
*My point is, you need to understand that a city's prosperity & popularity is not because of just its infrastructure but its Heritage.
NYC is more popular and advanced than Tokyo buda.
in the image below it is evident that Tokyo aspires to be Paris
Acha porojo NBO si nothing acha kujidanganya si bora mtu akapande mlima klm? Cities of the world huwez acha Tokyo maisha yako yote,bad thing huwez kudanganya chochote
Tokyo is rich bigger and busy than NY hasa ww unaongea ujinga gani hapa

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
If I may ask would you rather live in LA or Tokyo if given a chance where would you go?
los_angeles___city_of_angels_wallpaper_by_eduard2009_db6v5x3-fullview.jpeg
_MG_6710.jpeg
 
Back
Top Bottom