Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siyo tz peke yake hata huko kenya ,,,,nchi yeyote ile lazima ardhi iwe chini ya serikali kama kwenu ardhi haipo chini ya serikali waambie wenye majengo wasilipe kodi halafu utaona kitakachowakumba[emoji1][emoji1][emoji1]
Tz serikali inamiliki ardhi..hyo unapinga pia
 
nakumbuka nilipokua mombasa maeneo ya mwembe tayari a chiken chips like this nilinunua 9000 tsh wakat hii nimenunua hapa ilala sasa hvi 3500😂😂😂😂 alaf mbongo aje kutafuta maisha kenya how???
B2EA6185-6876-4B0F-8BBD-C5062074B382.jpeg
 
Yaañi jitu linakula junky foods halafu linaringa? Hata pilau huwa wanaringa nayo. Ndio maana hawana nguvu za kuchapana. Mwanaume was Kenya anashika wabongo wawili anawatandika vizuri kama mahindi kwa gunia na wanalojua ni hili sojaa sojaaaaaa tumevamiwa.
Nilicheka sana wallahi.
Huwezi kula wali halafu uje kupimana nguvu na yule aliyekula ugali.Utaharibiwa sura bwana
 
Yaañi jitu linakula junky foods halafu linaringa? Hata pilau huwa wanaringa nayo. Ndio maana hawana nguvu za kuchapana. Mwanaume was Kenya anashika wabongo wawili anawatandika vizuri kama mahindi kwa gunia na wanalojua ni hili sojaa sojaaaaaa tumevamiwa.
Nilicheka sana wallahi.
Huwezi kula wali halafu uje kupimana nguvu na yule aliyekula ugali.Utaharibiwa sura bwana

Hahaha, Redsan
 
Most downtown joints in Nairobi fries na quarter chicken is as low as 200 bob
 
still expensive bro [emoji23][emoji23][emoji23][emoji382][emoji382][emoji382]
My favourite cheat meal is pilau with thick chicken stew escorted with some nice tropical smoothie....especially Ile ya Kilimanjaro joint hapo kimathi street.....Chips na kuku fry niliachana nayo
 
nakumbuka nilipokua mombasa maeneo ya mwembe tayari a chiken chips like this nilinunua 9000 tsh wakat hii nimenunua hapa ilala sasa hvi 3500[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alaf mbongo aje kutafuta maisha kenya how???View attachment 915513
Ichoboy jamaa wamepita wima jioni hii lazima wakukebehi tu,Ila nn hii msosi naipenda sana
 
My favourite cheat meal is pilau with thick chicken stew escorted with some nice tropical smoothie....especially Ile ya Kilimanjaro joint hapo kimathi street.....Chips na kuku fry niliachana nayo
Hamjui kupika, hadi pilau ukale hotelini ?mnajua nn hasa?
 
Watasugua sana hawa wakenya...
alaf wanataka kushindana na tanzania kwenye mambo ya health[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

 
Back
Top Bottom