Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hona points, wakenya wengi walishaona na kukubaliana na ukweli kwamba lazima sheria ya umiliki wa ardhi Kenya ibadilishwe kutokana na hii ya sasa kuwadhulumu wananchi wengi wa Kenya na kuikabidhi ardhi kwa wanasiasa na matajiri wachache, huwezi kuuza ardhi kama unavyouza gari, ardhi ndio nchi, huwezi kuwa na nchi bila ardhi, sasa kama mnauza ardhi tena kwa wazungu, maana yake mnauza nchi yenu, tumieni akili achenu uzuzu.
Hao wazungu ni akina nani...hhhh!!!hta wewe kuja ununue uone nikm utaibeba urudi nayo kwenu....utabaki kusema una ardhi kenya u invest na ulipe kodi...hakuna zaidi
 
Hya nenda sauzi ukaangalie bei km iko chini ya bongo au juu...ldc always vitu vyake ni cheap..thats baadhi ya wakenya hununua magari yao tz au ug ili kupunguza gharama
uheheheh so things cheap is LDC na vp kuhusu kupunguza inflation ikiwa unga kupanda bei munahara na vingine vipi?????😂😂😂😂😂👇👏👏👏👏
 
amenishangaza kweli huyo jamaa. yaani kwa jinsi kula chipsi au viazi inavosemekana kuongeza 'wowowo' kwa kina dada zetu,,, kisha anakuja baradhuli mmoja na kusimama mbele ya wanaume na kusema kua yeye anakula chipsi. sasa mimi nashindwa alikuwa na dhamira gani au anadhani tutamchukulia vipi?
ukipata official link from specialists nitag bro😂😂😂👏👏👏👏
 
😂😂😂😂😂ichoboy utanivunja mbavu wallahi. You are so hilarious. Mpaka evidence ya wowowo? 😂😂😂😂😂
 
At the peak of mt klm hii ni storm kabisa, tunaelekea low season sasa
IMG-20181030-WA0017.jpg


Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Hao wazungu ni akina nani...hhhh!!!hta wewe kuja ununue uone nikm utaibeba urudi nayo kwenu....utabaki kusema una ardhi kenya u invest na ulipe kodi...hakuna zaidi
Hovyo kabisa, huko kwenumuuzia MTU ardhi inakua ni Mali yake binafsi kama anavyomiliki gari, anaweza kuamua kuiacha bila kuifanyia lolote hata miaka 50, wakati wananchi hawana ardhi ya kuzalisha chakula na kufanya shughuli zingine za maendeleo, stupid.
 
Okey Susan z replying
The qn was what do you kno abt cholesterol n sorry for the typing error occured
 
Back
Top Bottom