Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

jifunze kuandika kiswahili fasaha...kiswahili chako ni takataka.
heheee!!bro..hapa na type tu..ila naamini hakuna kijana yyte hapo dar anayeweza bishana na mimi kuhusu kiswahili...karibu mwambao mwanechu...wajuwa kingozi wewe...
 
Mama y


Nani akimbilie huko weye! Mimi mgiriama wa Shikadabu na digo, Mombasa ni kama home kwangu na ninaijua uzuri sana, hunidanganyi tone, unaraukia humu kutupa porojo za uongo!?
shika adabu iko subcounty gani..haya google sasa nikuone..na jina lako la kigiriama waitwa nani..mbari yako pia ni gani
 
unajua ww unafkiri ndoto zako za alinacha ziwe kweli ndugu yangu ikiwa 80b sasa hvi muna debt ya 60% na still uchumi wenu uko ovyo na red light mulishamulikiwa na IMF sasa hvi 70% of revenue inalipa deni what do u think in future
Thank you....nikuulize 60% ya $80bln mi 69bln?
 
sasa huwo uchafu ndo wataka ulinganishe na kilifi bridge...cheki height hyo mwanzoView attachment 880068
😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇👏👏👏
48F4CC5F-5CF6-44D0-B697-F6DF0E08C580.png
3556F0EC-AB3F-4AF6-BD99-3FAF04AAE4F9.jpeg
2E9561D3-C0D8-4C53-A564-C1D6B5F965B0.jpeg
 
Yeah! She was fit man!👇👇👇
Mwanamke mzuri kama huyu anashindwa vp kulipa kodi??????..
Vivulana vya Kenya vinatia aibu,vinashindwa kumsitiri mrembo huyo!!..au na wao wamefulia??dah kweli kenya maisha magumu,yaani kodi ya miezi miwili tu inatoa uhai wa mtu!dah so sad!
 
mombasa hakuna rais..ila zanzibar yupo
ahahahha hujui kama pwani yote ya kenya ni muungano au unataka ushahidi kua na rais sio tatizo huo ni muundo wa katiba tu 😂😂😂😂😂 au we hujui kama magufuli ndio rais wa muungano wa tanzania
 
revenue gani hyo...piga hesabu ya gdp 2022..ukipata jibu regea
nimekupa mfano mdogo sana ten yrs ago mlikua na growing economy ya more than 7% lakin chakuskitisha miaka 10 mumeishi 80b sasa leo unanishangaza kunambia ikiwa 80b ina debt ya 60% alaf still growing economy iko below 5% alaf unaota 300b kwenye ndoto za mchana😂😂😂😂👏👏👏👏
 
Mwanamke mzuri kama huyu anashindwa vp kulipa kodi??????..
Vivulana vya Kenya vinatia aibu,vinashindwa kumsitiri mrembo huyo!!..au na wao wamefulia??dah kweli kenya maisha magumu,yaani kodi ya miezi miwili tu inatoa uhai wa mtu!dah so sad!
asante kw porojo ndugu yangu
 
nimekupa mfano mdogo sana ten yrs ago mlikua na growing economy ya more than 7% lakin chakuskitisha miaka 10 mumeishi 80b sasa leo unanishangaza kunambia ikiwa 80b ina debt ya 60% alaf still growing economy iko below 5% alaf unaota 300b kwenye ndoto za mchana
alaaa!!kumbe mfano..duh!!
 
heheee!!cheki difference...labda ulete lile daraja la tazara..labda laeza jaribu..ila sidhani
tapatalk_1538122107306.jpeg
sea-side-restaurant.jpg
 
Back
Top Bottom