ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
ahahhahaha usilie basi kenyatta kashauza nchi maana dr ndiii mulimuona mjinga sanaππππππππππNipe source tafadhali,wacha nikusaidie kidogo data kuto IMF, world Bank,KBS,Cbk.....usiniletee gazette za kufunga nyama na twitter.
labda nikufahanishe kuhusu twitter, ndio sehemu pekee habari za kuaminika hupatikana uzuri wa twitter ukileta habari za uongo wanafunga account yako


