Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

naona billgates zinaiva sana na kikwete๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡



 
Sikuviona. Nimefuatilia huu uzi hata kabla sijajisajili. I was reluctant to register because I knew what would happen and it is happening now. I will leave when the right time comes though Let me continue enjoying the ride.
may be you are speaking about leaving and coming back coming with another ID.

but once you are IN no OUT.
so forget about leaving jf. you are here forever. jf owns now.
 
Hapa utafiti unatakikana. Yawezekana aliuawa. Si angejitia kitanzi akiwa ndani ya nyumba. Kuna wanaume wanaua wanawake kiholelaholela siku hizi. Hata kama ni kodi ya nyumba sidhani kama mtu anaweza jianika namna hii mbele ya umati. My take tho
but kwanini issue ya suicide ya huyo mwanamke inawagusa sana?.

wakenya wengi twitter na media za kenya zinasema kajiua kutokana na ugumu wa maisha uliopelekea kushindwa kulipa rent.

nyinyi wakenya wachache wa jf mnakuja na concept zenu.hofu yenu nini?. ugumu wa maisha kenya?.
 
may be you are speaking about leaving and coming back coming with another ID.

but once you are IN no OUT.
so forget about leaving jf. you are here forever. jf owns now.
I don't belong here. I just registered to warn you that a lot of netizens are watching you here hating on each since jf is open for everyone to see. Mitusi kibao it's like all of you are holding a masters degree of insults. I am not intending to register with another ID. Tutakuwa tunapatana pale YouTube. Nawajua sana pale hata mkijificha hapa with all these weird names
 
maskini ya Mungu nchi ishauzwa tayari
waogopa kusema ukwel kisa uzalendo...mwanzo unahofu...wenzio watakugombeza hapa jf..nakwambia utajutia kuzaliwa..wacha nikupe ushuri..ukitakata kuishi kw amani jf..afdhali ukaendele kuwa kilaza..siku ukikubali ukweli tu..utapigwa vita vynye hujawai viona...
hapana chezea wazalendo vilaza wewees!!
 
but kwanini issue ya suicide ya huyo mwanamke inawagusa sana?.

wakenya wengi twitter na media za kenya zinasema kajiua kutokana na ugumu wa maisha uliopelekea kushindwa kulipa rent.

nyinyi wakenya wachache wa jf mnakuja na concept zenu.hofu yenu nini?. ugumu wa maisha kenya?.
I don't know what others are saying about this. I was just stating my opinion here. Wakenya kwa Facebook na twitter wanaweza sema chochote kile and you people take it seriously
 
Back
Top Bottom