Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dsm
IMG_20170101_141916_777.JPG
 
Hao ndio watu tunataka kulinganishwa nao. Sisi tutakubali Joburg ndio watu tunaweza linganishwa nao. Hao ndio watu/jiji tunashindana nao.

Sio kijiji chenu cha dar. Kenya ama NBO linganisha na joburg, Cairo, Lagos ama Mauritius. Apana linganisha NBO na dar. What is dar??

Kenya nchi hatari!!!
...
 
Alafu cha muhimu ujue density hautushtui sisi kama waKenya. Hizo minara zenu hazina biashara. Hamna watu wa kuzikomboa. Minara ya glesi ya kufurahisha mTZ ati anaendelea. Kuendelea mkienda wapi nyinyi LDC?

PAMBANENI NA HALI YENU!!
LDC
 
Tutangoja Hadi lini?? 2030? 2040? ama 2050?? Huu wakati wote unadhani Kenya itakua wapi? NBO itakua imefika wapi?

Hizi vitu ZISHAUNDWA Kenya na already ZINATUMIKA. Apana jaribu kujilinganisha na ndugu zenu wakubwa. Watakutia adabu!!

UMEME! DANGER!!! [emoji88][emoji88][emoji88]

ADMIN funga huu mjadala!!!
...
 
TUUSAN kubali hii maneno tusonge mbele! TUUSAN nadhani wewe unakaa mtu mwenye Kuwa na busara. TUUSAN kubali na tuendelee na maisha zetu. TUUSAN Dar mko chini
TUUSAN alishakubali hii maneno.

Ndugu, Mkubali tusonge mbele
 
Hatuko juu jinsi mnavyofikiria. NBO tunajikakamua kushindana na other African hubs like Cairo, Joburg na Lagos. Tunajua bado hatujafika pahali ambapo Tunajua tunaweza kufika. Lakini kila siku ukakamavu tu. Sio wivu ama POROJO.

We want to be a developed country. But one step at a time. Dar mjipange. Mjikakamue. YOU CAN DO WONDERS. but not if you trash talk NBO and Kenya in general.

Kenya nchi hatari for African standards.
...
 
Admin this is OVERWHELMING!
Admin kama hii ilikua battle, basi NBO imetoka kama mshindi! Admin naonelea itakua jambo la busara watu wakubali hali yao.

Dar haiwezi shindana na NBO. NBO in the first place, hatukutaka kushindana na dar in any way whatsoever. Dar mlitaka kushindana na NBO by all means. Ila hamuwezani.

Admin funga huu mjadala!!
FACTS tuu
 
ICHOBOY amekubaliana na mimi huu mjadala Dar mmeshindwa! TUUSAN mkuu amekubaliana na mimi eti somehow NBO imeizidi Dar. Mimi pia nimekubaliana na mimi NBO jiji kuu

Admin! mjadala KWISHA!
Ata Simba wa tanzaGIZA ICHOBOY kakubaliana eventually. Umebakia tuu admin ku MUTE thread
 
Back
Top Bottom